martinezstavo
JF-Expert Member
- Jun 30, 2020
- 736
- 1,547
Matukio ya kufanana na hivyo huwa yanatokea haswa pale yanaporushwa mubashara TBC nimechukulia kama mfano ningeweza kusema etv au hata clouds piaLini TBC waliwahi onesha vile wakaomba radhi?
Matukio ya kufanana na hivyo huwa yanatokea haswa pale yanaporushwa mubashara TBC nimechukulia kama mfano ningeweza kusema etv au hata clouds piaLini TBC waliwahi onesha vile wakaomba radhi?
Wewe unadhani wamekurupuka tu?Lazima watakuwa wamezingatia sheria na kanuni za urushaji matangazo.Hao TCRA itabidi wapunguziwe mamlaka, itakuwa wanatumika tu na washindani wa kibiashara wa watu.
Miezi sita as if wametangaza kupindua serikali.
Hizo ni ajira za watu na ni uwekezaji pia lazima adhabu zizingatie na hayo.
Ukiona hujaelewa jua haikuhusu.
Wapinzani hawapo ulingoni saivi wanadeal na CCM wenzao wakati mbowe anabomolewa nyumba, kuharibiwa mashamba walikuwa wanacheka Sasa Ni zamu yao.
Kwahiyo kama kuna ajira za watu ndio sheria isizingatiwe?Mbona ni utetezi usio na mashiko kabisa.Aiseee miezi sita ni parefu sana, TCRA waaliangalie hili upyaa. Kama ni miezi sita basi wasafi imepotea kabsa.
Kuna ajira za watu hapo na wanasomesha watoto wao sasa sijui watoto watalipwaje Ada.
Watz tuache tu.. tuko very comfortable kuvunja sheria kama kwa kufanya hivyo inatufavor... Watu wanapenda huu upuuzi.. kutetea ajira ni kuhalalisha wao waendelee kuona ujinga mwingiiii...Kwahiyo kama kuna ajira za watu ndio sheria isizingatiwe?Mbona ni utetezi usio na mashiko kabisa.
Miezi 6 ni adhabu ya kinyama sana .Hata kama wanakosea ....wanavunja sheria, maadili waachwe tu jamani....
Khaaa
Huu ushabiki kiboko
mwenye shibe hamjui mwenye njaaDuh hivi hawa jamaa huwa wanafikiria wider impact ya maamuzi yao? Ajira za vijana, kodi za serikali na societal benefit za vipindi vyao.
Sidhani kama kuna kosa la kufungia TV kwa miezi sita isitoshe chanzo chenyewe ni live event ambapo producers sio wachawi watabiri nini kitatendeka jumlisha na uhalisia wengi wa wafanyakazi wao bado ni amateurs with lack of experience.
That is just harsh.
Ebu wawaache vijana watengeneze utajiri na kuwa-inspire wengine, kama mtoto wa Tandale kaweza kwa jitihada zake basi inawezekana kwa kijana mwingine yoyete kufanikiwa ndani ya Tanzania.
Adhabu ya miezi sita kwakweli hao jamaa wamepitwa na wakati.
Wasifa TV ni kituo cha hovyo kinaendeshwa na watu wasiokuwa na utaalumu.
Miongoni mwa TV ambayo siipendi kutazama
Wasafi TV inawezekana ikawa inatumika na watu kupitisha Agenda zao
MI nawaza na January hii watu wataishije huko home maana sio rahisi hata kidogoMiezi 6 ni adhabu ya kinyama sana .
Kujifunza sio lazima iwe adhabu, ata kueleweshwa pia ni mbinu provided its the first offence.
Lini na tukio lipi? Au unadhani TV unayo peke yako??Matukio ya kufanana na hivyo huwa yanatokea haswa pale yanaporushwa mubashara TBC nimechukulia kama mfano ningeweza kusema etv au hata clouds pia
Iko ivi mfano nimehudhuria kwenye shughuri ya kiserikali ambayo inarushwa mubashara na TBC Mimi nikiwambele ya kamera labda nasoma risala mala paap nikavua suruali yangu nikapandisha na shati kuonesha utupu wangu ghafla...Lini na tukio lipi? Au unadhani TV unayo peke yako??
Iko ivi mfano nimehudhuria kwenye shughuri ya kiserikali ambayo inarushwa mubashara na TBC Mimi nikiwambele ya kamera labda nasoma risala mala paap nikavua suruali yangu nikapandisha na shati kuonesha utupu wangu ghafla...
Hapo TBC watatakiwa wafungiwe mkuu au Mimi nipewe adhabu?
hoja ni moja je kufungia tv ndo suluhisho..yaani ukimkosea mama kukupiga kila siku ndo suluhisho hilo au ndo anakufanya unakuwa suguAlianza Baba Levo sasa Gigy Mane anaenda kuwapa kufuli la kufa mtu.