Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 54,982
- 54,114
Left hand
SafiInategemea na thamani ya Saa
Sie wa zile za Manzese na kariakoo za Buku tatu au mbili jero kama ya Kenyata tunavaa kushoto,maana hata ukikaa kwenye gari unamuachia kibaka mkono wa kuiba kisha kesho unatoa buku tatu unanunua nyingine.
Wale wenye ma Platinumz watch wao wanavaa kulia,we madini umeona wapi yakavaliwa kushoto mazeee
asante, big upTunavalia saa mkono wa kushoto (logic) kwa sababu kwanza iwe rahisi kuona mda wakati unaandika na pia mkono wa kushoto hauna movements nyingi kama mkono wa kulia. Hivyo kuifanya saa idumu miaka mingi and that's the fact
Karibu sanaasante, big up