RTO Mstaafu anaswa na binti mdogo

RTO Mstaafu anaswa na binti mdogo

Mirhea habari kwanza " ulitoweka kitambo "..... Mimi sijawahi kutoamini uwepo wa Mungu ila siamini uwepo wa Mungu huyu wa waarabu na wazungu ".

Mungu muweza wa yote .upendo kwa wote .mjuzi wa kila kitu .. lakini amemuumba shetani bila ya kujua kuwa atakuja kumuasi halafu kazi ya kupambana nae imemshinda anamsakikizia binaadamu ambaye amesifu kuwa nikiumbe dhaifu ndio apambane nae .. anashindwa kuutumia upendo wake kwa wote ilikuwaokoa mamia ya watu wanaokufa kula Myanmar rhonginjer tena wanao uwawa ni moja ya watu wenye dini yenye idadi kubwa ya watu kiimani dhidi yake "

Mungu muweza wa yote lakini anashindwa kuifanya rhohinger kuwa sehemu yenye amani kama tz " na kama anaweza kuifanya iwe na amani lakini haifanyi iwe hivyo kwa makusudi yake tu basi ni wazi ile sifa ya upendo kwa wote inakuwa haina mantiki kwa sababu tunaona wazi kabisa mapendekezo yake hayo yanamfanya awe Mungu mwenye upendeleo kwa baadhi ya watu na mataifa na pia ni mungu mwenye kupenda kuona damu za watu zikimwagika huku " wale wanaomuabudu na kumtukuza wakibakia kwenye maisha yenye dhiki kwa kukosa makazi na baadhi ya viungo vyao vya mwili

huyo ndiye mungu ambaye mimi naupinga uwepo wake kwa sababu naona wazi kuwa yuko overrated sana
Huyu Mungu unayemkataa kiujinga akusamehe dhambi zako.
 
Duh darasa la tano!!! Kadogo jamani, huyu mzee ht hakuwa anakaonea huruma
 
Huyu tena Askali aliyekuwa anasimamia sheria! Naurumia asijekuwa amekaambukiza magomjwa hako ka binti. Wazazi muwe makini sana na watoto wetu, ulinzi wa kipolisi unahitajika. Sijui binti anatoka familia ya aina gani kama kipato duni unaweza alikuwa anatumwa hela.
 
Potea kimpango wako....
ukibandika takataka lazima tukubrash....
this is a public cyber space...
Binti una matatizo gani? mbona unatokwa povu hovyo? naona unataka kuigeuza jf kua ni sehemu ya kumalizia stress zako sio? huo upupu unaokuwasha katafute pa kuutolea,hapa mwisho utaishia kuikimbia tu hii mada,msalimie mumeo.
 
Back
Top Bottom