Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 72,402
- 191,522
Lini hio?Tuno ma pilot watu wapo well trained
Tulishawahi Fanya jambo LA kutisha Kampala airport
Lini hio?Tuno ma pilot watu wapo well trained
Tulishawahi Fanya jambo LA kutisha Kampala airport
Kagera warLini hio?
Kumbe unaongelea zama za gizaKagera war
Inchi nyingi zina heshimika na kuogopeka kutokana na vita za miaka iliopita . ndo maana Luna ichi zinatunishiana misuli na marekani kwa sababu zinajua vita nyingi alizopigana marekani huko nyuma marekani imeishia kupigwaKumbe unaongelea zama za giza
Kwamba tuliachana na air force!?Kumbe unaongelea zama za giza
Hayo yalifanywa na mboma peke yake ambae kwa sasa ni mzee saanaTuno ma pilot wapo well trained
Tulishawahi Fanya jambo LA kutisha Kampala airport
Hatuna air force!?AHtfanywa na mboma peke yake ambae kwa sasa ni mzee saana
Of course hata mimi ile ya Kagera sijawahi chukulia kama vita, ile ilikuwa fujo tuHivi mnazijua vita!! TUJIFUNZE KUTOFAUTISHA VURUGU NA VITA. Vita Rais anapata nafasi ya kutoroka na ndege usema hiyo ni vita!!.
Vita ni zile unasikia"anga ya nchi ya nchi fulani imefungwa, manwali na ma- Aircraft carrier yanasogezwa kwenye Pwani yako".
Maraisi wote waliowahi pigana vita wakashindwa walizikimbia nchi zao kwa mguu si hata Baiskari.
Rais anaogopa hata kupanda Baiskari anahisi inaweza kuwa detected na maadui.
Vita ni hii kama ya Ukraine. Vita zimepiganwa na akina Sadam Hussein akina Hitler, akina Musolin.
Sadamu hussein akianza simulia vita tega sikio umsikilize kwa umakini si Nyerere ama Amin.
Amin anaondoka nchini kwake huku anawasiliana na washikaji zake hadi wanamuandalia sehemu ya kufikia lakini Sadamu hussein hata simu hakutaka kuisogelea kwa hofu ya kudukuliwa ikabidi akaeshimoni.
Tanzania tuliwai kuwa na Vurugu na Uganda na si vita.
Ile ilikuwa Tanzania na Iddi Amini japo kulikuwa na waganda wengi waliokuwa upande wetuUmeandika mapupu (hoja dhaifu)in short you are not machuwadi inafu
Vita vya Kagera Tanzania na Uganda
kuna mda huwa naangaliaga documentary za Rwanda/ Congo / sierra leone LiberiaUbaya wa vita ni masikini ndio huteseka, kuna siku YouTube nimekuta video ya vita ya Zaire 1997 mtu kafariki maiti ipo nje chini alafu ndege anamdonoa sehemu za siri
We ya kagera umeiona wapi!?..Vita huwaje!?Zile fujo watu wamezipa sana ukubwa zimekuwa zinaogofya kuliko hata vita yenyewe
Ipo na ni nzuri tuHatuna air force!?
Ile ya Kagera?WE Of course hata mimi ile ya Kagera sijawahi chukulia kama vita, ile ilikuwa fujo tu
We ya kagera umeiona wapi!?..Vita huwaje!?
Mkuu kaa chini tafuta watu wakuelezee, vijana wametawanywa kila corner ya Dunia hii kusaka maarifa, tupo vizuri kuliko unavyoweza kufikiria.Tanzania imejikita kwenye combat tu, kupigana chini ila kwa nchi yenye utawala wa anga hatutoboi
Nchi isingekuwa inavurugwa na ccm hii kiasi hichi kama kweli kungekuwa na jeshi imaraMkuu kaa chini tafuta watu wakuelezee, vijana wametawanywa kila corner ya Dunia hii kusaka maarifa, tupo vizuri kuliko unavyoweza kufikiria.
Unamuonyaje mtu yupo kwenye airspace yake?Soma vzr,imeshaonywa Mara 2.
Kupitia no. *102#Unamuonyaje mtu yupo kwenye airspace yake?
Hakuwa peke yake, na maneuver waliyotumia kupiga OP za Idi Amin vijana wanafundishwa na ndio wanajifunza nzuri zaidi.Hayo yalifanywa na mboma peke yake ambae kwa sasa ni mzee saana
hili linajulikaMama Samia anaenda na Tshekedi