Otorong'ong'o
Platinum Member
- Aug 17, 2011
- 39,183
- 28,874
Kapime akili wewe.. Halafu kwann unashupaza shingo kwa kuwa na misinformation????Ni mmoja tu, huyu Masao alishastaafu tangu 2018, alistaafia Pangawe.
[emoji2398]ᵃʳᵉᵉᵐ [emoji769]
Kapime akili wewe.. Halafu kwann unashupaza shingo kwa kuwa na misinformation????Ni mmoja tu, huyu Masao alishastaafu tangu 2018, alistaafia Pangawe.
[emoji2398]ᵃʳᵉᵉᵐ [emoji769]
Chief nipimwe akili kwa lipi, nimechanganya madesa, Luteni jeneral Yakub ndio alikuwa NDC alipokuwa maj general alipopandishwa na kuwa luteni jeneral ndio akawa Chief of Staff na PP Masao ndio mkuu wa NDC kwasasa. Sasa lipi la kupimwa akili hapo! Kuchanganya sometime kunatokea, angalia kote huko nilivyojibu,bwege naziKapime akili wewe.. Halafu kwann unashupaza shingo kwa kuwa na misinformation????
Huu ujinga ni Nani kaandika??Chief nipimwe akili kwa lipi, nimechanganya madesa, Luteni jeneral Yakub ndio alikuwa NDC alipokuwa maj general alipopandishwa na kuwa luteni jeneral ndio akawa Chief of Staff na PP Masao ndio mkuu wa NDC. Sasa lipi la kupimwa akili hapo! Kuchanganya sometime kunatokea, angalia kote huko nilivyojibu,bwege nazi
[emoji2398]ᵃʳᵉᵉᵐ [emoji769]
Ni mmoja tu, huyu Masao alishastaafu tangu 2018, alistaafia Pangawe.
Nimeandika mimi, lakini pia nimekiri kuwa nilichanganya. Kama ulivyoquote hapo. Sio kama sijui ila nilichanganya tu. Niko tofauti pia kama nilichanganya nakiri, lakini umeona wengine ambao hata unawaambia ukweli hawakubali na hata wakijua ni ukweli hawakubali? Elewa kwamba nilichanganya, tuendelee!Huu ujinga ni Nani kaandika??
Umenidia mkuu,Wako wawili ....
Mkuu wa Chuo cha NDC Lt Gen PP Masao
C of S Lt Gen Yakub
Huyu masao nilichanganya madesa, mawazo yalikwenda kwa Kamng'wele aliyestaafu Pangawe, nilijichanganya kimtindo.Umenidia mkuu,
Nilikuwa najua wako wawili ila sikujua mmoja yumo kitengo gani
Ameshaondoka na yuko DSM hapaChief mbona umesema aliyekuwa, kwani Masao ameshaondoka TMA?
[emoji2398]ᵃʳᵉᵉᵐ [emoji769]
Massau hajastaaafu yupo hapahapa DSMWako wawili ....
Mkuu wa Chuo cha NDC Lt Gen PP Masao
C of S Lt Gen Yakub
Chief hapo juu nilijichanganya, nimeliona li Otorong'ong'o limenishukia kama li RSM Chacha Matiku [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
Tima yuko Brig Mhona kwa sasaChief hapo juu nilijichanganya, nimeliona li Otorong'ong'o limenishukia kama li RSM Chacha Matiku [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
[emoji2398]ᵃʳᵉᵉᵐ [emoji769]
[emoji106]
Luten GEN JWTZ wapo wawili
Bro acha ubishi na kukaza ubongo,,Tofauti na JWTZ kwa hao wengine COMMISION OFCERS inaanzia Rank ya ACP na kuendeleaNa polisi hivyo ni vyeo vyao.ASP(nyota 3) ndio commission inaanzia,na sio ACP.
Kuna jamaa yangu nilihudhuria sherehe ya kupewa commission pale chuo cha polisi,barracks Kilwa road.Ilikuwa mwaka 2007,Rais mstaafu Kikwete ndiye aliye wakabidhi commission.Walikuwa wanapewa nyota ya tatu.Sasa hivi yeye kawa na cheo cha ACP na ni RPC wa mkoa fulani.
Daaaaaaahhhh punguza ujuaji mzee JWTZ Ofcers kuanzia nyota 1(2LT) hadi GEN wote ni COMMISION OFCERS...Unajua maana ya KAMISHEN? kwa taarifa yako kuanzia nyota moja wote ni commissioned officers. Na ndio maana wakitoka katika kundi la NCOs wakipata nyota moja wanabadilishiwa namba. Kufika kwa Rais katika gwaride la kutoa cheo haimaanishi ndo kamishen huo ni utaratibu tu anaweza hata asifike na kamishen ikatekelezeka.
Nikusaidie tu kamishen ni kitendo cha askari kuingizwa katika rejista ya kudumu ya serikali. Sijui huko JKT waliwaambia kamishen ni kitu gani hebu nisaidie na mimi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Field Marshall John Okello alikuwa ni Raia wa Uganda....Tanzania alishakuwepo field Marshall mmoja tu John Okello, alipindua zanzibar peke yake afu akamkabizi karume afu yeye akasepa. Lol!
Sent using Jamii Forums mobile app
achana na huyu jamaa anayejiita Comrade nadhan ana ndugu police NYOTA 3 sasa anafosi awe ni COMMISION OFCERNdiyo kamisheni yao inaanzia hapo kwa JESHI wao kamisheni inaanzia Nyota 1.
wew jamaa una ubishi wa kitoto...Enzi za kikwete Luten GEN walifikia wa4 ila LT GEN Shimbo alikuwa ni Chief of Staff na wengne walikuwa na majukum yao..mtu hadi video + majina umewekewa bado unabishaSio kweli,Kwa wakati wa Kikwete alikuwa mmoja tu,Abdulhaman Shimbo
Kwanini mimi ni mbishi!Wewe kwani sio mbishi?Kwani ni lazima nikubaliane na wewe?Wewe mbona hukubaliani na mimi? Njoo na nguvu ya hoja.wew jamaa una ubishi wa kitoto...Enzi za kikwete Luten GEN walifikia wa4 ila LT GEN Shimbo alikuwa ni Chief of Staff na wengne walikuwa na majukum yao..mtu hadi video + majina umewekewa bado unabisha
Huna hoja!Nimewaambia wote wenye vichwa vigumu,Kuanzia nyota tatu ndio kamisheni inaanza kwa polisi.Na Nimewaambia wakuu wa polisi wa wilaya (OCD) wanaanza na nyota 3 (ASP),SP hadi SSP,inategemea na idadi ya maafisa na vyeo vyao waliopo mkoani.Na sio ACP.achana na huyu jamaa anayejiita Comrade nadhan ana ndugu police NYOTA 3 sasa anafosi awe ni COMMISION OFCER