Bongolander, naomba nikuulize kitu na naomba unijibu as i have asked you?
Kwanza tunajua kuwa Twagiramungu is sworn to overthrow the elected government of rwanda. Halafu tunajuwa kuwa makazi yake sio tanzania bali ni ubelgiji! Sawa.. naomba kukuuliza kitu kimoja?
1. Twagiramungu amealikwa na raisi wenu kuja kufanya nini?
2. Hawa akina Rudasingwa who self-exiled himself in the US because of corruption practises when he was the ambassador ambae nae pamoja na akina Kalegeya swore to use any necessary means to overthrow our government wamekuja tanzania kufanya nini...na mind you wamekuja wakifuatana...is that a coincidence? I don't think so.
3. Hivi jirani yako ukianza kumuona anaalika maadui zako kila siku utafanyaje? Halafu anawaingiza kwake usiku usiku lakini kwa umakini wako unagundua? Huyo ni jirani mwema?
Naomba unijibu
1. Sijui kama nni kweli Rais wetu amemwalika Twagiramungu, na siamini kama kweli Rais wa Tanzania amemwalika
Twagiramungu. Kama kweli Twagiramungu amealikwa inawezekana ni kwa sababu za kisiasa, kutokana kijibu vitendo vya Paul Kagame.
2. Sababu inayowafanya watu wanaoipinga serikali ya Rwanda waje Tanzania kwa kufuatana (kama ni kweli), inaweza
kuwa ni kutokana na sababu za kiuslama na kutaka kujua kutoka kwa watu wanaoijua vizuri serikali ya PK maana ya vitisho alivyotoa PK, matusi waliyotoa wanasiasa waandamizi wa Rwanda kwa Tanzania, serikali
ya Tanzania na Rais wa Tanzania.
3. Ukiona jirani yako anaalika maadui wako, kweli katika hali ya kawaida kuna maana mbaya, au anatuma ujumbe fulani kwako. Lakini hawa jamaa hawaingii kisiri, walaingia wazi wazi tu kwa mtindo wa kuwafanya majasusi wa rwanda wajue kuwa wameingia.
Something to note though, it is justified from Rwandan vintage point to be worried which what Kigali authorities percieve to be a retaliation from JK, it is understandable if Kigali crys foul or even act.
However, you have to remember that when you are a leader, whenever you cause a diplomatic spat and for whatever reason, and whatever you says in public that may be subejct to open interpretation, you bear full responsibility of the outcome of your actions and words. PK as the President, Mushikwabo as FM know this very well.
In normal cases (not diplomatically) when someone insults you, vilify you, threatens to hit you, or even equates you to interhamwe, just for telling you a right thing (which for your own political reasons) which you think it is not, is it very understandable for you to react. But insulting back a person who insults you, does not make you any different from him, that is why i think my president and his entire government were very right not to engage themselves in verbal exchanges with authorities in Kigali. Paul Kagame can comfortably threaten Yoweri Museveni and can happily threaten Joseph Kabila, and how the two chose to react was their business. JK or Tanzania has her own way of reacting. When PK stood before militarymen in Kigali and vilify JK he definately knew what he was doing, and he bears full responsibility for what is happening.
Murutongore wewe unaongea kiswahili vizuri, naamini umeishi Tanzania, au ni mtanzania by affiliation, kwa hiyo naomba hili jambo uliangalie kwenye muktadha wake na kwa mentality ya mtanzania. Unajua kabisa kuwa JK hapa Tanzania sio Mungu, ndio maana anapiga hesabu vizuri sana kudeal na jambo hili bila kutukasirisha watanzania. JK hana beef hata kidogo na Rwanda, wanyarwanda, (watutsi au wahutu), na hakuna mtanzania mwenye chuki na wanyarwanda. Wanyarwanda ni ndugu wa watanzania kwa muda mrefu tena ni jirani zetu wema, long before Kagame hajazaliwa and that will be the case long after he leaves. Sioni kama ni jambo la busara kuanza kuangalia uhusiano kati ya wanyarwanda na watanzania kwa jicho la mvutano kati ya PK na JK, huku kwetu JK amebakiza siku 700 hivi za urais, tutakuwa na jina lingine, so we can not have an atomistic view of Rwanda-TZ relations, we have to look at at beyond PK na JK. Hata hivyo kutokana na ukaribu wa Rwanda na Tanzania, kinachotokea kati ya PK na JK, baadhi yetu tunakifananisha na kile kati ya JK na wanasiasa wengine wa Tanzania, au JK na Dr Slaa, bahati mbaya ni kuwa hili la JK na PK lina harufu ya diplomasia ndani yake.
Lakini vile vile ukumbuke kuwa Tanzania ni soveregin country, whoever comes to Tanzania is up to us to Tanzania to decide, not Kigali. Hyabyarimana tuliwahi kumwambia kuwa hawezi kutuambia watutsi wasije Tanzania, eti kwa kuwa wanapigana na serikali yake, we can tell PK the same hawezi kutuambia nani asije Tanzania kwa kuwa anataka kuiondoa serikali yake. Na kuja kwa hao watu, kama kweli wamekuja, hakuna maana kuwa Tanzania inaunga mkono vitendo vyao. PK anasumbuliwa na guilty conscious.
The problem is arrogance ya PK na baadhi ya watu Kigali, ya kutotaka kukubali kuwa hawa-kudeal vizuri na pendekezo la JK kuongea na FDLR, ndio inasumbua sasa. You can not believe how strong can respect be.