Rwanda yaishambulia ndege ya kivita ya DR Congo

Rwanda yaishambulia ndege ya kivita ya DR Congo

Kwa mujibu wa flight tracking michoro inaonyesha ndege iliingia kwenye anga la rwanda lakini ni upande wa ziwani tena kipande kidogo wakati inafanya turning ili iweze kutua uwanjani, lakini picha za video zinaonyesha warwanda wanaishambulia ndege wakati tayari ipo upande wa [emoji1078] ikielekea kutua uwanjani, tolu mkorofi sana
Ndicho nilichosema tangu awali. Angalia commect zangu zote.
Ilitakiwa washoot tangu ziwani na sio pale.
 
Kwa mujibu wa flight tracking michoro inaonyesha ndege iliingia kwenye anga la rwanda lakini ni upande wa ziwani tena kipande kidogo wakati inafanya turning ili iweze kutua uwanjani, lakini picha za video zinaonyesha warwanda wanaishambulia ndege wakati tayari ipo upande wa [emoji1078] ikielekea kutua uwanjani, tolu mkorofi sana
Angalia hii comment
Post in thread 'Rwanda yaishambulia ndege ya kivita ya DR Congo' https://www.jamiiforums.com/threads...vita-ya-dr-congo.2059491/page-4#post-45077136
Na inavideo kabisa niliipost.
 
Rwanda wanasema ndege ilikuwa ndani ya Rwanda, na sio mara ya kwanza Rwanda alimwonya DRC aache mchezo wake wa kuingiza ndege za kivita kwenye anga lake, hii ilikuwa mara ya tatu, DRC kapata alichokuwa anatafuta na ana bahati haikuwa majivu lakini sijui kama itaruka tena, hizo ndege ni mamilioni ya dollar na unauziwa bila maintenance likiharibika unanunua mpya and no negotiations, akili za Congolese anamtishia Kagame kaishia hasara ya mamilioni ya dollar
Afu zile ndege marubani wanaorusha sio wa congo wenyewe.
 
Screenshot_20230127-102149_Maps.jpg

Uwanja wa ndege Goma umepakana na rwanda katika MJI wa gisenyi.
Na kama unavyoona hapo , ukitaka kutua uwanjani lazima utokee UPANDE wa ziwani ambao sehemu kubwa ya rwanda imeingia ndani , ni rahisi sana ndege KUINGIA ndani ya rwanda kwa UPANDE wa ziwani.
 
Si uandike kiswahili tu mkuu.. Woihh[emoji23][emoji23]
So many iliterates and teenagers being raised by single failed retired whōres / over aged mums on this forum ..

It's so sad, it's as if all the educated and sound minded matures have left this forum.

Only touts iliterates whòres and street drug addicts remain here
 
**** wewe kwanza hamna shabaha.. Yani chuma imepita anga ya chini slomoo mmeikosa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji41][emoji41][emoji41] nyie ni machoko
[emoji1787][emoji1787]
 
Hii nchi ya congo wananikera sana kwa ukubwa wa nchi yao na rasilimali zao walipaswa kuwa russia ya africa.. nashangaa anapelekeshwa na hao kina tolu.

Wacongo ni wazembe sana
 
Aisee Tshisekedi hajashambulia mpk leo?anafeli aiseee,tolu apigweeeeeee
 
Hawa viongozi wa nchi hizi mbili wanaonekana kuwa na nia ya kuhasimiana pasipo sababu yoyote. Mji wa Goma upande wa DRC na Gisenyi upande wa Rwanda, ni miji iliyounganika kama ilivyo Tunduma ya Tanzania na Nakonde ya Zambia. Wenyeji wa miji hiyo huchanganyikana muda wote katika harakati za maisha! Kuna uwezekano wa kuvuka kila upande kihalali na haramu. Miji hiyo kila mmoja una kiwanja cha ndege na viko karibu karibu sana.
DRC hakupaswa kurusha ndege ya kivita juu ya anga ile kwa sababu Air Defense System za Rwanda zingejibu tu! Rwanda nae hakupaswa kupandisha kiwango cha utayari wa kuingia vitani kiasi cha kufyatua kombora kwa ndege ya kivita ambayo haikuonekana kuwa na lengo la kushambulia. Nadhani busara imetumika kutuliza mambo, vinginevyo tungeshuhudia tena nchi za Afrika Mashariki zikinyukana.
 
Mpaka hapa nimejiridhisha congo ni wazembe na waoga, yaani hii ni sababu tosha ya kumvamia tolu na kuifanya rwanda kama sehem ya congo.

Kama congo atanzisha vita dhidi ya Rwanda wale wapinzani wa tolu watasimama na congo kumuondoa tolu.

Hii vita itakua ya muda mfupi na utakuwa mwisho wa dikteta tolu, ni uzembe wa congo tu
 
Ndege za DRC zina technology ya kuzuia makombora ? Maana naona damage sio kubwa na nikama matundu ya Risasi

Hii vita Tshikedi atumie ndege tu anaikalisha Rwanda
Itakuwa ni lile kombora linaloripuka mita chache kabla ya ku-impact kwenye target na kuachia fragments zinazosambaa 360°
 
So many iliterates and teenagers being raised by single failed retired whōres / over aged mums on this forum ..

It's so sad, it's as if all the educated and sound minded matures have left this forum.

Only touts iliterates whòres and street drug addicts remain here
Duuhh.. Hicho ndio kiingereza ulisomeshwa pale international school of Tanganyika sio.. ? [emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom