Nazgur
JF-Expert Member
- Apr 19, 2020
- 3,730
- 2,850
Jiombee mwenyewe mwenye njaa, hao hawana njaa kama wewe,Natoa wito kwa watu wote kuacha kuzipuuza nyimbo za vijana wetu wa Bongo Fleva , zina mafundisho na ujumbe wa kweli sana .
Ukiusikiliza wimbo wa Baba lao uliotungwa na Diamond , ambaye ni rafiki wa Zuchu mtoto wa Hadija Kopa , utagundua kwamba nyimbo hizi za vijana wetu hawa zina mafundisho makubwa mno .
Tuendelee kuwaombea .
Pia kutunga sheria sio kwamba wewe uliyetunga haitakudhuru, cha msingi wewe uifuate sheria na kuitii kama ulivyo itunga.
Kufungiwa wasafi hakuwezi kumlaza njaa diamond hata kidogo.
Ninachokiona chadema kama wangeshika madaraka kila kibaraka aliyesaidia kushinda wangemwabudu na kumpa uhuru wa kufanya uhalifu wowote bila kumchukulia hatua.
Na ndio maana mlitaka kuwapa rasilimali zetu tukawastukia.
Mgeshikwa matakoni, masikioni na machoni huku mkitikisa mikia.