RPC Arusha na ulinganishi wa vyeo JWTZ na PT

RPC Arusha na ulinganishi wa vyeo JWTZ na PT

Hapana hapa nadhani hauko sahihi. Warrant Officer Class one, hana nyota, na ni cheo cha juu ngazi moja kutoka kwa Staff Sergeant. ACP ana madude yaliyo juu ya nyota tatu nadhani, vyeo vya polisi sivijui vizuri. Hivyo kicheo huwezi kumlinganisha ACP na RSM(Warrant Officer Class one); LAKINI:
RSM kiutawala ndani ya Kikosi, ni mkuu wa nidhamu kikosi kizima, na kwa hiyo huwa ana mamlaka ya karibu kabisa na Commanding Officer wa kikosi (yaani anawafuatia 2ic , CI na adjutant, kama sikosei). RSM kwenye kikosi akicharuka anaamuru fatiki halafu askari wote kikosini kuanzia nyota tatu (Captain na kurudi chini, ukiondoa adjutant ambaye anaye pia huwa ana nyota tatu) na kurudi chini, wanasomba matofali, hadi ma OC wa kombania ambao nao pia wana nyota tatu.
Kicheo ACP ni mkubwa kwa Warrant Officer Class one, ila kiutawala RSM ni mkubwa sana, na anateuliwa na Rais, na anakuwepo mmoja tu katika kila kikosi. Zaidi ni kuwa RSM akikutana na ACP, lazima atashusha saluti kwa ACP, ila yeye pamoja na kuwa na mamlaka makubwa kiutawala, huwa hapigiwi saluti kwa sababu hana nyota
Ni kweli ndugu,kifupi afisa wa polisi mwenye nyota moja (sub inspector)ni sawa na WO2 ,na mwenye nyota mbili(inspector) ni sawa WO1.

Polisi wanapewa commission na Rais kuanzia nyota ya tatu(ASP).Huyu kiitifaki ni sawa na luteni usu wa JWTZ(nyota moja).

Na hawa ma ASP(nyota tatu) ndio huwa wanaanza kuteuliwa kuwa wakuu wa polisi wa wilaya(OCD).
 
Hapana hapa nadhani hauko sahihi. Warrant Officer Class one, hana nyota, na ni cheo cha juu ngazi moja kutoka kwa Staff Sergeant. ACP ana madude yaliyo juu ya nyota tatu nadhani, vyeo vya polisi sivijui vizuri. Hivyo kicheo huwezi kumlinganisha ACP na RSM(Warrant Officer Class one); LAKINI:
RSM kiutawala ndani ya Kikosi, ni mkuu wa nidhamu kikosi kizima, na kwa hiyo huwa ana mamlaka ya karibu kabisa na Commanding Officer wa kikosi (yaani anawafuatia 2ic , CI na adjutant, kama sikosei). RSM kwenye kikosi akicharuka anaamuru fatiki halafu askari wote kikosini kuanzia nyota tatu (Captain na kurudi chini, ukiondoa adjutant ambaye anaye pia huwa ana nyota tatu) na kurudi chini, wanasomba matofali, hadi ma OC wa kombania ambao nao pia wana nyota tatu.
Kicheo ACP ni mkubwa kwa Warrant Officer Class one, ila kiutawala RSM ni mkubwa sana, na anateuliwa na Rais, na anakuwepo mmoja tu katika kila kikosi. Zaidi ni kuwa RSM akikutana na ACP, lazima atashusha saluti kwa ACP, ila yeye pamoja na kuwa na mamlaka makubwa kiutawala, huwa hapigiwi saluti kwa sababu hana nyota

Point hii mkuu [emoji1417][emoji1417]


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Hivi mbona unapingana na ukweli, moja kati ya sifa ya kuwa field marshall ni kuwa na Army, ili jeshi liwe army ni lazima liwe na askari wasiopungua 150,000 wewe unasema field marshall sio cheo rasmi nani kasema. US hadi leo hii wako na field marshall (5 star General) achana na hao kina Eid Amin waliokuwa wakijipa vyeo wenyewe, nenda India kulikuwa na field Marshall wawili, Sam Maneckshow na mwingine K M Carriapa.

Sent using Jamii Forums mobile app
naomba nitajie hao MaFIELD MARSHAL watano wa USA.
 
Ni kweli ndugu,kifupi afisa wa polisi mwenye nyota moja (sub inspector)ni sawa na WO2 ,na mwenye nyota mbili(inspector) ni sawa WO1.

Polisi wanapewa commission na Rais kuanzia nyota ya tatu(ASP).Huyu kiitifaki ni sawa na luteni usu wa JWTZ(nyota moja).

Na hawa ma ASP(nyota tatu) ndio huwa wanaanza kuteuliwa kuwa wakuu wa polisi wa wilaya(OCD).
acha mambo yako kwa POLISI COMMISION ya Rais ni kuanzia ngaz ya ACP (Assistant Commisioner of Police)
 
Ndugu! Kiufupi tu ni kwamba naelewa ninachoongea Luteni Jeneral wanne walishakuwepo kwa pamoja, usinibishie hata kidogo. Na Meela akiwa ni mmoja wapo. Wakati Meela anakabidhiwa kuwa kuwa Force Kamanda kuchukua nafasi iliyoachwa na Luteni Jenerali Nyamvumba wa Rwanda alikuwa Luteni Jenerali hiyo ni 2013, Mbali na Yeye akamuachia Luteni Jenerali Kisamba..
View attachment 1447281

Sent using Jamii Forums mobile app
huyu anakubishia sijui kwann,,Enzi za Kikwete kuliwahi kuwa na Luten Generals 4
 
Hivi mbona unapingana na ukweli, moja kati ya sifa ya kuwa field marshall ni kuwa na Army, ili jeshi liwe army ni lazima liwe na askari wasiopungua 150,000 wewe unasema field marshall sio cheo rasmi nani kasema. US hadi leo hii wako na field marshall (5 star General) achana na hao kina Eid Amin waliokuwa wakijipa vyeo wenyewe, nenda India kulikuwa na field Marshall wawili, Sam Maneckshow na mwingine K M Carriapa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kaa kimya hujui sifa za field Marshal nadhan kwa sasa hakuna field Marshall yeyote yule hiko cheo Ni Cha juu Zaid na Cha mwisho kijeshi pata historia ya kina fidel Castro ndio utaelewa vizuri

kilicho akilini kitumie
 
Mkuu kaa kimya hujui sifa za field Marshal nadhan kwa sasa hakuna field Marshall yeyote yule hiko cheo Ni Cha juu Zaid na Cha mwisho kijeshi pata historia ya kina fidel Castro ndio utaelewa vizuri

kilicho akilini kitumie
Wewe ndio huelewi kitu, hata leo hii nikikuuliza kwanini jeshi letu ni Defence Force na sio army huwezi kueleza kitu. Usichokijua wewe wenzako wanakijua.

Kumbe Polo ndio wewe, kumbafff

[emoji2398]ᵃʳᵉᵉᵐ [emoji769]
 
Kwa muundo wa Jeshi cheo cha mwisho ni GENERAL (4 star general)..
hiko cheo cha FIELD MARSHAL sio cheo rasmi kijeshi ila ni cheo walichokuwa wanajipatia Madikteta wengj ili kujitofautisha (IDD AMIN) na kwa historia duniani waliojiita MaFIELD MARSHAL hawafiki 15..AFRICA walikuwepo wawili au watatu,mmoja n IDD AMIN
[emoji115][emoji116]Mtakuja tu ninapotaka mfike...
Mkuu kaa kimya hujui sifa za field Marshal nadhan kwa sasa hakuna field Marshall yeyote yule hiko cheo Ni Cha juu Zaid na Cha mwisho kijeshi pata historia ya kina fidel Castro ndio utaelewa vizuri

kilicho akilini kitumie
Mmoja sio cheo mwingine ni cheo cha mwisho. [emoji23][emoji23][emoji23]mtakuja tu ninapotaka mfike [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]

[emoji2398]ᵃʳᵉᵉᵐ [emoji769]
 
Wewe ndio huelewi kitu, hata leo hii nikikuuliza kwanini jeshi letu ni Defence Force na sio army huwezi kueleza kitu. Usichokijua wewe wenzako wanakijua.

Kumbe Polo ndio wewe, kumbafff

[emoji2398]ᵃʳᵉᵉᵐ [emoji769]
Acha kunipa majina ya ajabu wewe nasema field Marshall kwa Sasa dunian hakuna na hata hapa tz hakuna na hajawah kutokea na hatokaa kutokea

Acha kabisa kutaja field Marshall na upupu wa vyeo vingne huyo mabeyo mwenye Hana ubavu wa kufikia field Marshall

kilicho akilini kitumie
 
1. George Marshall
2. Douglass McArthur
3. Dwight D Eisenhower
4. Henry H. Arnold
5. Omar Bradley

[emoji2398]ᵃʳᵉᵉᵐ [emoji769]
1-Hivi unajua sifa ya kuwa FIELD MARSHAL......
2-Jeeeee!!! kwa mara ya mwisho kumsikia mtu akiwa FIELD MARSHAL ilikuwa mwaka gani?? na kwanin sasa hivi hakuna FIELD MARSHAL kama ni cheo rasmi ambacho mtu unaweza ukapata kama vyeo vingine vya chini yake kwa mujibu..
 
Kuna mijitu humu inajifanya inajua balaa, lakini ukiwaambia hata Section, Platoon, Company, Battalion zina watu kwa idadi ipi haijui then inabishana na bado haijui nguvu ya batallion, regiment, grigade, Comand pia haijui na bado inashikilia kubishana tu![emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]

[emoji2398]ᵃʳᵉᵉᵐ [emoji769]
 
[emoji115][emoji116]Mtakuja tu ninapotaka mfike...Mmoja sio cheo mwingine ni cheo cha mwisho. [emoji23][emoji23][emoji23]mtakuja tu ninapotaka mfike [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]

[emoji2398]ᵃʳᵉᵉᵐ [emoji769]
FIELD MARSHAL sio cheo rasmi ambacho mtu unaweza kukifikiria na kupata kama vyeo vingine vilivyo rasmi...
 
Kuna mijitu humu inajifanya inajua balaa, lakini ukiwaambia hata Section, Platoon, Company, Battalion zina watu kwa idadi ipi haijui then inabishana na bado haijui nguvu ya batallion, regiment, grigade, Comand pia haijui na bado inashikilia kubishana tu![emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]

[emoji2398]ᵃʳᵉᵉᵐ [emoji769]
brother unafanya kazi gani au ndo wale wa kusoma mtandaoni au mujibu wa sheria...
 
[emoji115][emoji116]Mtakuja tu ninapotaka mfike...Mmoja sio cheo mwingine ni cheo cha mwisho. [emoji23][emoji23][emoji23]mtakuja tu ninapotaka mfike [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]

[emoji2398]ᵃʳᵉᵉᵐ [emoji769]
Sikiliza nikwambie field Marshall Ni top senior military rank baada ya general na sifa kubwa ya kuwa field Marshall Ni wartime Victory nenda kaulize popote pale dunian utapata majibu haya haya ndio huon hiko cheo wakipewa wanakosa sifa ya umepigana vita ngapi Tena za muda mrefu na kushinda kwahyo usitegemee kupata field Marshall katika karne hii

kilicho akilini kitumie
 
Sikiliza nikwambie field Marshall Ni top senior military rank baada ya general na sifa kubwa ya kuwa field Marshall Ni wartime Victory nenda kaulize popote pale dunian utapata majibu haya haya ndio huon hiko cheo wakipewa wanakosa sifa ya umepigana vita ngapi Tena za muda mrefu na kushinda kwahyo usitegemee kupata field Marshall katika karne hii

kilicho akilini kitumie
huyu bwana mdogo Careem anajifanya mjuaji wakat hana anachokijua....Anadhani unaweza kuwa FIELD MARSHAL kama kupata hivi vyeo vingine vya kawaida....Wengi hawajui hata sifa ya kuwa FIELD MARSHAL ni ip na hawajiuliz kwann Karne ya sasa hakuna MaFIELD MARSHAL kama ni cheo kama cheo kingine...hawa mujibu wa sheria ni wasumbufu sana
 
Back
Top Bottom