kibarango
Senior Member
- Sep 6, 2014
- 146
- 309
Ndege vita aina ya Sukhoi 25 ya DRC imeshambuliwa kwa missile direct from Rwanda. Ndege hii ilikua ndani ya anga ya DRC ikizunguka mjini Goma.
Bahati mbaya ama nzuri wakati wakishambulia kuna raia karekodi akiwa mpakani. Amerekodi louching site za Rwanda.
Ndege hiyo imefanikiwa kutua salama Mjini Goma ila inaonekana imepata madhara.
Sasa macho na masikio ni nini itakuwa majibu/reaction ya DRC.
View attachment 2494317View attachment 2494318View attachment 2494319
Bahati mbaya ama nzuri wakati wakishambulia kuna raia karekodi akiwa mpakani. Amerekodi louching site za Rwanda.
Ndege hiyo imefanikiwa kutua salama Mjini Goma ila inaonekana imepata madhara.
Sasa macho na masikio ni nini itakuwa majibu/reaction ya DRC.
View attachment 2494317View attachment 2494318View attachment 2494319