Jick
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 1,427
- 2,217
Sasa hapo unaongea nini mkuu?? Ndo unaongea nilichosema.Ndiyo, kila nchi inauwezo wake lakini bajaji inabaki kuwa bajaji tu hata ikiwa ndani ya viunga vya New York na Jeep itabaki kuwa Jeep tu hata kama utaipeleka Nkololo.
Ndio maana nimekwambia wanapigana kulingana na uwezo na mbinu zao.