hang'olwa
JF-Expert Member
- Apr 23, 2013
- 538
- 194
pole sana ,uliingia kichwakichwa kwa matapeli ,mimi pia nipo ktk halakati hizo,hizo biashara zipo tatizo wengi waongo. kuna soko la mayai ya bundi kama yapo ni pm tufanye biasharaNakubaliana na wewe 100%. Kesho nikipata nafasi nitakuja na yaliyonikuta mimi mwenyewe katika harakati za rupia. Kwa sasa nawaasa msijiingize katioka shughuli hiyo.