Ebe
JF-Expert Member
- Apr 18, 2013
- 914
- 1,133
Unajua maana ya KAMISHEN? kwa taarifa yako kuanzia nyota moja wote ni commissioned officers. Na ndio maana wakitoka katika kundi la NCOs wakipata nyota moja wanabadilishiwa namba. Kufika kwa Rais katika gwaride la kutoa cheo haimaanishi ndo kamishen huo ni utaratibu tu anaweza hata asifike na kamishen ikatekelezeka.Acha upotoshaji wewe, kamisheni ya magereza,polisi,uhamiaji,zimamoto inaanzia ACP - KAMISHNA MSAIDIZI
Nikusaidie tu kamishen ni kitendo cha askari kuingizwa katika rejista ya kudumu ya serikali. Sijui huko JKT waliwaambia kamishen ni kitu gani hebu nisaidie na mimi.
Sent using Jamii Forums mobile app