Rwanda yaishambulia ndege ya kivita ya DR Congo

Rwanda yaishambulia ndege ya kivita ya DR Congo

Hivi mnazijua vita!! TUJIFUNZE KUTOFAUTISHA VURUGU NA VITA. Vita Rais anapata nafasi ya kutoroka na ndege usema hiyo ni vita!!.
Vita ni zile unasikia"anga ya nchi ya nchi fulani imefungwa, manwali na ma- Aircraft carrier yanasogezwa kwenye Pwani yako".

Maraisi wote waliowahi pigana vita wakashindwa walizikimbia nchi zao kwa mguu si hata Baiskari.
Rais anaogopa hata kupanda Baiskari anahisi inaweza kuwa detected na maadui.

Vita ni hii kama ya Ukraine. Vita zimepiganwa na akina Sadam Hussein akina Hitler, akina Musolin.
Sadamu hussein akianza simulia vita tega sikio umsikilize kwa umakini si Nyerere ama Amin.
Amin anaondoka nchini kwake huku anawasiliana na washikaji zake hadi wanamuandalia sehemu ya kufikia lakini Sadamu hussein hata simu hakutaka kuisogelea kwa hofu ya kudukuliwa ikabidi akaeshimoni.
Tanzania tuliwai kuwa na Vurugu na Uganda na si vita.
Umeandika utumbo.
 
Ni kweli hawapo serious ndio maana hata wananchi wanacheka, lakini vita ni planning huwezi jua sababu ya jamaa kupeleka Rwanda ndege kila mara,mwaka jana mwishoni uliona zile video askari wa jwtz wameuliwa msumbiji na kuporwa magari ? Haimaanishi jwtz haina uwezo wa kuingia msumbiji ila unakuta wameshafanya calculation zao wameona in a long run itawa cost

Issue ya M23 ni tofauti sana ndio maana hata jwtz imewashindwa mpaka leo
Tuko hapa mkuu,tutakumbushana DRC itafanya Nini khs tukio la leo.
 
Ujinga wa tall anazo silaha nzito na ndege za kisasa lakini hawezi kurusha hizo ndege kutokana na udogo wa nchi yake. Ndege amezipaki Eritrea.
😄😄 Israel ukubwa wake Ni Sq km 22,145 na Inarusha ndege Kama kawa, Rwanda ukubwa wake Ni Sq km 26,000 inashindwaje kurusha ndege?Au siku hizi principles za urushaji wa ndege zimebadilika 😄😄
 
Hivi mnazijua vita!! TUJIFUNZE KUTOFAUTISHA VURUGU NA VITA. Vita Rais anapata nafasi ya kutoroka na ndege usema hiyo ni vita!!.
Vita ni zile unasikia"anga ya nchi ya nchi fulani imefungwa, manwali na ma- Aircraft carrier yanasogezwa kwenye Pwani yako".

Maraisi wote waliowahi pigana vita wakashindwa walizikimbia nchi zao kwa mguu si hata Baiskari.
Rais anaogopa hata kupanda Baiskari anahisi inaweza kuwa detected na maadui.

Vita ni hii kama ya Ukraine. Vita zimepiganwa na akina Sadam Hussein akina Hitler, akina Musolin.
Sadamu hussein akianza simulia vita tega sikio umsikilize kwa umakini si Nyerere ama Amin.
Amin anaondoka nchini kwake huku anawasiliana na washikaji zake hadi wanamuandalia sehemu ya kufikia lakini Sadamu hussein hata simu hakutaka kuisogelea kwa hofu ya kudukuliwa ikabidi akaeshimoni.
Tanzania tuliwai kuwa na Vurugu na Uganda na si vita.
Ulikuwepo hiyo vurugu ya Uganda?
 
**** wewe kwanza hamna shabaha.. Yani chuma imepita anga ya chini slomoo mmeikosa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji41][emoji41][emoji41] nyie ni machoko
Aihhhh..[emoji23][emoji23][emoji23] Mode ni fundi[emoji1430][emoji1430][emoji1430]
 
Kama ame launch missile ndege ikiwa imetoka Rwanda alafu wameita defensive measure basi Rwanda ni dhaifu, hiyo ndege ya DRC kwanza ilikuwa slow ingekuwa faster sidhani kama wangeipata
Mkuu ndege ilikuwa slow coz ilikuwa inatuambia kwenye uwanja wa ndege wa Goma
Na ndo maana imepigwa ikaenda kutuma ilikuwa inatua , uwanja wa Goma upo karibu na mpaka wa congo.
Ni kama 1 km mpaka mpakani.
Hata km1 INAWEZA kuwa mbali.
 
Ujinga wa tall anazo silaha nzito na ndege za kisasa lakini hawezi kurusha hizo ndege kutokana na udogo wa nchi yake. Ndege amezipaki Eritrea.
Ndege gani mkuu tuambie. Kama Israel wana km square 22,000.
Wana rusha jet zao kwao.
Na kagame anazaidi ya 26,000.
Afya ashidwe.
PK ANAZO drone zinaitwa BT2 z uturuki hata congo NAO walinunua juzi kutoka uturuki. Ila PK jet SIDHANI kama anazo.
 
**** wewe kwanza hamna shabaha.. Yani chuma imepita anga ya chini slomoo mmeikosa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji41][emoji41][emoji41] nyie ni machoko
Kuna wengine WANASEMA hiyo air defense system in ya kirusi , na missile imegundua kuwa jet ni yakirusi kwa hio imezuia kuangusha sasa sijajua sijuibni kweli.
Ila hio manpad ni ya kichoko hedge hio ilikuwa karibu sana tena sana.
Hata MITA 200 haikufika ilikuwa inatua uwanja wa ndege wa goma.
 
Hakuna missile ya kutishia. Manouvre za kutishia hufanywa na ndege interceptor, sio missile.
Ili kuwa ni missile ya kutishia tu na Wala sio ya kujaribu. Ukiona hapo imeigusa kabisa ndenge na kama ilikuwa ni offensive ndege ingelipuka. Nadhani haku intend kuilipua Bali kuwapa onyo kwa vitendo
 
Back
Top Bottom