Rwanda yaishambulia ndege ya kivita ya DR Congo

Rwanda yaishambulia ndege ya kivita ya DR Congo

HIZO MAN PAD ZA RWANDA NINAWASIWASI NAZO YANI INASHODWA KUANGUSHA NDEGE IPO CHINI HIVYO TENA CHINI SANA.
MANPAD INAWEZA KWENDA MPAKA 3 TO 6 KM ANGANI NA KUFANYA KAZI VIZURI SANA.
SASAHIZO SIJAJUA IMEKUWAJE
Utaambiwa tanzania tuna silaha duni, wengine wana kali.
 
Kagame anajiona mbabe wa East Africa ajaribu kujifunza kwa Putin, usimdharau mtu hata kama unamuona ni mnyonge maana siku akiamua kukiwasha utajuta.

Askar wa Ukraine wanapambana kwa morali kuilinda nchi Yao ila askar wa Urusi wanapambana kwa kulazimishwa ili kulinda hadhi ya Putin
Source yako ya kusema askari wa Russia wanalazimishwa kupambana Ni DW,BBC, CNN, FRANCE 24,SKY NEWS etc
 
Tanzania imejikita kwenye combat tu, kupigana chini ila kwa nchi yenye utawala wa anga hatutoboi
 
Yani uki bip tu! unapigiwa!.🤣🤣🤣
DRC wame bip!

Mr Tsisekedi anataka Uchaguzi usifanyike ndio maana anajifanya mbabe wa Maneno ila hawezi subutu ki vita na Rwanda.
Huo uwezo hana.
 
T
ia imejikita kwenye combat tu, kupigana chini ila kwa nchi yenye utawala wa anga hatutoboia
Tanzania imewekeza zaidi kwenye makombora ya kudungua ndege,wanayo ya kudungua ndege yoyote ndani ya majeshi ya nchi jirani
 
Yani uki bip tu! unapigiwa!.🤣🤣🤣
DRC wame bip!

Mr Tsisekedi anataka Uchaguzi usifanyike ndio maana anajifanya mbabe wa Maneno ila hawezi subutu ki vita na Rwanda.
Huo uwezo hana.
Kwani Rwanda ana kitu gani!?
 
T
ia imejikita kwenye combat tu, kupigana chini ila kwa nchi yenye utawala wa anga hatutoboia
Tanzania imewekeza zaidi kwenye makombora ya kudungua ndege,wanayo ya kudungua ndege yoyote ndani ya majeshi ya nchi jirani
Na nadhani hii njia Ni effective Sana,maana Kama hio ndege ya Congo ya mimilioni ya $$ lkn inashushwa na kakitu ka kuweka begani tu, what a loss.
 
HUYO PILOT AKACHINJE MBUZI..

Haya ndo mambo naoenda kuyasikia ,siyo mdomomdomo tu kila siku.

Hata Shekedi aje tena!!
 
Soma vzr post, haikuwa anga la Rwanda
Ndege ilikuwa inalanding goma airport , angalia map Goma airport imepakana na rwanda.
Imepigwa ndege kipindi ipo kwenye anga la congo na missile imetoka UPANDE wa rwanda. Wao rwanda wadai kuwa kabla ijafika hapo iliingia kwenye anga yake .
Huyo wa kupuliza ni mama ivan.
Wewe fuatilia commect zake za congo na rwanda ndo utajua vizuri.
 
Back
Top Bottom