Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,724
- Thread starter
- #61
Sasa hivi labda ambavyo labda vilivyopo tumboniWakati tunavisubiri vikue kumbe semi zishapita
Sasa hivi labda ambavyo labda vilivyopo tumboniWakati tunavisubiri vikue kumbe semi zishapita
Sio cheap labour ,hapo mzee kapata kitu tight kabisa, sema mzee alishanogewa, had hakujua kinachoendelea had anawekewa mtego anadakwa ,dahMzee kaamua kuchukua cheap labour watu wanamsemaa
Mungu atusaidieSasa hivi labda ambavyo labda vilivyopo tumboni
Mkuu huyu mzee yajawahi kuwa RTO alikuwa vehicle inspectorNimeshangaa anabisha eti, wakati huyo askari ni wa hapo Moro
Ok sawa, but EATV ambako nimeichukua hii habari, wanasema Alikuwa RTOMkuu huyu mzee yajawahi kuwa RTO alikuwa vehicle inspector
Ngoja marekani na world bank wasikie watakuja kumtetea kwa madai ya haki za binadamu.
mbunye changa kwa binti wa miaka 5,.!!!?.. bila shaka ana nyota ya jela...Dimbwi lilimchosha alitaka mbunye changa imsisimue
Mkuu usishangae hata kule nyuma kumeshaharibika.Mtt wa darasa la 5 kama inaingia kbs breki pumb.u kweli dunia imeisha.
Wazee kama hawa wanatakiwa wapigwe mawe mpk kufa
hapo kama wewe ni mwanae una fanyaje !!?Jamani...aibuu
Nimecheka sana et amber RTOHuyu Amber Rto,jinga kweli
.............For really!This is pathetic.
Vipi hearly siku hizi unaamini uwepo wa Mungu. Mbona kama ulikua team Kiranga .mbunye changa kwa binti wa miaka 5,.!!!?.. bila shaka ana nyota ya jela...
Maisha bwana tuacheni tu yaitwe maisha " huwenda ikawa huyu mzee hakuwa muadilifu wakati wa utawala wake " na kutenda mengi maovu " so dunia nayo ndio inamlipa kwa style hiyo .... OGOPA SANA HAYA MANENO TOKA KWA WATU WANAO DHULUMIWA HAKI ZAO .. (IPO SIKU MUNGU ATANILIPIA " SAWA TU NAMUACHIA MUNGU )
Mtihani upo hapo mkuu,huwa nawasikitikia sana vijana wanaojiandaa kuanzisha familia zao,yaani aged 13 kanatembea na mzee wa hivyo.Duh,ni aibu ya mwaka aisee,nako haka kabint darasa la tano kanawajua wanaume?