Mzee wa fitna
JF-Expert Member
- Nov 15, 2015
- 341
- 189
Picha tafadhali
Kwani hizo hela alizitoa zake mfukoni maana zile ni kodi zetu Watanzania tunazozitoa. Yani wewe umekremisha Yombo na kwa akili zako wote wanategemea hilo boom tu eeeh.udsm kujizalilisha wakati wenyewe ndo waliomba jpm awajengee we vipi ebu nenda YOMBO usain BOOM
haaaa nyie chadema kuandika hujui unapiga pumba lakini hujanipa analysis ya kuwa jina la tahasisi linaweza halibu elimu unamuwaza bashite tu....tulia kijanaWewe ni kilazer kweli hivi unamkinganishaje nkurumah na falsafa zake na sizonje maybe ua out of ua mind Yale ma hall kwanini hayakuitwa Nyerere huko ni kilujipendekeza tu udsm kwa wana siasa. Au Jk kwanini hakuiita Udom jina lake think out of box saa nyingine kufanya kila nafsi itaonja mauti maana wewe umejibu kimihemko tu
. Wewe ndo utakufa kwa umaskini ka unashindwa kumtofautisha Nkame Nkurumah anayejulikana duniani licha ya kuondoka duniani utakuwa na akili ya bashite tu full kuzungusha
ndika hujui upo tu me sinaga usiasa lakini kulipa jina tahasisi hakuhalibu elimu,,,mfano mkapa hospital,sokoine university,,etc,,,,hizo siasa zenu mtazijua wenyeweKwani hizo hela alizitoa zake mfukoni maana zile ni kodi zetu Watanzania tunazozitoa. Yani wewe umekremisha Yombo na kwa akili zako wote wanategemea hilo boom tu eeeh.
Wewe uelewa wako sijui niseme una tatizo gani habari ya hostel udsm unaihusisha na CDM huko ka sikujitambua nini?haaaa nyie chadema kuandika hujui unapiga pumba lakini hujanipa analysis ya kuwa jina la tahasisi linaweza halibu elimu unamuwaza bashite tu....tulia kijana
tatumia CCTV CAMERA kwa ulinzizinaitwa Magufuli Hostel halafu ndio zile blocks za ndani zinakua na namba block 1 etc.
Ni nzuri ila ule ukuta mbona kama mfupi sana.... vibaka so watakua hawaishi pale
Kwangu Mimi kuita hivo naona ni upuuzi flani na kujipendekeza kwa udsm ka Chuo kikubwa Tanzania na africakua
ndika hujui upo tu me sinaga usiasa lakini kulipa jina tahasisi hakuhalibu elimu,,,mfano mkapa hospital,sokoine university,,etc,,,,hizo siasa zenu mtazijua wenyewe
me ni engneer nilisoma udsm COET mambo ya kiswahili wanajua watu wa COHU,,, pia nimeshiriki ujenzi wa hizo hostel kuanzia pre-qualification hadi mwisho so cool kijanaWewe uelewa wako sijui niseme una tatizo gani habari ya hostel udsm unaihusisha na CDM huko ka sikujitambua nini?
Maana hata kiswahili kinasumbua tu sasa mambo makubwa ya kufikiri ndo utaweza kung'amua kweli, u bashite ni shida kwako sana
lakini kuyapa jina la magufuli inakuhuma nini nduguKwangu Mimi kuita hivo naona ni upuuzi flani na kujipendekeza kwa udsm ka Chuo kikubwa Tanzania na africa
Unavopenda sifa sasa za kijinga elimu yako umekremisha weee lakini hata kutambua mambo madogo unashindwa kabisa wewe ni janga. Engineer hopeless huna ubavu wa kushiriki ka l na R zinakushinda tu!!!me ni engneer nilisoma udsm COET mambo ya kiswahili wanajua watu wa COHU,,, pia nimeshiriki ujenzi wa hizo hostel kuanzia pre-qualification hadi mwisho so cool kijana
nashindwa kuzi upload ila ni block20Tupicha tudogo
ama serikari walinishirikisha kuchagua contractors wa kujenga standard gauge mradi wa tilioni16 basi mi kilaza lakini lugha waulize waliosoma COHU na wako mtaaniUnavopenda sifa sasa za kijinga elimu yako umekremisha weee lakini hata kutambua mambo madogo unashindwa kabisa wewe ni janga. Engineer hopeless huna ubavu wa kushiriki ka l na R zinakushinda tu!!!
Wewe punga kweli yani iniume ili iweje maana kuiita hilo jina kwangu naona si sawa kabisa ni kujipendekeza tu kwa UDSM mbona kuna ma halls yanaeleweka.lakini kuyapa jina la magufuli inakuhuma nini ndugu
Iniume ili iweje sasa unajua unawaza ujinga flani maana kwa udsm kuna systems ya kuita halls sasa hyo ni UDSM kujipendekeza kwa wanasiasalakini kuyapa jina la magufuli inakuhuma nini ndugu
haaaaa vijana mna stress za maisha kweli ebu ni lale zanguIniume ili iweje sasa unajua unawaza ujinga flani maana kwa udsm kuna systems ya kuita halls sasa hyo ni UDSM kujipendekeza kwa wanasiasa
Hzo hostel hazijafika hata trillion moja acha uongo wewe ulivo mtupu badala ujibu hoja unaiingiza COHU na COET ni wapi na wapi. Wewe ni kilazerk
ama serikari walinishirikisha kuchagua contractors wa kujenga standard gauge mradi wa tilioni16 basi mi kilaza lakini lugha waulize waliosoma COHU na wako mtaani
Hao maengineer ndio utakuta wanakokotoa mfuko was cement unauzika kwa 76000/=Alikuja na mbwembwe akidai atashusha gharama,sijamuona tena
aaaaa utawaweza bavichaHao maengineer ndio utakuta wanakokotoa mfuko was cement unauzika kwa 76000/=
Lazima ukilaze hilo bichwa maana ni empty set kwelikweli[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]haaaaa vijana mna stress za maisha kweli ebu ni lale zangu