Ruto, Raila kuelekea Jumatatu, Tanzania tuna mengi ya kujifunza

brazaj

JF-Expert Member
Jul 26, 2016
27,823
35,829
"Katikati ya lindi la yaliyotukuta Kagera, Mola atufanyie wepesi janga hili lituepuke."

Hata hivyo maisha lazima yaendelee.

Kutokea kwa majirani zetu:

Ilikuwa wiki yenye mengi kutokea Jumatatu iliyopita iliyoshuhudia kimbembe cha kufa mtu, pata shika nguo kuchanika.

Miamba miwili kila mtu kwenye ngome yake ikaendelea kujiwinda na kuvurumishiana magoma ya vita.

Upande wa Ruto:

1. Wakatoa miito rasmi kuomba kama vipi wahisani au hata ICC waingilie kati kumtia adabu Baba kwa wanachokiita utoto tundu wake wa kutaka kuivuruga Kenya.
2. Wakavilaumu vyombo vya habari kwa kuyapatia mileage maandamano yale.
3. CAK (kama ilivyo TCRA ya kwetu) ikavipiga onyo kali vyombo vyote vya habari vilivyo ripoti matukio ya Jumatatu.
4. CAK ikapiga marufuku kufanya coverage yoyote kuhusiana na maandamano. Tishio lile lile pendwa la kupokonywa leseni.

"Tangia jana si radio, gazeti au TV ziliweza kusema lolote kuhusu maandamano yaliyopita au yajayo."

Upande wa Baba:

1. Utamu wa harufu ya ukombozi ukawafanya yeye na wafuasi wake kuongeza dozi ya maandamano kuwa 2 kwa wiki badala ya 1.

"Vyuma vikasubiriwa kuumana."

Wadau wengine:

1. Maaskofu wa RC Kenya kwenye mkutano wao rasmi kuhusu mzozo huu, wakatoa tamko kuwataka wawili hao kuridhiana. Yaani maongezi ya ana kwa ana mezani. Maridhiano!

2. Vyombo vya habari vikakimbilia mahakamani haki yao ya kuhabarisha na kina sisi kuhabarishwa vimekiukwa.

3. Mahakama nayo haikufanya ajizi. Kwenye hukumu iliyotolewa Leo, CAK, chali! Hatua zote alizokuwa kachukua ni batili. Magazeti, Radio na TV zikarejea tulipokuwa.

Tulipo sasa tuko square "A". Jumatatu ni D-Day kwa ari mpya, nguvu na kasi mpya.

Jumatatu polisi hawana kisingizio kwani maandamano yatakuwa halali.

"Kenya wenye nchi wananchi!"

Ishukuriwe Katiba yao bora kabisa waliyokuwa nayo.

Tuipiganie Katiba mpya ndugu zangu. Wenye nchi wananchi tunastahili vilivyo bora.

Source: Nation Media
 
Ndo mana CCM hawataki katiba mpya.
KENYA NI YA WAMCHI, SIYO YA WAJALUO IF YOU PICKET MY SHOP AND STOP ME FROM SELLING MY WARES, YOU ARE GOING TO BE DISENFRANCHISING ME SO THE LAW MST STOP YOU. WHAT HAPPENS IF PEOPLE ANDAMANA KUPINGA WANAONDAMANA AU WANAANZISHA VIKUNDI VYA ULINZI KUJIHAMI NA WAANDAMANAJI, SI NI VITA?
 
Wakenya kwa kuuana hawana muda wa kuchekacheka! Inabidi na sisi tupate katiba mpya tufanye hivyo. Hii katiba ya sasa inatuminya - ituachie tufanye kama wenzetu waKenya.

Ma CCM, walamba asali au wale vijana wa hovyo comments zao ndiyo kama hizi sasa.

Wakisikia Katiba mawazo yao na bongo zao hufarakana irreversibly.

Kazi kweli kweli.
 
"Katikati ya lindi la yaliyotukuta Kagera, Mola atufanyie wepesi janga hili lituepuke."

Hata hivyo maisha lazima yaendelee.

Kutokea kwa majirani zetu:

Ilikuwa wiki yenye mengi kutokea Jumatatu iliyopita iliyoshuhudia kimbembe cha kufa mtu, pata shika nguo kuchanika.

Miamba miwili kila mtu kwenye ngome yake ikaendelea kujiwinda na kuvurumishiana magoma ya vita.

Upande wa Ruto:

1. Wakatoa miito rasmi kuomba kama vipi wahisani au hata ICC waingilie kati kumtia adabu Baba kwa wanachokiita utoto tundu wake wa kutaka kuivuruga Kenya.
2. Wakavilaumu vyombo vya habari kwa kuyapatia mileage maandamano yale.
3. CAK (kama ilivyo TCRA ya kwetu) ikavipiga onyo kali vyombo vyote vya habari vilivyo ripoti matukio ya Jumatatu.
4. CAK ikapiga marufuku kufanya coverage yoyote kuhusiana na maandamano. Tishio lile lile pendwa la kupokonywa leseni.

"Tangia jana si radio, gazeti au TV ziliweza kusema lolote kuhusu maandamano yaliyopita au yajayo."

Upande wa Baba:

1. Utamu wa harufu ya ukombozi ukawafanya yeye na wafuasi wake kuongeza dozi ya maandamano kuwa 2 kwa wiki badala ya 1.

"Vyuma vikasubiriwa kuumana."

Wadau wengine:

1. Maaskofu wa RC Kenya kwenye mkutano wao rasmi kuhusu mzozo huu, wakatoa tamko kuwataka wawili hao kuridhiana. Yaani maongezi ya ana kwa ana mezani. Maridhiano!

2. Vyombo vya habari vikakimbilia mahakamani haki yao ya kuhabarisha na kina sisi kuhabarishwa vimekiukwa.

3. Mahakama nayo haikufanya ajizi. Kwenye hukumu iliyotolewa Leo, CAK, chali! Hatua zote alizokuwa kachukua ni batili. Magazeti, Radio na TV zikarejea tulipokuwa.

Tulipo sasa tuko square "A". Jumatatu ni D-Day kwa ari mpya, nguvu na kasi mpya.

Jumatatu polisi hawana kisingizio kwani maandamano yatakuwa halali.

"Kenya wenye nchi wananchi!"

Ishukuriwe Katiba yao bora kabisa waliyokuwa nayo.

Tuipiganie Katiba mpya ndugu zangu. Wenye nchi wananchi tunastahili vilivyo bora.

Source: Nation Media
Uhuru wa kiboya huo Yani mnaandamanishwa kwa maslai ya mwanasiasa
 
Kwanini wasisubir uchaguz wamuondoe kwa kura

Wanachokifanya sio poa ni uwendawazimu

Lengo si kumtoa madarakani. Kuna mambo hataki kuwasikiliza. Kama hataki kuwasikiliza njia zingine halali ndiyo hizi sasa.

"Kwanini wasimtoe sasa kwa mujibu wa katiba kama hafanyi anayopaswa kufanya kwa mujibu wa katiba?"

Maana kamili ya wenye nchi wananchi.
 
KENYA NI YA WAMCHI, SIYO YA WAJALUO IF YOU PICKET MY SHOP AND STOP ME FROM SELLING MY WARES, YOU ARE GOING TO BE DISENFRANCHISING ME SO THE LAW MST STOP YOU. WHAT HAPPENS IF PEOPLE ANDAMANA KUPINGA WANAONDAMANA AU WANAANZISHA VIKUNDI VYA ULINZI KUJIHAMI NA WAANDAMANAJI, SI NI VITA?

Unaandika kutokea Buza ya Kenya ipi mkuu?

Huu mitego ya kutega kunguru kwa maharage makavu huwa inanasa kweli mkuu? 🤣🤣
 
"Katikati ya lindi la yaliyotukuta Kagera, Mola atufanyie wepesi janga hili lituepuke."

Hata hivyo maisha lazima yaendelee.

Kutokea kwa majirani zetu:

Ilikuwa wiki yenye mengi kutokea Jumatatu iliyopita iliyoshuhudia kimbembe cha kufa mtu, pata shika nguo kuchanika.

Miamba miwili kila mtu kwenye ngome yake ikaendelea kujiwinda na kuvurumishiana magoma ya vita.

Upande wa Ruto:

1. Wakatoa miito rasmi kuomba kama vipi wahisani au hata ICC waingilie kati kumtia adabu Baba kwa wanachokiita utoto tundu wake wa kutaka kuivuruga Kenya.
2. Wakavilaumu vyombo vya habari kwa kuyapatia mileage maandamano yale.
3. CAK (kama ilivyo TCRA ya kwetu) ikavipiga onyo kali vyombo vyote vya habari vilivyo ripoti matukio ya Jumatatu.
4. CAK ikapiga marufuku kufanya coverage yoyote kuhusiana na maandamano. Tishio lile lile pendwa la kupokonywa leseni.

"Tangia jana si radio, gazeti au TV ziliweza kusema lolote kuhusu maandamano yaliyopita au yajayo."

Upande wa Baba:

1. Utamu wa harufu ya ukombozi ukawafanya yeye na wafuasi wake kuongeza dozi ya maandamano kuwa 2 kwa wiki badala ya 1.

"Vyuma vikasubiriwa kuumana."

Wadau wengine:

1. Maaskofu wa RC Kenya kwenye mkutano wao rasmi kuhusu mzozo huu, wakatoa tamko kuwataka wawili hao kuridhiana. Yaani maongezi ya ana kwa ana mezani. Maridhiano!

2. Vyombo vya habari vikakimbilia mahakamani haki yao ya kuhabarisha na kina sisi kuhabarishwa vimekiukwa.

3. Mahakama nayo haikufanya ajizi. Kwenye hukumu iliyotolewa Leo, CAK, chali! Hatua zote alizokuwa kachukua ni batili. Magazeti, Radio na TV zikarejea tulipokuwa.

Tulipo sasa tuko square "A". Jumatatu ni D-Day kwa ari mpya, nguvu na kasi mpya.

Jumatatu polisi hawana kisingizio kwani maandamano yatakuwa halali.

"Kenya wenye nchi wananchi!"

Ishukuriwe Katiba yao bora kabisa waliyokuwa nayo.

Tuipiganie Katiba mpya ndugu zangu. Wenye nchi wananchi tunastahili vilivyo bora.

Source: Nation Media
Wakenya wapo mbali sana ukilinganisha na waTz, kwanza raia wa Kenya walio wengi wanafaham haki zao tofaut na waTz, Tz life inakwenda ilimradi tu, Watawala ndio Miungu na wanaweza hata uza Nchi na Raia wasihoji.
 
Back
Top Bottom