Rupia: Hazina ya Mjerumani

mayai ya bundi ndio nini?
pole sana ,uliingia kichwakichwa kwa matapeli ,mimi pia nipo ktk halakati hizo,hizo biashara zipo tatizo wengi waongo. kuna soko la mayai ya bundi kama yapo ni pm tufanye biashara
 
pole sana ,uliingia kichwakichwa kwa matapeli ,mimi pia nipo ktk halakati hizo,hizo biashara zipo tatizo wengi waongo. kuna soko la mayai ya bundi kama yapo ni pm tufanye biashara

mkuu kuna sehemu vipo hv vitu tena ni familia moja hivi wanayo hiyo stove na lupia lakini watu wameshindwa kuvitoa
 
mkuu kuna sehemu vipo hv vitu tena ni familia moja hivi wanayo hiyo stove na lupia lakini watu wameshindwa kuvitoa
wengi haongo, wanasikia tu kisha wanajifanya wameviona hivyo vitu,ukweli hiyo biashara ipo na tamu sana,kama kunasehemu wanasema hakuingiliki aU kuna nyuki,simba,na mauzamauza mengine ,sisi tunaingia na kama kuna mali sisi tunatoa bila kumwaga damu ni suala la kanuni za mjerumani tu,
 
Rupee ni fedha iliyotumiwa wakati wa mjerumani. sarafu zake zitengenzwa kwa madini ya shaba na fedha tu, kwa hiyo nyingi haina tahamani. Hata hivyo kuna sarafu moja iliyotolewa muda mfupi kabla ya vita ya kwanza ya dunia ilikuwa imetenegezwa kwa dhahabu tupu; nadhani hiyo ndiyo inayotafutwa. Sarafu hiyo iliyokuwa inajulikana kama Tabora Pound ilitolewa mwaka 1916 na haikupta kusambaa sehemu nyingi za nchi. Sehemu kubwa ya sarafu hiyo ilihifidhaiwa kwa kuficwa chini ya ardhi ikiwa bado ndani ya msanduku yake, na huenda hiyo ndiyo inayotafutwa.

Miaka kadhaa iliyopita niliwahi kuweka hapa historia ya sarafu yetu na niliongelea hiyo Tabora Pound na thamani yake leo.

tupatie hiyo link mkuu tuisome hiyo tabora pound... never heard of it!!
 
tupatie hiyo link mkuu tuisome hiyo tabora pound... never heard of it!!
Kuna thread niliyoanziasha hapa ikiwa inaongelea historia ya sarafu yetu. Itafute kwenye jukwaa la historia; Niliianzisha thread mbili hapa zamani sana nadhani mwaka 2007 hivi nikazungumzia hitsoria ya sarafu yetu na historia ya noti yetu.

NB: Hiyo link aliweka Nash nayo inaongelea historia hiyo ya Tabora pound
 
Rupee ni fedha iliyotumiwa wakati wa mjerumani. sarafu zake zitengenzwa kwa madini ya shaba na fedha tu, kwa hiyo nyingi haina tahamani. Hata hivyo kuna sarafu moja iliyotolewa muda mfupi kabla ya vita ya kwanza ya dunia ilikuwa imetenegezwa kwa dhahabu tupu; nadhani hiyo ndiyo inayotafutwa. Sarafu hiyo iliyokuwa inajulikana kama Tabora Pound ilitolewa mwaka 1916 na haikupta kusambaa sehemu nyingi za nchi. Sehemu kubwa ya sarafu hiyo ilihifidhaiwa kwa kuficwa chini ya ardhi ikiwa bado ndani ya msanduku yake, na huenda hiyo ndiyo inayotafutwa.

Miaka kadhaa iliyopita niliwahi kuweka hapa historia ya sarafu yetu na niliongelea hiyo Tabora Pound na thamani yake leo.

Ahaaaaaaaaaa!najua liliko hilo box Uku kijijini kwetu kumbe mali lo! Asante mkuu
 
wengi haongo, wanasikia tu kisha wanajifanya wameviona hivyo vitu,ukweli hiyo biashara ipo na tamu sana,kama kunasehemu wanasema hakuingiliki aU kuna nyuki,simba,na mauzamauza mengine ,sisi tunaingia na kama kuna mali sisi tunatoa bila kumwaga damu ni suala la kanuni za mjerumani tu,

mkuu embu nipe hizo kanuni nikajaribu baati yangu
 
Wakuu kule GEITA kuna kijiji kijiji kinaitwa BUGOGO nikamji kadogo tu kako eneo linaitwa BUKOLI kuna JUMBA kubwa sana limejegwa kwenye mlima wa kufikirika eneo ni tambarare ila msingi WA HILO JUMBA mpaka utashangaa!!!!!!! LILIJENGWA NA WAJERUMANI ila kwa sasa wanaishi WAARABU wa mwanza inaonekana pale CHINI YA ULE MSINGI KUNA SHEHENA KUBWA sana ya DHAHABU na kule GEITA kuna eneo kubwa xana lina mashimo marefu xana inaxemekana palikuwa na MGODI WA WAJERUMANI inamaana wameacha vitu vyao humo! MAGOLD!
 
Hii kitu ni kweli wakuu kutokana na shirika la amnesty rupia moja maarufu kwa jina TABORA POUND inauzito wa 7.168gram na 75% yake ni pure GOLD! Mwaka 2007 ilipigwa mnada LONDAN na ikanunuliwa kwa £1,400 wakasema kunashehena kubwa sana iliachwa tanganyika xaxa tz!
 
rupee ni mali kubwa sana ukiipata ila ni ngumu sana kupata na sehemu walipoweka huwa kuna mauzauza mengi sana bila kupata uongozi wa vitukuu vyao ambao wanakila taarifa na ramani za wapi babu zao waliacha mali hizo,rupee mimi nimewahi ipata bahati mbaya ilikuwa imekwanguliwa/haribika upande ule wa mtu?natafuta sana sana sana rupee.
 
Mkuu Makoshneli Asante sana, endelea kutirirka sasa nimeanza kuelewa vizuri, maana kuna wakati nilikua nasiliza kipindi cha njia panda, nikawa nasikia jamaa alivokua akihadithia safari yake ya kusaka hizo rupia, nikama hadithi za Allan quaterman kama King solomon mines, si mchezo
 
wengi haongo, wanasikia tu kisha wanajifanya wameviona hivyo vitu,ukweli hiyo biashara ipo na tamu sana,kama kunasehemu wanasema hakuingiliki au kuna nyuki,simba,na mauzamauza mengine ,sisi tunaingia na kama kuna mali sisi tunatoa bila kumwaga damu ni suala la kanuni za mjerumani tu,

nipe pm mkuu.
 
Can't believe this. 21st Century youth or stone age cavemen? Mnajiita Great Thinkers na madigrii bila shaka mnayo!!!!!!
 
Back
Top Bottom