Rupia: Hazina ya Mjerumani

Nimechelewa kuisoma hii mada ila sio mbaya kutokana na mda na siku yenyewe ilivyokaa leo ntaomba niwambie kifupi tu na mim nayojua kuhusu hii topic. Baada ya vita ya kwanza kuisha mjeruman alinyang'anywa makolon yake yote na baada ya kunyang'anywa wakat anaondoka kurud kwao muingereza aliwaambia hamna kuondoka na kitu zaid ya beg lako tu na alikuwa anawasachi wakat wakipanda mel au ndege kurud kwao, hii ndio ilopelekea wajeruman kuficha vitu vyao. Bas nije kwenye mada binafsi rupia nimeiona na maajabu yake ingawa sijaishika kakaangu alitumia miaka 3 kuchimba hiyo rupia ukerewe mwanza na baada ya kurud nyumban akil yake ilikuwa sio sawa na hii ilitufanya tujue ni kwel anayosema? Nilienda had ukerewe kwa rafik zake aliposema kuna hivyo vitu na wanatafta mteja. Walipata rupia nying ila wanazo nane ambazo zina nguvu ya ajabu. Hizo rupia mojawapo nimeiona kwenye picha hapo ya huyo mjeruman mwenye kofia yenye ndege. Hiyo rupia ni nyekundu kama shaba na pia ina sumaku na ina vuta coin nyingne na vitu chuma vidogo dogo na pia hiyo coin ukichukua blastic uweke maji na yenyewe ikae chin bas ukiweka coin yoyote juu yake haizam inaelea na bdae inatupwa nje ya kibakul. Na sio kila mtu anaweza kushika hiyo rupia huwa inapotea na kuna makabidhiano wakat inavyotoka kwa mtu kwenda kwa mwingne kuna kafara lazima zifanyike ndo uimilki. Ukiachana na rupia kuna pas kama ya mkaa ambayo ni nzito na hii inafanya kaz inaweekwa juan tu unanyooshea, taa ya chemry hii ipo kama iyo pas nayo, saa ya ukutan na pia walipata bunduki (rifle) na risas zake nying. Kwaiyo sio kitu ambacho ni imagination ila kweli kipo. Inasemekana kwel rupia imechanganywa na damu na mifupa ya watu ila sio zote ni hizo chache ambazo nimesema hapo juu. Watu wamekuwa wakitapelewa kwel sababu rupia ni hela ya kawaida ukiachana na hiyo maajabu. Kaka angu ameniambia walienda had kigoma kupewa dawa kwa waganga ili waweze kuingia kwenye ilo shimo. Na kwel baada ya kupata hivo vitu walisumbuka sana ni kama waliiba ile mizimu iliyoachwa pale iliendelea kuwasumbua had walipoenda tena kufanyiwa matambako kibao. Hivyo vitu wanavyo kabisa ila hadi sasa nakwambia hamna mteja ambaye wamepata na vitu wanavyo tu. Sasa ukija kiundan hivyo sio vitu vya kufuatilia hata kidogo vimezungukwa na nguvu ya giza ambayo sio nzur. Tutafute ela kwa njia halal na sio had kwa waganga au vitu vyenye nguvu ys giza sababu tunapita tu hapa dunian. Bro tulimkalisha chin tukamwelekeza ila hakuelewa na yupo bdo anaangaika na wenzake kutafuta wateja wengi mashart na bei wanayouza vimewashinda.
maranyingi story kama hizi ndizo zinapelekea watu kupigwa, maana watahusishwa waganga na watu wakila aina ili kumvutia mlengwa. ukisikia mzungu anaulizia rupia ni kwa ajili ya kumbukumbu tu na si vinginevyo!
 
Troojan katika vitu ambavyo wajerumani walivifanya viwe complicated ni kwenye kuficha hizi mali zao,ukiona hizo sites zao unaweza ukadhani zipo simple sana kuchukua but kuna mitego mingi sana imewekwa na watu wengi sana wamepoteza maisha katika kuchukua hizo mali zao never estimate sehem walizoficha huwaga zinakuwa na only one way in/out ukipitia sehem nyingine kuna mitego kama sumu,mabomu,maji, carbonmonoxide na kamati za ufundi na wao ndio wanajua njia salama za kupitia ndiomaana wanachukua kirahisi
UCHAWI WA MZUNGU NI NOMA AISEEEEE
 
Vipi kuhusu 500 yetu..nasikia wanayeyusha sijui wanatengenezea nini..hyo biashara imeishia wapi
.mana ilikua inauza hadi 5000
 
Safi sana ndugu MAKOSHNELI...umegonga degree ya minning ....alafu umezama kwenda kuchimba dhahabu...hayo ni matumizi mazuri ya proffession yako.....sio unasoma degree ya nyuki kisha unaenda kuwa banker..back to the topic ...nilishawahi sikia pahala...shule ya Iyunga Mby....chini yake kuna hazina kubwa ya rupees
 
Hizi story watu huwa wanapiga bwenin baada ya kutoka evening studies aka prepo...hazina ukwel hata...zipo miaka na miaka...mnakuja danganya hapa watoto hawa kama ambvyo nanyi mmedanganywa na watu wazima


mwaka 2008 wakati wa likizo ndefu ya miezi ka mitatu, walikuja hao mnaowaita wazungu(german) wakachimba bwenini, luthuli na kuchukua izo rupee...
 
Uongo wa kiwango cha lami kabisa.


QUOTE="Hepatis B, post: 8508332, member: 125022"]Nimechelewa kuisoma hii mada ila sio mbaya kutokana na mda na siku yenyewe ilivyokaa leo ntaomba niwambie kifupi tu na mim nayojua kuhusu hii topic. Baada ya vita ya kwanza kuisha mjeruman alinyang'anywa makolon yake yote na baada ya kunyang'anywa wakat anaondoka kurud kwao muingereza aliwaambia hamna kuondoka na kitu zaid ya beg lako tu na alikuwa anawasachi wakat wakipanda mel au ndege kurud kwao, hii ndio ilopelekea wajeruman kuficha vitu vyao. Bas nije kwenye mada binafsi rupia nimeiona na maajabu yake ingawa sijaishika kakaangu alitumia miaka 3 kuchimba hiyo rupia ukerewe mwanza na baada ya kurud nyumban akil yake ilikuwa sio sawa na hii ilitufanya tujue ni kwel anayosema? Nilienda had ukerewe kwa rafik zake aliposema kuna hivyo vitu na wanatafta mteja. Walipata rupia nying ila wanazo nane ambazo zina nguvu ya ajabu. Hizo rupia mojawapo nimeiona kwenye picha hapo ya huyo mjeruman mwenye kofia yenye ndege. Hiyo rupia ni nyekundu kama shaba na pia ina sumaku na ina vuta coin nyingne na vitu chuma vidogo dogo na pia hiyo coin ukichukua blastic uweke maji na yenyewe ikae chin bas ukiweka coin yoyote juu yake haizam inaelea na bdae inatupwa nje ya kibakul. Na sio kila mtu anaweza kushika hiyo rupia huwa inapotea na kuna makabidhiano wakat inavyotoka kwa mtu kwenda kwa mwingne kuna kafara lazima zifanyike ndo uimilki. Ukiachana na rupia kuna pas kama ya mkaa ambayo ni nzito na hii inafanya kaz inaweekwa juan tu unanyooshea, taa ya chemry hii ipo kama iyo pas nayo, saa ya ukutan na pia walipata bunduki (rifle) na risas zake nying. Kwaiyo sio kitu ambacho ni imagination ila kweli kipo. Inasemekana kwel rupia imechanganywa na damu na mifupa ya watu ila sio zote ni hizo chache ambazo nimesema hapo juu. Watu wamekuwa wakitapelewa kwel sababu rupia ni hela ya kawaida ukiachana na hiyo maajabu. Kaka angu ameniambia walienda had kigoma kupewa dawa kwa waganga ili waweze kuingia kwenye ilo shimo. Na kwel baada ya kupata hivo vitu walisumbuka sana ni kama waliiba ile mizimu iliyoachwa pale iliendelea kuwasumbua had walipoenda tena kufanyiwa matambako kibao. Hivyo vitu wanavyo kabisa ila hadi sasa nakwambia hamna mteja ambaye wamepata na vitu wanavyo tu. Sasa ukija kiundan hivyo sio vitu vya kufuatilia hata kidogo vimezungukwa na nguvu ya giza ambayo sio nzur. Tutafute ela kwa njia halal na sio had kwa waganga au vitu vyenye nguvu ys giza sababu tunapita tu hapa dunian. Bro tulimkalisha chin tukamwelekeza ila hakuelewa na yupo bdo anaangaika na wenzake kutafuta wateja wengi mashart na bei wanayouza vimewashinda.[/QUOTE]
 
Si vizur kuwa ongopea raia halaf muwatapel

Ujalazimishwa kuamin na wala me sio rupia dealers ila nimesema tu nilichoona kuhusu rupia. Na wap nilipoiona usipende kucoment kila mtu anachosema ukiona cha uongo au hakina maana unatulia wapo ambao watachukua. By the way wenzenu wamefungua shule tayar we bado upo au ada tatizo?
 
NIMEGUNDUA HUMU NDANI KUNA JAMAA ANA ID zaidi ya 3 anaongea anakuja kujisupport na kujiomba namba ya simu. Ni tapeli mkubwa anawajaza watu upepo then akawatobolee huko mbele.hizi ni habar za kunywea kahawa ,kimpumu na komoni hakuna ukwel wowote. Watu watalizwa sana humu ndani
 
Rupia na Hela za Zamani:

Nimekuwa na habby ya kukusanya na kuhifadhi vitu vya zamani kwa mda mrefu sasa. Na hivi karibuni nikaanza kukusanya Rupia, Hela za matobo, Sarafu na noti za zamani za Tanzania, Sarafu za toleo maalum, etc za East Africa and Africa kiujumla, nchi za kiarabu, india and nchi nyingine nyingi.

Kufikia sasa nina hela nyingi sana, karibu ndoo ya lita kumi kujaa.

Thamani:
Pia mimi sioni hizi zikiuzwa mamilioni mengi, ila nimekutana na watu wengi wanaziuza mpaka rupia moja milioni tano hadi kumi na kuendelea. Watu hawa ninapowaambia pia mimi ninazo kama wanazouza, huwa wanataka wanishirikishe ili kutapeli watu - kitu ambacho huwa nakataa. (Inasemeka zinatumika katika uganga, kujikinga na kusindikwa / kuzikwa .. ndio maana 'wateja' wanaoamini mambo haya huwa wako tayari kutoa hela nyingi ili kufanikisha 'mission' zao.

Kwa kweli sasa tukizungumzia thaman halisia, kuna wateja wengi ambao hununua hizi hela kama kumbukumbu, historia au kuongezea kwenye collection zao za hobby hii (haswa wazungu, wahindi, waarabu na pia waswahili hapa na pale).
Kwa hiyo kweli ukiwa nazo sio mbaya, hela ipo.... kulingana na hela uliyo nayo, unaweza kuuza dola 2, 5, 15, 22 hadi mia na mia hamsini.
Kwa mfano na hela za kwanza za tanzania au hela za matobo, hata ukiuza kila moja dola tano na una sarafu elfu moja (kama mimi), sio hela mbaya. Na unavyozidi kukaa nazo ndivyo zinavyopanda bei.

Usitapeliwe, pengine kama mganga wako amekutuma na unaamini mambo hayo.

sample hela nilizonazo hi sarafu nyingi na noti za zamani, na special issue coins kama ya uhuru na pia ya Sh elfu 50,000 ya Karume. (ningekua najua jinsi ya kuweka picha hapa ningewaonesha - nielekezeni niweke picha)

Asante
 
Rupia na Hela za Zamani:

Nimekuwa na habby ya kukusanya na kuhifadhi vitu vya zamani kwa mda mrefu sasa. Na hivi karibuni nikaanza kukusanya Rupia, Hela za matobo, Sarafu na noti za zamani za Tanzania, Sarafu za toleo maalum, etc za East Africa and Africa kiujumla, nchi za kiarabu, india and nchi nyingine nyingi.

Kufikia sasa nina hela nyingi sana, karibu ndoo ya lita kumi kujaa.

Thamani:
Pia mimi sioni hizi zikiuzwa mamilioni mengi, ila nimekutana na watu wengi wanaziuza mpaka rupia moja milioni tano hadi kumi na kuendelea. Watu hawa ninapowaambia pia mimi ninazo kama wanazouza, huwa wanataka wanishirikishe ili kutapeli watu - kitu ambacho huwa nakataa. (Inasemeka zinatumika katika uganga, kujikinga na kusindikwa / kuzikwa .. ndio maana 'wateja' wanaoamini mambo haya huwa wako tayari kutoa hela nyingi ili kufanikisha 'mission' zao.

Kwa kweli sasa tukizungumzia thaman halisia, kuna wateja wengi ambao hununua hizi hela kama kumbukumbu, historia au kuongezea kwenye collection zao za hobby hii (haswa wazungu, wahindi, waarabu na pia waswahili hapa na pale).
Kwa hiyo kweli ukiwa nazo sio mbaya, hela ipo.... kulingana na hela uliyo nayo, unaweza kuuza dola 2, 5, 15, 22 hadi mia na mia hamsini.
Kwa mfano na hela za kwanza za tanzania au hela za matobo, hata ukiuza kila moja dola tano na una sarafu elfu moja (kama mimi), sio hela mbaya. Na unavyozidi kukaa nazo ndivyo zinavyopanda bei.

Usitapeliwe, pengine kama mganga wako amekutuma na unaamini mambo hayo.

sample hela nilizonazo hi sarafu nyingi na noti za zamani, na special issue coins kama ya uhuru na pia ya Sh elfu 50,000 ya Karume. (ningekua najua jinsi ya kuweka picha hapa ningewaonesha - nielekezeni niweke picha)

Asante

HK Coins.jpg
50000 Coin.jpg
Uhuru Coin.jpg
 
Back
Top Bottom