blackstarline
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 3,698
- 9,606
Hahaah anabit balaa unaweza kujikojoleaHuyo Dada mtata balaa yaan usiombe uingie kwenye anga zake
Hahaah anabit balaa unaweza kujikojoleaHuyo Dada mtata balaa yaan usiombe uingie kwenye anga zake
Avoid insinuating qn....Mimi nauliza swali ili nijue tu,kama ulikua huna jibu ungepita kushoto tu.
Acha nikupotezee tu.Avoid insinuating qn....
Hapo ni Tanzania kwel ?, anyway kama umepatikana ushahidi wa kutosha basi afungwe kifungo cha maisha mana anatuharibia mabinti zetu. Ila uongo mbaya ingekua ni nyakazi za uongozi ulee basi hii kesi ingefinywa na kupotelea juu kwa juu ila kwa kipindi hiki cha uongozi lazima akaozee jela.
Unaweza kukuta huyo mtoto kavaa shanga
😛😛😛😛😛😛Mi Zee kama ilo unakutana nalo kwenye daladala hujalipisha seat ,hayachelewi kuanza kulalamika dunia imeisha vijana hawana heshima,kumbe lenyewe ndio shenzi kuliko
Hapa karibu na kwangu kuna shule ya Msingi, inasemekana kuna binti wa darasa la tano ni mjamzito tena kutoka kwa mwanafunzi mwezake wa darasa hilohilo shule hiyohiyo!!!!Duh,ni aibu ya mwaka aisee,nako haka kabint darasa la tano kanawajua wanaume?
Asante
Ndo nakufa hivyo mwenzako[/QUOTE
Nyooooo....mfyuuu😏😏
Wapooo...anakudai utam wake uliomkopa..Hv kuna malaya wa mkopo kweli!!?
na kama akija kukudai anasemaje kwa mfano....!?
Duh,ni aibu ya mwaka aisee,nako haka kabint darasa la tano kanawajua wanaume?
Huyo mwenye t shirt ya blue ni Me au Ke?
Mbona kama hii ishu ilitokea kenya wewe mtu unakuja kutudanganya hapa.....
Ukitaka kujua wewe ni muongo wa kutupwa tuwekee link ya hii habari.....
Hizi picha ume-screenshot kule youtube ndio hii habari ipo na ilitokea Nairobi Kenya kitu kama hicho...
Liers are always liers,sijui kwanini mtu anadanganya just for the sake of it!