Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 123,252
- 98,255
Wewe kachimbe njerembaAtaathirika na nini wakati anaendelea kupigiwa saluti?
Wewe kachimbe njerembaAtaathirika na nini wakati anaendelea kupigiwa saluti?
BashiteHujui unaelekezwa unaleta jeuri
Hawez kuja tena hapa,na anaombea kwel ziangukeKuna injinia feki alikuja humu na kusema nyumba zitaanguka kabla ya kumalizika,na akaahidi kuja siku chache baade na vithibitisho lakini kayeyuka
Mtahangaika sana mwaka huu.Wewe kachimbe njeremba
Atakuwa walewale bogus engineersKuna injinia feki alikuja humu na kusema nyumba zitaanguka kabla ya kumalizika,na akaahidi kuja siku chache baade na vithibitisho lakini kayeyuka
Jamii forum ni "kichaka" kuna kila ya wanyama!Kuna injinia feki alikuja humu na kusema nyumba zitaanguka kabla ya kumalizika,na akaahidi kuja siku chache baade na vithibitisho lakini kayeyuka
wani zikiitwa magufuli hostel utapungukiwa niniNi vyema zikaitwa JPM Hostel badala ya magufuli hostel
Jamii forum ni "kichaka" kuna kila ya wanyama!
Tunatakiwa kuiunga mkono serikali na sio kuipongeza.serikali kufanya hivyo ni wajibu wakeKwani zimejengwa kwa pesa zake za mfukoni??
Hizo ni kodi zetu Mzee..
Ni wajibu wa serikali kuhakikisha Wanafunzi wa elimu ya juu wanapata malazi ya uhakika kwa kipindi chote wanapokuwa masomoni..
It's not a favour..sio HISANI..
It's government responsibility.
Usiwe Bongo Lala.
Waache siasa waziite hall 8 kweli udsm imeiingiza siasa za kipumbavu chuoni, yani had kinapitwa na Makerere, Nairobi zamani UDSM ilikuwa inaongiza Africa na kufukuziana na vyuo vya South, huyo Mkandara inabidi tu apumzike apishe mwingine. Mbona za mabibo hazikupewa jina la MkapaSi nilishasema hapa asubuhi kwenye mada yangu! Hostel mpya zinatakiwa ziitwe hall 8! Waaache siasa... Mfumo wa kutaja mabweni UDSM ni mfumo wa Halls...
Mabibo kuna block A na kuendelea sasa kutaja hilo jina ni hovyo na ujinga kwa UDSM kujizalilishausikariri mkuu.. mabibo ni hall ngapi????
acha roho ya korosho kwani jina linaharibu nini? jina linauwa elimu? duuuuuu ndo msomi wa udsm,,, mbona hukumaind nkuruma hall, tatizo mnawaza siasa tu yaaani mtakufa masikini kwa usiasa wenuWaache siasa waziite hall 8 kweli udsm imeiingiza siasa za kipumbavu chuoni, yani had kinapitwa na Makerere, Nairobi zamani UDSM ilikuwa inaongiza Africa na kufukuziana na vyuo vya South, huyo Mkandara inabidi tu apumzike apishe mwingine. Mbona za mabibo hazikupewa jina la Mkapa
udsm kujizalilisha wakati wenyewe ndo waliomba jpm awajengee we vipi ebu nenda YOMBO usain BOOMMabibo kuna block A na kuendelea sasa kutaja hilo jina ni hovyo na ujinga kwa UDSM kujizalilisha
Mtaalamuhumu kila mtu mtaharamu unakuta mtu kasoma political science lakini anajifanya mtaharamu wa masuhara ya ndege
Wewe ni kilazer kweli hivi unamkinganishaje nkurumah na falsafa zake na sizonje maybe ua out of ua mind Yale ma hall kwanini hayakuitwa Nyerere huko ni kilujipendekeza tu udsm kwa wana siasa. Au Jk kwanini hakuiita Udom jina lake think out of box saa nyingine kufanya kila nafsi itaonja mauti maana wewe umejibu kimihemko tuacha roho ya korosho kwani jina linaharibu nini? jina linauwa elimu? duuuuuu ndo msomi wa udsm,,, mbona hukumaind nkuruma hall, tatizo mnawaza siasa tu yaaani mtakufa masikini kwa usiasa wenu
zinaitwa Magufuli Hostel halafu ndio zile blocks za ndani zinakua na namba block 1 etc.Si nilishasema hapa asubuhi kwenye mada yangu! Hostel mpya zinatakiwa ziitwe hall 8! Waaache siasa... Mfumo wa kutaja mabweni UDSM ni mfumo wa Halls...