a sinner saved by Christ
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 2,457
- 2,658
MIKONO YAKO .
Mit 3:16 SUV
Ana wingi wa siku katika mkono wake wa kuume, Utajiri na heshima katika mkono wake wa kushoto.
Mkono wa kulia-Umebeba wingi wa siku zako za kuishi.
Mkono wa kushoto-umebeba mafanikio yako
UKIOTA NDOTO
umeumia mkono wa kulia ,labda umekatika mkono,au mnyama amekuuma mkono wa kulia umeumia unavuja damu...maana yake washirikina mawakala wa nguvu za giza wanataka wakumalize kabisa ufe.,wachukue uhai wako.
mkono wa kushoto ..wanalenga kushambulia mafanikio yako heshima utajiri.
Ukiona KIGANJA cha mkono wa kushoto unakuwasha kusiko kwa kawaida ghafla tu bila ugonjwa bila sababu zinazotokana na ugonjwa.
Maana yake --Hiyo ni alama ya kufuatilia uchumi wako,mafanikio yako...wengi huwa wanafikiri kiganja cha mkono wa kushoto kikiwasha watapokea PESA ,ila ni kwamba hiyo alama ya kufuatilia mafanikio yako kiroho ina maanisha KUZUIA mafanikio yako,kuzuia usipate fursa,na hata ukipata pesa zitumike hovyo ziishe
unakuta kiganja kinawasha hata siku tatu mfululizo maana yake unapigwa vita ya upoteze uchumi wako,ugali wako,usipate fedha,usipate kazi,au hata ukipata fedha zipotee kwa haraka.
USIFURAHIE ukiona kiganja cha mkono wako kinawasha,ukafikiri inakaribia kupata pesa/mafanikio.
ni kinyume chake badala ya kupata/kupokea UNAKWENDA KUPOTEZA hata ukizipata zitapotea kama moshi upesi kwenye matatizo au zitazuiliwa zisikufie.
Maana ya pili ya ishara ya kuwashwa kiganja cha mkono wa kushoto,ni kuashiria mizimu ya ukoo wenu nayo maagano na nguvu za giza inataka utolee sadaka,unakuta mababu zako waliweka maagano na madhabahu za mizimu,waganga wa kienyeji,kuhusu uchumi/fedha saaa inadai mgao uwagawie pesa kidogo...hivyo zitapotea zitaisha kama upepo.
ukipata pesa matatizo ya matumizi yatatokea mpaka hiyo hela yote itumike iishe.
maana nyingine ya kuwashwa kiganja cha mkono ni kukuibia baraka zako za fedha kuzihamisha kwa mtu mwingine kwa kutumia nguvu za giza,hapa viganja vya mikono yotr miwili vinaweza kuwasha cha kipokea(kushoto)na cha kutoa(kiganja cha mkono wa kulia).
KUTOFAUTISHA KUWASHA KIGANJA kwa kawaida na kinakosababishwa na mashambulizi ya nguvu za giza.
Kuna kosababisha na nguvu za giza kunakuwa kwa ghafla,halafu kunawasha sana na muda maalumu ule ule,na kunatokea pale ukikaribia kupata pesa au matatizo yanayoleta matumizi ya pesa yanapotokea
itakuletea hali ya wasiwasi na kukosa amani au nafsi kuwa uzito
muwasho unaendelea hata ukikuna hauishi tofauti na muwasho wa kukauka ngozi.
Kama matatizo ya kuongezeka matumizi ya pesa yanatokea baada ya kiganja kuwasha
HATUA YA KUCHUKUA
OMBA SALI Mungu BABA kama hukunkuwashwa kwa kiganja cha mkono kunatokana na maroho ya nguvu za giza zinazofuatilia uchumi wangu,nakukataa kwa jina la Yesu,nampinga shetani naye anikimbie,kila silaha yeyote itakayofanyika ,zifukuze ziondoke ziache kukufuatilia kwa jina la Yesu.
Vunja maagano yote ya ukoo,ya mizimu ,roho za ukoo zinazofuatilia maisha yako na uchumi wako,vunja hiyo mikataba ya mababu,wazee wa ukoo,waganga wa kienyeji,inayodai sadaka uchumi wako kwa jina la Yesu.
Nafunika baraka zangu za kiuchumi,fedha ,roho yangu,nafsi yangu,mwili,wangu ,kwa DAMU YA YESU.
Takasa mikono yako,viganja vyako mikono kwa kwa Damu ya Yesu.
KUMPA MKONO MTU.
kuna mtu ukimpa mkono ghafla una anza kukuwasha au kukuuma
au kuna nyumba ukiingia baadae viganja vya mikono vinaanza kukuwasha.
Kuna watu ukiwapa mkono tu unaanza kuumwa mkono.
Hosea 4:6
Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa;
Mit 3:16 SUV
Ana wingi wa siku katika mkono wake wa kuume, Utajiri na heshima katika mkono wake wa kushoto.
Mkono wa kulia-Umebeba wingi wa siku zako za kuishi.
Mkono wa kushoto-umebeba mafanikio yako
UKIOTA NDOTO
umeumia mkono wa kulia ,labda umekatika mkono,au mnyama amekuuma mkono wa kulia umeumia unavuja damu...maana yake washirikina mawakala wa nguvu za giza wanataka wakumalize kabisa ufe.,wachukue uhai wako.
mkono wa kushoto ..wanalenga kushambulia mafanikio yako heshima utajiri.
Ukiona KIGANJA cha mkono wa kushoto unakuwasha kusiko kwa kawaida ghafla tu bila ugonjwa bila sababu zinazotokana na ugonjwa.
Maana yake --Hiyo ni alama ya kufuatilia uchumi wako,mafanikio yako...wengi huwa wanafikiri kiganja cha mkono wa kushoto kikiwasha watapokea PESA ,ila ni kwamba hiyo alama ya kufuatilia mafanikio yako kiroho ina maanisha KUZUIA mafanikio yako,kuzuia usipate fursa,na hata ukipata pesa zitumike hovyo ziishe
unakuta kiganja kinawasha hata siku tatu mfululizo maana yake unapigwa vita ya upoteze uchumi wako,ugali wako,usipate fedha,usipate kazi,au hata ukipata fedha zipotee kwa haraka.
USIFURAHIE ukiona kiganja cha mkono wako kinawasha,ukafikiri inakaribia kupata pesa/mafanikio.
ni kinyume chake badala ya kupata/kupokea UNAKWENDA KUPOTEZA hata ukizipata zitapotea kama moshi upesi kwenye matatizo au zitazuiliwa zisikufie.
Maana ya pili ya ishara ya kuwashwa kiganja cha mkono wa kushoto,ni kuashiria mizimu ya ukoo wenu nayo maagano na nguvu za giza inataka utolee sadaka,unakuta mababu zako waliweka maagano na madhabahu za mizimu,waganga wa kienyeji,kuhusu uchumi/fedha saaa inadai mgao uwagawie pesa kidogo...hivyo zitapotea zitaisha kama upepo.
ukipata pesa matatizo ya matumizi yatatokea mpaka hiyo hela yote itumike iishe.
maana nyingine ya kuwashwa kiganja cha mkono ni kukuibia baraka zako za fedha kuzihamisha kwa mtu mwingine kwa kutumia nguvu za giza,hapa viganja vya mikono yotr miwili vinaweza kuwasha cha kipokea(kushoto)na cha kutoa(kiganja cha mkono wa kulia).
KUTOFAUTISHA KUWASHA KIGANJA kwa kawaida na kinakosababishwa na mashambulizi ya nguvu za giza.
Kuna kosababisha na nguvu za giza kunakuwa kwa ghafla,halafu kunawasha sana na muda maalumu ule ule,na kunatokea pale ukikaribia kupata pesa au matatizo yanayoleta matumizi ya pesa yanapotokea
itakuletea hali ya wasiwasi na kukosa amani au nafsi kuwa uzito
muwasho unaendelea hata ukikuna hauishi tofauti na muwasho wa kukauka ngozi.
Kama matatizo ya kuongezeka matumizi ya pesa yanatokea baada ya kiganja kuwasha
HATUA YA KUCHUKUA
OMBA SALI Mungu BABA kama hukunkuwashwa kwa kiganja cha mkono kunatokana na maroho ya nguvu za giza zinazofuatilia uchumi wangu,nakukataa kwa jina la Yesu,nampinga shetani naye anikimbie,kila silaha yeyote itakayofanyika ,zifukuze ziondoke ziache kukufuatilia kwa jina la Yesu.
Vunja maagano yote ya ukoo,ya mizimu ,roho za ukoo zinazofuatilia maisha yako na uchumi wako,vunja hiyo mikataba ya mababu,wazee wa ukoo,waganga wa kienyeji,inayodai sadaka uchumi wako kwa jina la Yesu.
Nafunika baraka zangu za kiuchumi,fedha ,roho yangu,nafsi yangu,mwili,wangu ,kwa DAMU YA YESU.
Takasa mikono yako,viganja vyako mikono kwa kwa Damu ya Yesu.
KUMPA MKONO MTU.
kuna mtu ukimpa mkono ghafla una anza kukuwasha au kukuuma
au kuna nyumba ukiingia baadae viganja vya mikono vinaanza kukuwasha.
Kuna watu ukiwapa mkono tu unaanza kuumwa mkono.
Hosea 4:6
Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa;