Rwanda yaishambulia ndege ya kivita ya DR Congo

Rwanda yaishambulia ndege ya kivita ya DR Congo

Binafsi na Afrika nzima inasubiri stance ya DRC. Mpira uko Kwao kuamua direction ya hili jambo.

Nakua Sasa diplomacy kubwa inatumika. Simu zinapogwa sana Kishansa. Kagame anapigia Marais wengi wamtulize Chisekedi.

Imani yangu ikutupwa full scale war. Rwanda inarudi Miaka 20 nyuma.
Pia inawezekana ni chuki binafsi au morali binafsi ya mfyatua makombora kafyatua bila amri maana bangi mbaya
 
Wacongo Kuna Muda Naona wanafanana na Waukraine kwa namna 'wanavyoshinda" Vita Kule Twitter,walipoingiza ndege kwa tolu Mara 2 walifurahi kishenzi mpk wqkachapisha t-shirt zenye picha ya Sukhoi visit Rwanda 😄😄,Jana wamepigwa na hio man pad wanalalamika huku wakisema tumepigwa lkn hatujaumia.

Kule Twitter unaweza ukasema Congo ndio Ina jeshi imara kwa Africa nzima 😄😄
 
Kagame anajiona mbabe wa East Africa ajaribu kujifunza kwa Putin, usimdharau mtu hata kama unamuona ni mnyonge maana siku akiamua kukiwasha utajuta.

Askar wa Ukraine wanapambana kwa morali kuilinda nchi Yao ila askar wa Urusi wanapambana kwa kulazimishwa ili kulinda hadhi ya Putin
 
Hivi mnazijua vita!! TUJIFUNZE KUTOFAUTISHA VURUGU NA VITA. Vita Rais anapata nafasi ya kutoroka na ndege usema hiyo ni vita!!.
Vita ni zile unasikia"anga ya nchi ya nchi fulani imefungwa, manwali na ma- Aircraft carrier yanasogezwa kwenye Pwani yako".

Maraisi wote waliowahi pigana vita wakashindwa walizikimbia nchi zao kwa mguu si hata Baiskari.
Rais anaogopa hata kupanda Baiskari anahisi inaweza kuwa detected na maadui.

Vita ni hii kama ya Ukraine. Vita zimepiganwa na akina Sadam Hussein akina Hitler, akina Musolin.
Sadamu hussein akianza simulia vita tega sikio umsikilize kwa umakini si Nyerere ama Amin.
Amin anaondoka nchini kwake huku anawasiliana na washikaji zake hadi wanamuandalia sehemu ya kufikia lakini Sadamu hussein hata simu hakutaka kuisogelea kwa hofu ya kudukuliwa ikabidi akaeshimoni.
Tanzania tuliwai kuwa na Vurugu na Uganda na si vita.
Wewe jamaa wewe, hivi kila nchi ina pwani? Unajua kuwa watu wamekufa kwenye hiyo vita unayoiita vurugu?
 
Military science na technolojia za vifaa vya kijeshi Ipo juu Sana kulingana na wakati msibishe zipo alert na warning ⚠️ missile za aina nyingi na tofauti
Hakuna MANPAD ni warning shot, na warning shots hawatumii missiles. A few bursts in front of the Intruder, hapo ulishamuonya kwa frequency za wazi zisizo coded na vilevile ushafanya manouvre kukatiza mbele yake ukihakikisha anakuona kutokea kwenye cockpit yake. Hiyo ndiyo warning, sio hiki unachosema hapa.

Hiyo ni Su-25 ambayo ni ground attack, iko reinforced with armour ndio maana imehimili. Na inaweza himili zaidi ya shambulizi kama hilo ila ingekuwa ndege nyingine isiyo na armour labda madhara yangekuwa makubwa
 
Back
Top Bottom