Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,311
- 40,118
Mafua makali mkuuNn mbaya tena??
Mafua makali mkuuNn mbaya tena??
Huyo ni ke ila ni wale tunaowaita jike-dume!!Huyo mwenye t shirt ya blue ni Me au Ke?
Hakuna nchi itakayotetea kitu kama hicho...Ngoja marekani na world bank wasikie watakuja kumtetea kwa madai ya haki za binadamu.
Achana naye kashiba maharage huyoLeta uthibitisho wako
Hata huyo polis mwenye dread humjui ,
Unakurupuka
Hii habari imeripotiwa had na EATV
Huyo Dada mtata balaa yaan usiombe uingie kwenye anga zakeMkuu huyo mwanamke ni askari wa moro anaitwa mwajabu labda kama na huko kenya ni kituo chake cha kazi.
Ni ugonjwa unaomfanya mtu kuwatamani kimapenzi watoto...Unakuwaje huo ugonjwa
Ooh..poleee jamaniiMafua makali mkuu
Hv kuna malaya wa mkopo kweli!!?Aibu saaana hii...kakosa malaya wa mkopo kweli..duh!!!
Tatzo naliona ni uelewa wako tu..Khaaa yani hapo polisi ndio wanaponivunja mbavu zangu.
Yani mtu huyo ndio silaha nzito namna hiyo lkn wakipigiwa simu kuna majambazi wanakuja masaa 10 baadae.
Au ngono na majambazi adui mkubwa ni ngono
mtihani sanaInasikitisha sana..na wazee wa ivyo hua wanavigenge vyao vya kuhadithiana na kupeana huo upuuzi..na hapo ukute rafiki wa huyo Baba anamkula rafiki wa huyo binti
Wazee wa sasa busara zero...huwezi hata kuwakimbilia pale unapopatwa na tatizo
Aisee, ni mkuu wa kituo niniHuyo Dada mtata balaa yaan usiombe uingie kwenye anga zake
kadri ya mwanamume anavyozeeka erectile power inashuka(kusimama dede),tiba ni vidonge,mnato kwaajili ya friction .kwani jinsi anavyoonekana mazoezi na chakula kwake siyo good optionMzee anapenda vitoto vibichiiii.....kichwa cha chini kikifanya kazi,cha juu huenda likizo
Kwa hiyo unataka kusemaje!!Hao wenye silaha ni Polisi?
Mbona hawana "unifomu?"
Mimi nauliza swali ili nijue tu,kama ulikua huna jibu ungepita kushoto tu.Kwa hiyo unataka kusemaje!!
Sio Wa kawaida tuAisee, ni mkuu wa kituo nini