Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,724
Aliyekuwa Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani wa Mkoa (RTO) kabla ya kustaafu, Mashaka Mdachi amejikuta akipatwa na fedheha ya mwaka baada ya kunaswa ‘live’ kitandani kwake akiwa na ‘kabinti kadogo’ ka darasa la tano huko Mororgoro.
Mtoto huyo alipoulizwa alisema alikuwa akipewa shilingi 2000 – 5000 kila anapoenda kukutana naye, na wakaweka mtego kumpata.
Mtoto huyo alipoulizwa alisema alikuwa akipewa shilingi 2000 – 5000 kila anapoenda kukutana naye, na wakaweka mtego kumpata.