RPC Arusha na ulinganishi wa vyeo JWTZ na PT

RPC Arusha na ulinganishi wa vyeo JWTZ na PT

huyu bwana mdogo Careem anajifanya mjuaji wakat hana anachokijua....Anadhani unaweza kuwa FIELD MARSHAL kama kupata hivi vyeo vingine vya kawaida....Wengi hawajui hata sifa ya kuwa FIELD MARSHAL ni ip na hawajiuliz kwann Karne ya sasa hakuna MaFIELD MARSHAL kama ni cheo kama cheo kingine...hawa mujibu wa sheria ni wasumbufu sana
Hawajui kitu kabisa hao we unadhani hao madoni kule mjengoni hawakitak hiko cheo

Swala linakuja la vigezo tu

kilicho akilini kitumie
 
huyu anakubishia sijui kwann,,Enzi za Kikwete kuliwahi kuwa na Luten Generals 4
Nafikiri mlikuwa mkiwaona mabregadia wakati insignia zilivyobadilishwa.Bregadia jenerali kuvaa ngao ya taifa(Bibi na bwana)mapanga na nyota 1,ambayo zamani Ilivaliwa na luteni jenerali.Zamani bregadia alikuwa akivaa ngao ya taifa na nyota 3.
 
Acha kunipa majina ya ajabu wewe nasema field Marshall kwa Sasa dunian hakuna na hata hapa tz hakuna na hajawah kutokea na hatokaa kutokea

Acha kabisa kutaja field Marshall na upupu wa vyeo vingne huyo mabeyo mwenye Hana ubavu wa kufikia field Marshall

kilicho akilini kitumie
Acha ujinga, nani kasema hakuna field marshall duniani kwasasa? Ukiambiwa wewe ni mjinga utabisha? Egypt pekee hadi sasa wapo:
1. Mohamed Hussein Tantawi
2. Abdel Fattah el Sisi (Rais wa Egypt)
[emoji115][emoji115][emoji115]hao ni akina nani? Makota yako??

[emoji2398]ᵃʳᵉᵉᵐ [emoji769]
 
Hawajui kitu kabisa hao we unadhani hao madoni kule mjengoni hawakitak hiko cheo

Swala linakuja la vigezo tu

kilicho akilini kitumie
tatizo vijana wanakurupuka wanashindwa hata kujiongeza kuwa mbona Field marshall ni wachache kama ni cheo cha kawaida ambacho unaweza kupata kama walivyopata vyeo vingine....Field marshall huwez kukiwazia kwa karne hii na hutakuja kuwapata
 
Nafikiri mlikuwa mkiwaona mabregadia wakati insignia zilivyobadilishwa.Bregadia jenerali kuvaa ngao ya taifa(Bibi na bwana)mapanga na nyota 1,ambayo zamani Ilivaliwa na luteni jenerali.Zamani bregadia alikuwa akivaa ngao ya taifa na nyota 3.
Wote unafikiri wanakosea, haya jisomee mwenyewe hapo[emoji116][emoji116][emoji116]
Mwanzo-Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania

[emoji2398]ᵃʳᵉᵉᵐ [emoji769]
 
Acha ujinga, nani kasema hakuna field marshall duniani kwasasa? Ukiambiwa wewe ni mjinga utabisha? Egypt pekee hadi sasa wapo:
1. Mohamed Hussein Tantawi
2. Abdel Fattah el Sisi (Rais wa Egypt)
[emoji115][emoji115][emoji115]hao ni akina nani? Makota yako??

[emoji2398]ᵃʳᵉᵉᵐ [emoji769]
Hao uliowataja waulize hvyo vyeo walivipata lini na kwa sababu ipi mpaka kuwa field Marshall hv wew mabeyo ana askar kweli hapo yaan hata haya maneno kuyatafsr hujui field+ Marshall Kaz kweli ipo

kilicho akilini kitumie
 
Wewe unasema, kwani vyeo vinatolewa na nani katika nchi??

[emoji2398]ᵃʳᵉᵉᵐ [emoji769]
hahahahaaaa umeshindwa kunijibu swali langu la SIFA YA KUWA FIELD MARSHALL NI IPI,,.FIELD MARSHALL wa mwisho alitokea mwaka gan na kwanin sasa hivi hakuna FIELD MARSHALL kama ni cheo cha kawaida kama vyeo vingine...
SWALI LANGU HILI UNALIKWEPA,,BASI KAGOOGLE HALAFU UJE NA MAJIBU
 
Acha ujinga, nani kasema hakuna field marshall duniani kwasasa? Ukiambiwa wewe ni mjinga utabisha? Egypt pekee hadi sasa wapo:
1. Mohamed Hussein Tantawi
2. Abdel Fattah el Sisi (Rais wa Egypt)
[emoji115][emoji115][emoji115]hao ni akina nani? Makota yako??

[emoji2398]ᵃʳᵉᵉᵐ [emoji769]
Hawa[emoji115][emoji115][emoji115]vipi sio wa karne hii??

[emoji2398]ᵃʳᵉᵉᵐ [emoji769]
 
Wewe ndio huelewi kitu, hata leo hii nikikuuliza kwanini jeshi letu ni Defence Force na sio army huwezi kueleza kitu. Usichokijua wewe wenzako wanakijua.

Kumbe Polo ndio wewe, kumbafff

[emoji2398]ᵃʳᵉᵉᵐ [emoji769]
Kumbe wewe ni mwanafunzi swali gani unauliza?Unajua Army ni nini,Navy, Air force?
Mara unasema IGP sio cheo!Ujuaji mwingi.
Eti"kwanini jeshi letu ni Defence force na sio army?"
 
hahahahaaaa umeshindwa kunijibu swali langu la SIFA YA KUWA FIELD MARSHALL NI IPI,,.FIELD MARSHALL wa mwisho alitokea mwaka gan na kwanin sasa hivi hakuna FIELD MARSHALL kama ni cheo cha kawaida kama vyeo vingine...
SWALI LANGU HILI UNALIKWEPA,,BASI KAGOOGLE HALAFU UJE NA MAJIBU
Siwezi kukwepa swali lako hata siku moja, moja ya sifa ya kuwa field marshall ni kushinda vita zote akiwa kama general. Una swali jingine

[emoji2398]ᵃʳᵉᵉᵐ [emoji769]
 
Kumbe wewe ni mwanafunzi swali gani unauliza?Unajua Army ni nini,Navy, Air force?
Mara unasema IGP sio cheo!Ujuaji mwingi.
Eti"kwanini jeshi letu ni Defence force na sio army?"
Kweli mabwege nazi hawaishi. Hivi ndio umejibu au umehorproja hapa?badala ya kujibu unatudisha swali, hatwendi hivyo

[emoji2398]ᵃʳᵉᵉᵐ [emoji769]
 
Acha ujinga, nani kasema hakuna field marshall duniani kwasasa? Ukiambiwa wewe ni mjinga utabisha? Egypt pekee hadi sasa wapo:
1. Mohamed Hussein Tantawi
2. Abdel Fattah el Sisi (Rais wa Egypt)
[emoji115][emoji115][emoji115]hao ni akina nani? Makota yako??

[emoji2398]ᵃʳᵉᵉᵐ [emoji769]
[/QUO
hao watu historia yao unaijua kweli na umefuatilia walipewa UFIELD MARSHLL mwaka gani...hao uliowataja ni wakongwe sawa sawa utaje Mzee Kingunge na January makamba kweny medan ya siasa..wataje MaFIELD MARSHALL wa kipindi hiki mzee... Usitaje Field marshall wa zaman waliopo hao
 
Kwani Abdel Fattah el Sisi ni wa kipindi kipi?

[emoji2398]ᵃʳᵉᵉᵐ [emoji769]
 
Back
Top Bottom