Slave
JF-Expert Member
- Dec 6, 2010
- 5,313
- 2,651
kweli kabisa unanikaribisha ........???Inaitwa ni karibu bongo ukija tena ni sawa sawia.
kweli kabisa unanikaribisha ........???Inaitwa ni karibu bongo ukija tena ni sawa sawia.
dada,,,,,!!!!!ahsante sis
si bora angenifungia ningejua ni wivu wake wa mapenzi tu, yaani tangu zahra white awapandishe chart hawa mashuga dady yaani amekuwa hashikiki. naomba nikuagize mdogo wangu Heaven on earth ukimuona shemejio Kaizer mwambie nampa 24 hrs asipoonekana naingia mtaani kutafuta damu changa.
Kunani hapa heaven
Tiririka tu mamawe babe wangu figganigga asikusikie nakwambia..........
muda si mrefu Chocs ataanza kulalamika...ukiendelea kutamanishwa na kina ........
Nimekupatia mimi49 wasiliana nae ujue mipango ya ndoa ikoje pls...achana na mahaba maumivu..............................
.....................
....................................................
.............................
...........................................hatari...................
si bora angenifungia ningejua ni wivu wake wa mapenzi tu, yaani tangu zahra white awapandishe chart hawa mashuga dady yaani amekuwa hashikiki. naomba nikuagize mdogo wangu Heaven on earth ukimuona shemejio Kaizer mwambie nampa 24 hrs asipoonekana naingia mtaani kutafuta damu changa.
Erickb52 dactari niko hapa.......unahitaji dozi huhitaji!!!!!!!!!Mh miss you bby
Come back love..mi naumwaa
Slave wenzio waking'atwa na nyoka hata wakiguswa na jani hushtukakweli kabisa unanikaribisha ........???
aaah wifi vibaya hivooo
si bora angenifungia ningejua ni wivu wake wa mapenzi tu, yaani tangu zahra white awapandishe chart hawa mashuga dady yaani amekuwa hashikiki. naomba nikuagize mdogo wangu Heaven on earth ukimuona shemejio Kaizer mwambie nampa 24 hrs asipoonekana naingia mtaani kutafuta damu changa.
my dada love you so much
zubedayo_mchuzi tumeshafungishwa ndoa ya jadi sijui bwana harusi ulikuwa wapi loh................................
.....................
....................................................
.............................
...........................................hatari...................
Ndio zake we endelea kukataa tu.....
jamani.. ngoja nichonge na wife akupe special invitation...