Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,716
yaani huyu mwenyekiti ni majanga!!!!
dada,,,,,!!!!!
Nimekupatia mimi49 wasiliana nae ujue mipango ya ndoa ikoje pls...achana na mahaba maumivu
Hello Chitchat!
Nikiwa kama Mwenyekiti wa mahusiano,ninapenda kuwajulisha kuwa ndoa ya nitonye na Arabela nimeipitisha rasmi kuanzia leo tarehe 14 Sep 2013 hivyo ninawatakia heri katika maisha yao mapya ya ndoa!
Siruhusu tena pingamizi kwa ndoa hii!
Pia namuamuru Bishanga aniandalie List ya couple zote zilizojionyesha wazi na tuzipitie kuona kama zinafaa au bado ziko kwenye probation!
Kila member ahakikishe anapitiwa na hili zoezi ili kuepuka vurugu za kugombea mke au mume! zubedayo_mchuzi naomba uje tumalize ule mpango wetu wa kumchukua mimi49
N.B: Hakuna ndoa wa wake wawili au wanaume wawili..yan hakuna u-mswati!
Nawasilisha!
I remain
Erickb52
Mwenyekiti wa Mahusiano!
Copy Kwa: Bishanga Arushaone watu8 Filipo marejesho Mr Rocky Blaki Womani Cantalisia YNNAH KOKUTONA LiverpoolFC Mtambuzi Smile Mzee Baba V gfsonwin Evelyn Salt Chocs kipipi Nivea Lady doctor ladyfurahia Mentor Judgement Fixed Point snowhite charminglady sweetlady The secretary kiwatengu shansarie Mrembo by Nature Madame B Heaven on earth Slave stevoh Asprin KakaKiiza amu Paloma sosoliso TANMO Preta PakaJimmy Mzee wa Rula Kabakabana mimi49 @remmy Mwanyasi Asprin Kaizer @c6
Special Copy kwa Babu Dark City
Nimekupatia mimi49 wasiliana nae ujue mipango ya ndoa ikoje pls...achana na mahaba maumivu
wiii wangu we acha tu. kakako haonekani
wewe ni nani unae nipatia mke bila ridhaa yangu....nalea wanangu sina haja ya mke.....
mkanye mmeo kusalandia wake za watu atafanywa kitu mbaya