The Fixer
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 1,365
- 583
Hazina za wajerumani walizoziacha hapa Tanganyika ni nyingi na laiti kama tungekuwa na mkataba wa ukweli baina ya nchi hizi mbili tungeweza kuwa na uchumi ambao unatingisha Duniani !
Mimi nimeshajishughulisha sana na hizi habari na wala sitaacha mpaka na mimi nizitie mikononi kwani kuna Mjerumani mmoja nimeshapanga naye dili akija tu nampeleka saiti kwangu maana viongozi wengi wa nchi hii wamefaidika sana na mambo haya !
Viongozi woote (Rais) kasoro Mwl Nyerere wamefaidika na game hii
Kuna jumla ya saiti 5,264 na hizi ni zile kubwa kubwa ! Nyingi zipo kwenye himaya ya Makanisa ( makanisa mengi sana hasa ya Roma yamekalia hazina hii ) juu ni bosheni tu, Nyumba za wakuu wa Wilaya na baadhi ya ngome za serikali ya wajerumani ya zamani na mkoa unaoongoza kwa kuhifadhi hazina hizi ( maghala )ni Pwani, Morogoro na Tanga
Mfano 1: Nyumba anayoishi Mzee Mkapa pale Lushoto chini yake imekalia hazina kubwa sana ya Kijerumani.Lushoto kuna tambulika kama Germany ndogo ndani ya Tanganyika maana huko ni kama wamezimwaga hasa mitaa ya Chuo cha Mahakama yaani chini ya chuo kile kupo wazi na mashelfu ya mizigo
2: Ukiwa kisarawe- Pwani kuna underground turnel mpaka Bandarini ambako gari hasa kama ukubwa wa Fuso linaweza kupita pasi na shaka yoyote na kuna alama nyingi sana kando kando ya Reli ya kati kutoka Stesheni mpaka Kisarawe na kuendelea
3:Mnada wa Gongo la mboto nako pale chini ni hazina kubwa sana na mlango ulipo napafahamu
4: Ukiwa pale Magogoni feri yaani Magereza kuna baadhi ya milango underground haifunguliwi maana ni njia ya kutokea Kisarawe
To be cont
Mimi nimeshajishughulisha sana na hizi habari na wala sitaacha mpaka na mimi nizitie mikononi kwani kuna Mjerumani mmoja nimeshapanga naye dili akija tu nampeleka saiti kwangu maana viongozi wengi wa nchi hii wamefaidika sana na mambo haya !
Viongozi woote (Rais) kasoro Mwl Nyerere wamefaidika na game hii
Kuna jumla ya saiti 5,264 na hizi ni zile kubwa kubwa ! Nyingi zipo kwenye himaya ya Makanisa ( makanisa mengi sana hasa ya Roma yamekalia hazina hii ) juu ni bosheni tu, Nyumba za wakuu wa Wilaya na baadhi ya ngome za serikali ya wajerumani ya zamani na mkoa unaoongoza kwa kuhifadhi hazina hizi ( maghala )ni Pwani, Morogoro na Tanga
Mfano 1: Nyumba anayoishi Mzee Mkapa pale Lushoto chini yake imekalia hazina kubwa sana ya Kijerumani.Lushoto kuna tambulika kama Germany ndogo ndani ya Tanganyika maana huko ni kama wamezimwaga hasa mitaa ya Chuo cha Mahakama yaani chini ya chuo kile kupo wazi na mashelfu ya mizigo
2: Ukiwa kisarawe- Pwani kuna underground turnel mpaka Bandarini ambako gari hasa kama ukubwa wa Fuso linaweza kupita pasi na shaka yoyote na kuna alama nyingi sana kando kando ya Reli ya kati kutoka Stesheni mpaka Kisarawe na kuendelea
3:Mnada wa Gongo la mboto nako pale chini ni hazina kubwa sana na mlango ulipo napafahamu
4: Ukiwa pale Magogoni feri yaani Magereza kuna baadhi ya milango underground haifunguliwi maana ni njia ya kutokea Kisarawe
To be cont