Diva Beyonce
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 12,913
- 11,295
Sasa ARV inahusikaje na hii topic na wewe acha akili za kibashitena USA wanaokupa msaada wa ARV wanazo
Sasa ARV inahusikaje na hii topic na wewe acha akili za kibashitena USA wanaokupa msaada wa ARV wanazo
Mi hata sijuani na huyo mlugaluga wa madongo kuinamaKumbe mnajuana. Ok endeleeni
Acha umbeya umejuaje na stress??haaaaa huyu binti ana stress tu
Nataka kwenda Koromije mimiInabidi tuwape mji
Kila mtu na mtazamo wake hatuwezi fanana ni sawa na wewe unavoona jina halina shida na kwangu naona tofauti kabisa. It's a matter of different views and not mapovu.Kwani jina linaathiri nini?
Mi naona vyovyote watakavyoita sawa tu, as long as matumizi hayabadiliki na hakuna ubaguzi kwenye ukaaji.
Jina ndo litutoe povu jamani!
Nenda tu urudi na bibi yake Bashite labda atatuambia majina ya mjukuu wakeNataka kwenda Koromije mimi
Nikirudi naenda kuja na cheti cha ubatizo cha Daudi bashite kabisaNenda tu urudi na bibi yake Bashite labda atatuambia majina ya mjukuu wake
miss youNataka kwenda Koromije mimi
Mi .......[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]miss you
haaaaa una mambo we kijana,,,,,,za COHU,,Mi .......[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
Mi mambo ya undergraduate nilishatoka long sasa hivi Niko level nyingine kabisa hapo chuonihaaaaa una mambo we kijana,,,,,,za COHU,,
haaaa nakufahamu sana,,,,nenda basi unversity of clark(USA) maana wana uhusiano mzuri na udsmMi mambo ya undergraduate nilishatoka long sasa hivi Niko level nyingine kabisa hapo chuoni
University of Clark nikafanyeje tena huko mi nimeahapata nikitakacho Mimi kwa sasa huko Clark labda kutembea tuhaaaa nakufahamu sana,,,,nenda basi unversity of clark(USA) maana wana uhusiano mzuri na udsm
Haaaaa amizing....University of Clark nikafanyeje tena huko mi nimeahapata nikitakacho Mimi kwa sasa huko Clark labda kutembea tu
Ndo hivo yaniHaaaaa amizing....
see you 2moroNdo hivo yani
wewe unamuwaza bashite tuNapendekeza ziitwe DAUDI BASHITE HOSTEL
Hii itasaidia kupunguza wavuta unga vyuo vikuu