Rupia: Hazina ya Mjerumani

Labda kwa kuongezea zaidi kuna baadhi ya mambo najaribu ku connect dots kuanzia utawala wa mkapa hadi sasa nakumbuka mwishoni mwa utawala wake 2005 aliitwa akafanye ziara ujerumani,kilicho shtua mataifa mengi ni namna alivyopokelewa mkapa! Ilikuwa hv ndege ya mkapa wkt imeingia anga la ujerumani zilirushwa ndege za kivita 4 kwenda kumlaki mawinguni ! Zikaizunguka hyo ndege kila moja na upande wake then akapata mapokezi ya kutisha kuanzia airport had ikulu ya ujerumani ambako alikutana na raisi wa ujerumani kwa mazungumzo behind door,inasadikiwa moja ya mambo ambayo wajeruman waliyapa kipaumbele ni hizo mali zao walizoziacha inasadikiwa kuwa BWM alikubali hasa ukizingatia mchonga alikuwa katangulia mbele ya haki so hakukuwa na kipingamizi tena! Immediate wiki moja baada ya BWM kurejea marekani kupitia balozi wao dar wakatuma ujumbe mzito mkapa endapo akiwaruhusu wajerumani kurudi kuchukua mizigo yao tanzania tunge suffer kuanzia kunyimwa misaada hadi kuwa ukanda wa vita kama congo so mipango yote ya wajerumani ikaishia hapo! Ninavyowajua wajerumani sidhan kama ndo waligive up kirahisi hivyo hasa baada ya kushtukiwa na CIA so nadhan (sina uhakika sana najaribu ku connect dots) wamekuja na technic nyingine ya kukifadhili chama fulani cha upinzani ambacho viongozi wake wengi wa juu mbali na kuwa wamesoma huko pia wamekuwa wanakwenda huko mara kwa mara kuhudhuria makongamano mbali mbali!,na kumekuwa na tuhuma hasa kutoka chama tawala kuwa kunachama kinafadhiliwa na mataifa flani ya nje huko,Lakini ni mapema sana kuhisi hicho chama ila "TIME WILL TELL" kama wameshaandaliwa kuwa ma-puppet au ni misaada tu thats y marekani wakaenda kuweka CIA base na ubalozi mdogo kule mbalizi mbeya wakijifanya wanapaita UTENGULE COURT HOTEL kwa lengo la kumonitor pilikapilika za wajerumani!
KWANINI MBEYA? Na sio mikoa mingine haya mambo yanatokea na kufanyika nitaendelea kudadavua next time
Kwahiyo mkuu kwa tz kuna cia base kule mbeya???
 
Hazina za wajerumani walizoziacha hapa Tanganyika ni nyingi na laiti kama tungekuwa na mkataba wa ukweli baina ya nchi hizi mbili tungeweza kuwa na uchumi ambao unatingisha Duniani !
Mimi nimeshajishughulisha sana na hizi habari na wala sitaacha mpaka na mimi nizitie mikononi kwani kuna Mjerumani mmoja nimeshapanga naye dili akija tu nampeleka saiti kwangu maana viongozi wengi wa nchi hii wamefaidika sana na mambo haya !
Viongozi woote (Rais) kasoro Mwl Nyerere wamefaidika na game hii
Kuna jumla ya saiti 5,264 na hizi ni zile kubwa kubwa ! Nyingi zipo kwenye himaya ya Makanisa ( makanisa mengi sana hasa ya Roma yamekalia hazina hii ) juu ni bosheni tu, Nyumba za wakuu wa Wilaya na baadhi ya ngome za serikali ya wajerumani ya zamani na mkoa unaoongoza kwa kuhifadhi hazina hizi ( maghala )ni Pwani, Morogoro na Tanga
Mfano 1: Nyumba anayoishi Mzee Mkapa pale Lushoto chini yake imekalia hazina kubwa sana ya Kijerumani.Lushoto kuna tambulika kama Germany ndogo ndani ya Tanganyika maana huko ni kama wamezimwaga hasa mitaa ya Chuo cha Mahakama yaani chini ya chuo kile kupo wazi na mashelfu ya mizigo

2: Ukiwa kisarawe- Pwani kuna underground turnel mpaka Bandarini ambako gari hasa kama ukubwa wa Fuso linaweza kupita pasi na shaka yoyote na kuna alama nyingi sana kando kando ya Reli ya kati kutoka Stesheni mpaka Kisarawe na kuendelea

3:Mnada wa Gongo la mboto nako pale chini ni hazina kubwa sana na mlango ulipo napafahamu

4: Ukiwa pale Magogoni feri yaani Magereza kuna baadhi ya milango underground haifunguliwi maana ni njia ya kutokea Kisarawe

To be cont
Mdau itabidi nikutafute
 
wengi haongo, wanasikia tu kisha wanajifanya wameviona hivyo vitu,ukweli hiyo biashara ipo na tamu sana,kama kunasehemu wanasema hakuingiliki aU kuna nyuki,simba,na mauzamauza mengine ,sisi tunaingia na kama kuna mali sisi tunatoa bila kumwaga damu ni suala la kanuni za mjerumani tu,
Mkuu kuna watu nkuunganishe nao uwasaidie
 
Nimechelewa kuisoma hii mada ila sio mbaya kutokana na mda na siku yenyewe ilivyokaa leo ntaomba niwambie kifupi tu na mim nayojua kuhusu hii topic. Baada ya vita ya kwanza kuisha mjeruman alinyang'anywa makolon yake yote na baada ya kunyang'anywa wakat anaondoka kurud kwao muingereza aliwaambia hamna kuondoka na kitu zaid ya beg lako tu na alikuwa anawasachi wakat wakipanda mel au ndege kurud kwao, hii ndio ilopelekea wajeruman kuficha vitu vyao. Bas nije kwenye mada binafsi rupia nimeiona na maajabu yake ingawa sijaishika kakaangu alitumia miaka 3 kuchimba hiyo rupia ukerewe mwanza na baada ya kurud nyumban akil yake ilikuwa sio sawa na hii ilitufanya tujue ni kwel anayosema? Nilienda had ukerewe kwa rafik zake aliposema kuna hivyo vitu na wanatafta mteja. Walipata rupia nying ila wanazo nane ambazo zina nguvu ya ajabu. Hizo rupia mojawapo nimeiona kwenye picha hapo ya huyo mjeruman mwenye kofia yenye ndege. Hiyo rupia ni nyekundu kama shaba na pia ina sumaku na ina vuta coin nyingne na vitu chuma vidogo dogo na pia hiyo coin ukichukua blastic uweke maji na yenyewe ikae chin bas ukiweka coin yoyote juu yake haizam inaelea na bdae inatupwa nje ya kibakul. Na sio kila mtu anaweza kushika hiyo rupia huwa inapotea na kuna makabidhiano wakat inavyotoka kwa mtu kwenda kwa mwingne kuna kafara lazima zifanyike ndo uimilki. Ukiachana na rupia kuna pas kama ya mkaa ambayo ni nzito na hii inafanya kaz inaweekwa juan tu unanyooshea, taa ya chemry hii ipo kama iyo pas nayo, saa ya ukutan na pia walipata bunduki (rifle) na risas zake nying. Kwaiyo sio kitu ambacho ni imagination ila kweli kipo. Inasemekana kwel rupia imechanganywa na damu na mifupa ya watu ila sio zote ni hizo chache ambazo nimesema hapo juu. Watu wamekuwa wakitapelewa kwel sababu rupia ni hela ya kawaida ukiachana na hiyo maajabu. Kaka angu ameniambia walienda had kigoma kupewa dawa kwa waganga ili waweze kuingia kwenye ilo shimo. Na kwel baada ya kupata hivo vitu walisumbuka sana ni kama waliiba ile mizimu iliyoachwa pale iliendelea kuwasumbua had walipoenda tena kufanyiwa matambako kibao. Hivyo vitu wanavyo kabisa ila hadi sasa nakwambia hamna mteja ambaye wamepata na vitu wanavyo tu. Sasa ukija kiundan hivyo sio vitu vya kufuatilia hata kidogo vimezungukwa na nguvu ya giza ambayo sio nzur. Tutafute ela kwa njia halal na sio had kwa waganga au vitu vyenye nguvu ys giza sababu tunapita tu hapa dunian. Bro tulimkalisha chin tukamwelekeza ila hakuelewa na yupo bdo anaangaika na wenzake kutafuta wateja wengi mashart na bei wanayouza vimewashinda.

Mkuu naomba tuwasiliane tafadhali kuna watu nikuunganishe nao ili uwaunganishe kwa huyo ndugu yako. Please
 
Nimechelewa kuisoma hii mada ila sio mbaya kutokana na mda na siku yenyewe ilivyokaa leo ntaomba niwambie kifupi tu na mim nayojua kuhusu hii topic. Baada ya vita ya kwanza kuisha mjeruman alinyang'anywa makolon yake yote na baada ya kunyang'anywa wakat anaondoka kurud kwao muingereza aliwaambia hamna kuondoka na kitu zaid ya beg lako tu na alikuwa anawasachi wakat wakipanda mel au ndege kurud kwao, hii ndio ilopelekea wajeruman kuficha vitu vyao. Bas nije kwenye mada binafsi rupia nimeiona na maajabu yake ingawa sijaishika kakaangu alitumia miaka 3 kuchimba hiyo rupia ukerewe mwanza na baada ya kurud nyumban akil yake ilikuwa sio sawa na hii ilitufanya tujue ni kwel anayosema? Nilienda had ukerewe kwa rafik zake aliposema kuna hivyo vitu na wanatafta mteja. Walipata rupia nying ila wanazo nane ambazo zina nguvu ya ajabu. Hizo rupia mojawapo nimeiona kwenye picha hapo ya huyo mjeruman mwenye kofia yenye ndege. Hiyo rupia ni nyekundu kama shaba na pia ina sumaku na ina vuta coin nyingne na vitu chuma vidogo dogo na pia hiyo coin ukichukua blastic uweke maji na yenyewe ikae chin bas ukiweka coin yoyote juu yake haizam inaelea na bdae inatupwa nje ya kibakul. Na sio kila mtu anaweza kushika hiyo rupia huwa inapotea na kuna makabidhiano wakat inavyotoka kwa mtu kwenda kwa mwingne kuna kafara lazima zifanyike ndo uimilki. Ukiachana na rupia kuna pas kama ya mkaa ambayo ni nzito na hii inafanya kaz inaweekwa juan tu unanyooshea, taa ya chemry hii ipo kama iyo pas nayo, saa ya ukutan na pia walipata bunduki (rifle) na risas zake nying. Kwaiyo sio kitu ambacho ni imagination ila kweli kipo. Inasemekana kwel rupia imechanganywa na damu na mifupa ya watu ila sio zote ni hizo chache ambazo nimesema hapo juu. Watu wamekuwa wakitapelewa kwel sababu rupia ni hela ya kawaida ukiachana na hiyo maajabu. Kaka angu ameniambia walienda had kigoma kupewa dawa kwa waganga ili waweze kuingia kwenye ilo shimo. Na kwel baada ya kupata hivo vitu walisumbuka sana ni kama waliiba ile mizimu iliyoachwa pale iliendelea kuwasumbua had walipoenda tena kufanyiwa matambako kibao. Hivyo vitu wanavyo kabisa ila hadi sasa nakwambia hamna mteja ambaye wamepata na vitu wanavyo tu. Sasa ukija kiundan hivyo sio vitu vya kufuatilia hata kidogo vimezungukwa na nguvu ya giza ambayo sio nzur. Tutafute ela kwa njia halal na sio had kwa waganga au vitu vyenye nguvu ys giza sababu tunapita tu hapa dunian. Bro tulimkalisha chin tukamwelekeza ila hakuelewa na yupo bdo anaangaika na wenzake kutafuta wateja wengi mashart na bei wanayouza vimewashinda.

Mkuu naomba tuwasiliane tafadhali kuna watu nikuunganishe nao ili uwaunganishe kwa huyo ndugu yako. Please
 
Bo
sawa nimekuelewa kwan ukitazama lazima ushike? mm nilizishika zile nyngne za kawaida tu hiyo nyingne awakuniruhusu kabisa kutokana na iman yao inaweza kupotea. kwa kweli ni mda kidogo toka nimeziona had sasa ilikuwa 2011 na sikuwa na sim ya kupiga picha. Ila kitu kinachowafanya washindwe kujitangaza ni kwamba serikal inadai kugawana pasu pasu sasa ndo icho kinachowafanya waogope au wanaweza kutapelewa na watu ambao wapo kwenye system. Sikuwa na interest kabisa na vile nilivyoona. Mm naweza kukuelekeza hawa jamaa walipo sasa hiv huyo mtu kama anatafuta akiulizia hayo maeneo hatawapata tu sawa.
Boss unaongea facts sana but weng hawa trust.
 
mkuu kuhusu shule ya iyunga sina data napo sana ila kwa uzoefu wangu sehem ninazozijua hivyo vitu sijui rupia,masanduku yenye dhahabu,na vito mbalimbali ni sehem zenye makanisa/hospitali za moravian,shule,maboma +nyumba ambazo zilijengwa na wajerumani wenyewe enzi za ukoloni pamoja na migodi yao ya zamani mfano iliyoko chunya (makongolosi na saza),
Pale Iyunga shuleni walikuja jamaa kuchimba ate wanatafuta Rupia
 
Have vtu vipo kwer ila mashart yake c mchezo,mm nina babu yangu yupo chita huko yy analo Jiko la stovu nimeliona na hayo maajabu yake.
 
Mkuu achana na hzo mambo aisee.. Waambie ndugu zako watafute pesa kwa njia nyingine sio rupia.

Nina uzoefu aisee, tumepoteza nyumba na maisha mazuri kisa tu baba etu alijiingiza kwa hyo biashara..

Sasa tunalipa madeni yasiyotuhusu
Afadhali na wewe useme. Mpaka sasa kuna wajinga wanatapeliwa kwenye hizo habari za rupia. Yaani kuna Binadamu anaamini kuna stove ya miujiza au rupia za kumfanya kuwa bilionea!!!
 
Afadhali na wewe useme. Mpaka sasa kuna wajinga wanatapeliwa kwenye hizo habari za rupia. Yaani kuna Binadamu anaamini kuna stove ya miujiza au rupia za kumfanya kuwa bilionea!!!
Aisee hakuna pesa kwa hayo makitu, na mtu anaweza kujiingiza katika uchawi Bila kujijua... Mbaya zaid mtu akiishaingia kwenye hiyo biashara feki hata umshauri Vip hakusikilizi akishakuja kupoteza mali zake zote ndio Akili zinarudi... Inakera sana
 
wengi haongo, wanasikia tu kisha wanajifanya wameviona hivyo vitu,ukweli hiyo biashara ipo na tamu sana,kama kunasehemu wanasema hakuingiliki aU kuna nyuki,simba,na mauzamauza mengine ,sisi tunaingia na kama kuna mali sisi tunatoa bila kumwaga damu ni suala la kanuni za mjerumani tu,

mkuu naomba unisaidie hizo fomula nami ntest zari
 
Kanisa la mbozi mission na hospital yake
3.Sehem nyingine ni lilipokuwa soko kuu la mbeya pale mbele ya benki ya NMB mbalizi road ambalo liliungua na linatarajiwa kujengwa soon,guess mkandarasi aliyeshinda tenda ya kujenga pale ni kutoka inchi gani? Makampuni makubwa ma5 yaliomba ,moja la israeli,jingine la austaria,jingine la ujerumani na mengine ya wachina! Wajeruman wameshinda tenda wataanza ujenzi any time baada ya bunge hili la bajeti i guess.
3.Sehem nyingine utashangaa pale wajerumani walipokwenda kujenga matenki makubwa ya mradi wa maji ambao wameudhamini wenyewe kwa karibu 90% na waliutoa maalumu kwa mkoa wa mbeya tu! Ambao hauna shida sana ya maji ukilinganisha na mikoa ya kati na kusini mwa tz! Mradi huo utamaliza tatizo la maji mby kwa miaka 20! Ijayo imean hadi 2032! PALE UYOLE WALIPOJENGA HAYO MATENKI YAO YA MAJI PALIKUWA NA MASANDUKU YAO!
MRADI HUU AWAMU YA KWANZA IMEKAMILIKA NA JK KAUZINDUA WIKI HII HII KAMA SIKOSEI!
Awamu ya pili ya huu mradi ni kupeleka bomba la maji hadi tunduma umbali wa km 103! Ili wapitie na sehem zingine !
4. LAKE NGOSI TUKUYU MBY!
Zipo sehem kibao nikianza kuwatajia hapa sitazimaliza so tukirudi kwenye mada nikwamba kweli rupia ya mjerumani inamambo tatizo ni namna ya kuipata coz sehem zote ilizofichwa wajerumani walikuwa wanafanya makafara ya watu kuanzia 10 na kuendelea ambao hubaki hapo kama majini kulinda ila wao wanavyokuwa wanakuja kuchukua huwa kuna maneno flani huyatamka na hayo madudu hutambua mwenye mali kaja either mtoto au mjukuu wake! So huwa hayasumbua tofaut na mswahl ukienda pale na hii ki2 ikapelekea wengi kwenda kwa waganga ambako hupewa masharti ya kutafuta viungo vya binadamu hasa albino!
Nadhan mkuu umenielewa kama unamaswali zaidi ni pm namba yako ntakujuza zaid
source: mimi mwenyewe ninafanya kazi za uchimbaji madini hasa dhahabu nipo matundas chunya na pia ni graduate ktk fani ya mining enggrng UDSM
Walewale!
 
Binafsi nimeshiriki sana kwenye hiyo biashara......kuna ukweli fulani lakini sehemu kubwa ni utapeli kwasababu ya ujinga na kukosa elimu kwa watu wengi. Watu wengi wanangaika kutafuta hivyo vitu lakini ultimately hakuna mtu anayemtaja mnunuzi wa uhakika...wanunuzi wote ni wa kufikirika.

Uzoefu wangu: NI kweli kuna hazina nyingi sana ambayo Wajerumani waliaacha Tz....wakati ule Msuya akiwa Waziri Mkuu katika ziara yake moja Ujereumani aliomba apewe ramani za sehemu ambazo wajerumani waliacha hazina ili zifukuliwe na zigawanywe. Jibu alilopewa ni kuwa hazina nyingi zilikuwa za watu binafsi wanaweza kushirikiana kwenye hazina za nchi ambazo nyingi zina vitu vya serikali....silaha, nk.

Hazina ya serikali pale Mbeya Tukuyu ipo jengo la mkuu wa wilaya...hata kwa macho ukiangalia ile ofisi imejengwa juu ya mlima wa kutengenezwa kule chini ni shimo kubwa sana. Mlango wa kuingilia upo ofisi ya afisa utamaduni wa wilaya. hata ukitembea kwenye ofisi utaona kuna hali ya kuonyesha chini kuna mtikisiko wa uwazi. Mlango mwingine nadhani uko nyumba aliyokuwa akiishi OCD. Miaka kumi iliyopita shirika la moja la Ujerumani waliomba kukarabati boma la mkuu wa wilaya na waliomba ukarabati uanzie ofisi ya utamaduni. Watu wakamshtua aliyekuwa RAS wa mkoa Mbeya (name withheld) akazuia ukarabati huo

Kule kijiji kwa akina Kapteni Komba kuna wageni wajerumani walichimba mashimbo kanisani na kwenye baadhi ya majengo ya kanisa hayo mashimo yalikuwepo hadi mwaka 2006 nilipopita hapo

Kuna kijiji kimoja cha akina Joyce Mhaville (wa ITV) nimekisahau kule Njombe baada ya Isoliwaya kabla hujafika Mfriga kuna binti wa kizungu alikuja kama kama volunteer akakaa baada ya miezi kadhaa akawaita wanakijiji wamsaidie kuchimba shimo fulani akawaambia mkifika sehemu ngumu muache ili nililete vifaa vingine usiku huo akaenda peke yake akachukua cha kuchukua asubuhi wakakuta shimo tupu na binti akatoweka hadi kesho.....sehemu inaitwa Lupembe

Kuna sehemu Mbeya inaitwa Ileya....pale kuna mzungu alikuwa tajiri sana yeye pia alificha mali zake jirani kabis na kanisa la Moravian hata alama za mawe alizoweka kuelekeza alipoficha mali zipo sema vile ni muda mfupi alama hizo zinapotea unapoingia kwenye vichaka. Baada ya kanisa la RC chini ya ''mtafutaji'' mashuhuri retired Afisa Usalama (name withheld) kushtukia hiyo dili waliamua kununua eneo lote hilo ili baadaye waanze kutafuta hizo mali wenyewe.

Kifupi ni kuwa Nyerere aliamua kujenga magereza, JKT, Shule sehemu zote ambazo alihisi kuna hazina ya madini au wajerumani waliaacha mali zao

The story goes on and on.................................
Afadhali nawewe umetilia shaka kidogo, lakini kiuhalisia ni story zinazotengenezwa na Matapeli. hakuna ukweli wowote katika hizo story. na kama ulivyo eleza mnunuzi huwa hajulikani hata siku moja ila kama unapesa za kutosha wauzaji wapo wengi tu na utapewa matamanio mengi sana ya kupata hizo mali maana zinakuwa ni story za kufikirika tu na watu waliofanikiwa katika mali hizo wanakuwa ni wakufikirika tu.
 
kuna wajeruman wanapatikan kempinski wanatafuta rupee...lakini cha ajabu hii biashara gharama yake ni kubwa sana kwa viwango vya fedha wanavyotaja.420millions kwa rupee 1.Wadau nina mashaka ktk uhusiano wa coin moja na gharama ya fedha wanazotaja...nahitaji msaada katika hili plzzz!!!
hao wajerumani umeonana nao na kuongea nao mwenyewe, au umehadithiwa tu?
 
Nakubaliana na wewe 100%. Kesho nikipata nafasi nitakuja na yaliyonikuta mimi mwenyewe katika harakati za rupia. Kwa sasa nawaasa msijiingize katioka shughuli hiyo.
wazee wa rupia wana story na mifano mingi ya kuvutia na wanakuwa na watu wao maalum waliowalenga lakini kuna wengine wanapigwa kwa viherehere vyao.
 
Back
Top Bottom