Ruhusa sasa wanafunzi UDSM kutumia hostel mpya

Ruhusa sasa wanafunzi UDSM kutumia hostel mpya

Kwani zimejengwa kwa pesa zake za mfukoni??

Hizo ni kodi zetu Mzee..

Ni wajibu wa serikali kuhakikisha Wanafunzi wa elimu ya juu wanapata malazi ya uhakika kwa kipindi chote wanapokuwa masomoni..

It's not a favour..sio HISANI..

It's government responsibility.

Usiwe Bongo Lala.
Kwani yeye kasemaje? Au kabisha kwamba siyo jukumu la serikali kuhakikisha wanachuo wanaishi mazingira mazuri!
Kwen
Kusema kweli hapo Rais kafanya kitu chakiume japo watu huwa hatuachi kubeza nikweli kabisa wanahaki yahayo yote ila je usimamizi ungeenda kama mwanzo haya majengo yasingeisha leo.
Yalifanyika maamuzi magumu tena kwakuwahurumia wanachuo kwausmbufu waliokuwa wanaupata. Hongera Sana JPM
 
Hongera sana Mr Presidaaaa,na hasa ukiaangalia pesa iliyotumika safi kabisa billion 10 tu,sasa wangekuwa wale jamaa waliopita wangeambiwa billion 100 wangekubali tu,wao wangekopa huko ili mradi wametekeleza kuja kucheki deni LA taifa ni Aibu
 
Kila mtu na mtazamo wake hatuwezi fanana ni sawa na wewe unavoona jina halina shida na kwangu naona tofauti kabisa. It's a matter of different views and not mapovu.

Okay, naomba unipe cons za kutumia jina la Magufuli, point by point!
 
Ila nashauri wangekaa wanawake hizi hostel,majengo ya zamani yooooote wangewapa wanaume,blocks zote za bibo zingekaa wanaume ila haya mapya wangekaa wanawake!!Maana sakafu zitachakazwa hizo kwa kutokudekiwa mara kwa mara iwapo wanaume watapangiwa wakae![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
naunga mkono hoja... japo wanawake wa kisasa hata kudeki hawawezi


Ila nashauri wangekaa wanawake hizi hostel,majengo ya zamani yooooote wangewapa wanaume,blocks zote za bibo zingekaa wanaume ila haya mapya wangekaa wanawake!!Maana sakafu zitachakazwa hizo kwa kutokudekiwa mara kwa mara iwapo wanaume watapangiwa wakae![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
jamani mtujali kwa kapicha na sisi wa mkoani tuyaone basi hayo majengo
 
Kwani zimejengwa kwa pesa zake za mfukoni??

Hizo ni kodi zetu Mzee..

Ni wajibu wa serikali kuhakikisha Wanafunzi wa elimu ya juu wanapata malazi ya uhakika kwa kipindi chote wanapokuwa masomoni..

It's not a favour..sio HISANI..

It's government responsibility.

Usiwe Bongo Lala.
Watu wanalipwa kuongoza, na kutufikisha kwenye neema ila sisi tunaona katufanyia hisani! Basi angefanya bila malipo! Ila pia kinachomlipa na kilichotumika kujengea ni kodi zetu hivyo dioni jipya ila tungetaka wajenge zaidi hadi wanafunzi wanaoteseka ja makaxi iwe historia
 
Ila nashauri wangekaa wanawake hizi hostel,majengo ya zamani yooooote wangewapa wanaume,blocks zote za bibo zingekaa wanaume ila haya mapya wangekaa wanawake!!Maana sakafu zitachakazwa hizo kwa kutokudekiwa mara kwa mara iwapo wanaume watapangiwa wakae![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Chuoni hostel kuna wafanya usafi wa kila siku chakushangaza ma Hall ya wanaume yananuka kibeberu sijui kwanini?
 
Chuoni hostel kuna wafanya usafi wa kila siku chakushangaza ma Hall ya wanaume yananuka kibeberu sijui kwanini?
Mi mwenyewe sielewagi aiseee,yani halls na block zote wanazokaaga wanaume udsm,kitendo cha kuingia kwenye mlango wao mkubwa harufu inakuwa nziiiiiiito mnoo!!kibeberu beberu beberuuuuuuuuuuu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] !yani zizi la mbuzi hili hapa
 
ha ha ha umenikumbusha dada zangu home na mama yangu walivyokuwa wanaponda chumba changu their only brother.

wadada hata mkiendaga gheto za mabwana zenu lazima mzikosoe.. ila cha kushangaza mnapenda kuja tu...

mfano hai pamoja na harufu yote ya hizo halls za men udsm.. wadada mnapishana tu mlangoni kufuata amani ya moyo.. why msitulie vyumba vyenu visafiiiii


Mi mwenyewe sielewagi aiseee,yani halls na block zote wanazokaaga wanaume udsm,kitendo cha kuingia kwenye mlango wao mkubwa harufu inakuwa nziiiiiiito mnoo!!kibeberu beberu beberuuuuuuuuuuu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] !yani zizi la mbuzi hili hapa
 
Mi mwenyewe sielewagi aiseee,yani halls na block zote wanazokaaga wanaume udsm,kitendo cha kuingia kwenye mlango wao mkubwa harufu inakuwa nziiiiiiito mnoo!!kibeberu beberu beberuuuuuuuuuuu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] !yani zizi la mbuzi hili hapa
Hahaaaaaaa kweli kabisa wamezidi uchafu hyo harufu hadi u naskia kizungu zungu na hivi wanabebana sijui wanalalaje humo?
 
ha ha ha umenikumbusha dada zangu home na mama yangu walivyokuwa wanaponda chumba changu their only brother.

wadada hata mkiendaga gheto za mabwana zenu lazima mzikosoe.. ila cha kushangaza mnapenda kuja tu...

mfano hai pamoja na harufu yote ya hizo halls za men udsm.. wadada mnapishana tu mlangoni kufuata amani ya moyo.. why msitulie vyumba vyenu visafiiiii
Kuingia kwao haku justify hyo tabia ya uchafu.Ni aibu kwa mwanaume tena mwanafunzi wa chuo kuwa mchafu au kuishi kwenye mazingira machafu.hili linapaswa lirekebishwe
 
Back
Top Bottom