RUKUKU BOY
JF-Expert Member
- Sep 8, 2015
- 1,588
- 1,859
- Thread starter
- #101
kuandika hujui kazi kuwaza siasa uchwaraUsdm imeanza kuwa kama udom...eti magufuli hostel
kuandika hujui kazi kuwaza siasa uchwaraUsdm imeanza kuwa kama udom...eti magufuli hostel
acha kupondea bibo weweee kule ndo laifu la udsm lilipoVery soon itakuwa kama za mabibo kama hakutakuwa na mpango mkakati wa kuzitunza
La hasha, zitapata wateja ila si kwa bei ile ya kukomoana. Mfano pale Lufungila kuna hostel hivi inacharge 92,000/= per bed per month. Fikiria sasa dau hilo nani atoe ikiwa chance zipo kwa hostel mpya za Mawasiliano UdsmNaona vyumba zilizojengwa na wapiga dili na kuzigeuza Hostel kuanzia mwenge mpaka mabibo zinakwenda kukosa watu
Kumbe mnajuana. Ok endeleeniNaona unahangaika ka bisi kikaangoni hyo aviation umekremisha jukwaani na barafu asemeje sasa
umesoma BAED hujui mambo ya aviation industry
haaaaa huyu binti ana stress tuKumbe mnajuana. Ok endeleeni
yaani msewa watapata tabu kidogo hostel zote zikianza kutumika na watu wakabebana hakuna aja ya kwenda kutafuta room nje zitakuwa zinatoshaLa hasha, zitapata wateja ila si kwa bei ile ya kukomoana. Mfano pale Lufungila kuna hostel hivi inacharge 92,000/= per bed per month. Fikiria sasa dau hilo nani atoe ikiwa chance zipo kwa hostel mpya za Mawasiliano Udsm
Kama hizo hela mnatoa mfukoni kwenu sawa hayatuhusu. Ila kama mnatoa hazina kwa kodi zetu yanatuhusu.tulia nyie subiri ndege malipo hayawahusu
Kwangu Mimi kuita hivo naona ni upuuzi flani na kujipendekeza kwa udsm ka Chuo kikubwa Tanzania na africa
Inabidi tuwape mjime ni engneer nilisoma udsm COET mambo ya kiswahili wanajua watu wa COHU,,, pia nimeshiriki ujenzi wa hizo hostel kuanzia pre-qualification hadi mwisho so cool kijana
Ameshakwenda kanisani kuvitakasa vyeti etiiii, politics late imotions prevail and lead the logicHapa ni Bashite tu hadi atuwekee vyet
Kapicha basi....
acha kupondea bibo weweee kule ndo laifu la udsm lilipo
Hongera JPMSerikali kupitia Wizara ya Ujenzi imeruhusu hostel mpya za chuo kikuu cha Dar es Salaam, kuanza kutumika kuanzia wiki ijayo.
Kwakweli hostel ni nzuri sana na ndani pia wamepatengeneza vizuri sana.
Nasikia zitazinduliwa mwezi huu na chuo walikuwa wanapendekeza ziitwe Magufuli Hostel.
Viva JPM.
Chanzo: TBC
Waache siasa waziite hall 8 kweli udsm imeiingiza siasa za kipumbavu chuoni, yani had kinapitwa na Makerere, Nairobi zamani UDSM ilikuwa inaongiza Africa na kufukuziana na vyuo vya South, huyo Mkandara inabidi tu apumzike apishe mwingine. Mbona za mabibo hazikupewa jina la Mkapa
Wewe ndg kwani mtu akifanya au akisababisha Jambo zuri kufanyika haistahili kumpongeza? Mbona hao watungulizi wake hawakuweza kufanya hivyo kwa mda mfupi kama yeye?Kwani zimejengwa kwa pesa zake za mfukoni??
Hizo ni kodi zetu Mzee..
Ni wajibu wa serikali kuhakikisha Wanafunzi wa elimu ya juu wanapata malazi ya uhakika kwa kipindi chote wanapokuwa masomoni..
It's not a favour..sio HISANI..
It's government responsibility.
Usiwe Bongo Lala.
kabisahostel nzuri sana yaani kama ulaya
Kwani zimejengwa kwa pesa zake za mfukoni??
Hizo ni kodi zetu Mzee..
Ni wajibu wa serikali kuhakikisha Wanafunzi wa elimu ya juu wanapata malazi ya uhakika kwa kipindi chote wanapokuwa masomoni..
It's not a favour..sio HISANI..
It's government responsibility.
Usiwe Bongo Lala.