Qj_
Senior Member
- Feb 16, 2017
- 157
- 155
Ahksnte kwa kuweka Walau hoja zenye mashiko
hivi ni Cornell au Colonel?Sio canal ni Cornell mkuu
Nakujuza tuu
Mazoea yametufikisha apoo
Over
Ahksnte kwa kuweka Walau hoja zenye mashiko
hivi ni Cornell au Colonel?Sio canal ni Cornell mkuu
Nakujuza tuu
Mazoea yametufikisha apoo
Over
hivi ni Cornell au Colonel?
Hicho sio cheo nisifa tu kama komando, hio hua anapewa mwanajeshi ambae amepigana vita nyingi na akashindaCheo cha mwisho Jwtz siyo General, ni Field marshal.
Cheo hicho cha Field mashal hajawahi kutunukiwa afisa yeyote wa Jwtz tangu lianzishwe 1964 lakini kipo.
Safi Sana tatizo Hawa police upenda kujilinganisha na JW TZ jaman hao no raia wakakamavu tu .Leo hii mnalinganisha vyeo kwa kazi gani? Labda police wajilinganishe na magereza au uhamiaji na zimamoto ndo wanaendana endana na kuruka kwa pamojaKiitifaki ya kupigiwa saluti,Commisioned officer (CP) wa polisi ni sawa na commisioned officer (2lt wa nyota moja) wa Jwtz.
Chini ya Commisioned rank, vyeo hivyo huitwa other ranks.
Kwa hiyo kwa cheo chake cha ACP ukilinganisha na Jwtz ni cheo cha pili kurudi chini ya commisioned officer ambacho ni Warrant officer class2 na hata mishahara ukiichunguza inalingana.
Asijikweze, sababu hata vita vikizuka, akishikizwa jeshini, lazima atapewa mafunzo (refresher) wakufunzi wakiwa ni hao other ranks na atakasimiwa na kuvishwa vyeo vya other ranks na hilo halina ubishi ni kanuni.
Halafu tukija kwenye sheria za kijeshi (military defence act) hao civilian police ni idara za kiraia zinazofanya kazi zinazofanana na za kijeshi, wakiwemo magereza na zimamoto.
Hivyo Jwtz hawaruhusiwi kumkamata raia na kumuweka rumande za jeshi akiwemo yeye, kwa sababu anahesabika kuwa ni raia kwenye vitabu vya sheria za majeshi.
Kweli mdau ufahamu kitu kuhusu suala ilo ndio maana mkuu wa vyombo(idara) vya ulinzi na usalama ni CDF Mabeo. Ina maana IGP ,Mkuu was mageraza ,uhamiaji,usalama wako chini yake ungejua ilo basi usingefananisha vyeo vya makamanda JW na raia wakakamavu Police.Bora ungekaa kimya kuliko, kujiona unajua, Hujui itifaki ya vyombo vya ulinzi vinapokutana pamoja.
[emoji90][emoji90][emoji90]Hicho sio cheo nisifa tu kama komando, hio hua anapewa mwanajeshi ambae amepigana vita nyingi na akashinda
Field marshal ni askar aliye fanya mapinduz ndiyo anaitwa field mashal ata koplo akipindua nchi ataitwa field mashalCheo cha mwisho Jwtz siyo General, ni Field marshal.
Cheo hicho cha Field mashal hajawahi kutunukiwa afisa yeyote wa Jwtz tangu lianzishwe 1964 lakini kipo.
Mkuu, ni vema jambo usilolifahamu ama kutokuwa na uhakika nalo ni heri kuliuliza ukapata jibu sahihi ama kukaa kimya.Field marshal ni askar aliye fanya mapinduz ndiyo anaitwa field mashal ata koplo akipindua nchi ataitwa field mashal
Hahahah... alisikika zuzu moja wa Idara ya polisi😂Kuna boya kwa ujasiri mkubwa kabisa anadai ikitokea vita polisi lazima apewe mafunzo ya kijeshi, anasahau polisi amepita jkt hivo Ni mwanajeshi na ana ujuzi wa kutumia silaha,huu uzi watu walidanyanyana Sana
Ki ufupi tu Ni kwamba hata jenerali akiua leo basi atakamatwa na constable wa polisi na kupigwa hata makofi, ki ufupi Ni kwamba JwTz na polisi Kila mmoja Ni mwamba upande wake ,hakuna Askari wa Jwtz aliye mkubwa kwa Jeshi la polisi Bali Kuna Askari wa JWtz wanaringana au kuwazidi vyeo polisi
Mnaosema hapa kwamba Askari wa JWtz wanakuwa commissioned na Rais hivo Ni wakubwa na nyota moja yao,Niwambie hivi Rais anahusika katika majeshi yote ni vile tu wanampunguzia majukumu
Ili upandishwe cheo Ni lazima ofisi ya Rais ihusike.hata uwe Mkuu wa kituo OCS
Haaa haaaKiitifaki ya kupigiwa saluti,Commisioned officer (CP) wa polisi ni sawa na commisioned officer (2lt wa nyota moja) wa Jwtz.
Chini ya Commisioned rank, vyeo hivyo huitwa other ranks.
Kwa hiyo kwa cheo chake cha ACP ukilinganisha na Jwtz ni cheo cha pili kurudi chini ya commisioned officer ambacho ni Warrant officer class2 na hata mishahara ukiichunguza inalingana.
Asijikweze, sababu hata vita vikizuka, akishikizwa jeshini, lazima atapewa mafunzo (refresher) wakufunzi wakiwa ni hao other ranks na atakasimiwa na kuvishwa vyeo vya other ranks na hilo halina ubishi ni kanuni.
Halafu tukija kwenye sheria za kijeshi (military defence act) hao civilian police ni idara za kiraia zinazofanya kazi zinazofanana na za kijeshi, wakiwemo magereza na zimamoto.
Hivyo Jwtz hawaruhusiwi kumkamata raia na kumuweka rumande za jeshi akiwemo yeye, kwa sababu anahesabika kuwa ni raia kwenye vitabu vya sheria za majeshi.
cheo cha mwisho ni B. General kwa wenye rank za mtindo wa nchi yetuHicho sio cheo nisifa tu kama komando, hio hua anapewa mwanajeshi ambae amepigana vita nyingi na akashinda
AhahaaaaaLuten usu wa jeshi ni kamishna kamili wala sio asistant
Sasa kama CDF ndiye mkuu wa akina IGP,kwanini Rais atembee nao wote kuongeza gharama au CDF husaini posho nakuwagawia akina IGP?Kweli mdau ufahamu kitu kuhusu suala ilo ndio maana mkuu wa vyombo(idara) vya ulinzi na usalama ni CDF Mabeo. Ina maana IGP ,Mkuu was mageraza ,uhamiaji,usalama wako chini yake ungejua ilo basi usingefananisha vyeo vya makamanda JW na raia wakakamavu Police.