we mwenyewe upo KatoroWewe una shida gani manka?
Karibu CCM
Gwajiboy anajiamini snNashukuru rais ameona mapema kupitia gwajima serkali ingepata pigo sana na lingemuathiri sana rais
Kwa mfano matumizi ya ruzuku hapo Ufipa!Issue siyo tozo issue ni matumizi makubwa ya serikali bila sababu za msingi
Samahani lakini bwashe. hivi katika mishe mishe za maisha, wakati unahaso na maisha, umewahi kukutana na mgogo yeyote huko kwenye mishe? Nauliza sio kwa ubaya lakiniWagogo watanuna sisi tunaelekea bagamoyo !
Ni mteule wa Bwana.Gwajiboy anajiamini sn
Ufipa hakuna ruzuku watu wameikataaKwa mfano matumizi ya ruzuku hapo Ufipa!
mkuu usijihangaishe. ni ishara ya kukwepa majukumu mazito, na ni wazi anakimbilia mambo mepesi mepesi.Kuna baadhi ya mambo yanafikirisha sana awamu hii. Sasa kama Raisi anazunguka kupiga picha za utalii, Waziri wa maliasili anafanya nini?
Hili linadhihirisha kuwa kuna driving force nyuma ya tunaemuona raisi, kwa maana ana Job Description katengenezewa na kuna anao report kwao na kumwambia cha kufanya. In other words yeye ni sura tu ya uraisi.
Sikuwahi mpenda Magufuli mpaka anakufa ila Magufuli alikuwa shujaa katika kusimama na maamuzi na kujua hasa nguvu yake kama raisi. Mpaka 2025 ambapo nina hakika ndio ukomo wa mtangaza utalii, tutaona mengi sana
Niliwahi kukutana na Kibajaji wakati anaponda kokoto kabla hajachukuliwa na prof Lipumba!Samahani lakini bwashe. hivi katika mishe mishe za maisha, wakati unahaso na maisha, umewahi kukutana na mgogo yeyote huko kwenye mishe? Nauliza sio kwa ubaya lakini
Mama J FCChondechonde wasije kutuletea video nyingine kama ile ya Yanga
Huu ndo ukweli hata Kama hawaupendi, huwezi jitenga na falsafa za Jiwe ukatoboa mfano no kwenye hi issue ya chanjo.Mpaka sasa hiyo timu ambayo Ndugai aliiunda imtukane Gwajiboy inajuta. Mama kaonesha yupo na Gwajiboy, Sirro na PCCB hawajamkamata Gwajiboy. In short kila anayepinga mawazo na fikra za Dkt Magufuli atafeli vibaya mno. Ili Mama aweze kushinda 2025 abebe maono ya Dkt Magufuli. Mfano leo kagusia misaada ni mibaya.
Na hili huwasikii wakiligusia, ni matumizi ya ma viieite kwa kwenda mbele kwa waheshimiwa wateuliwa.........bajeti ya matumizi ya kawaida 80%, bajeti ya maendeleo 20% eti utarajie maendeleo, hapo ndo umbumbu wa ngozi nyeusi ulipo na bila shaka wazungu wanatuona vima......Issue siyo tozo issue ni matumizi makubwa ya serikali bila sababu za msingi
Sasa J J Mnyika anatoa wapi mshahara wake na wasaidizi wake?Ufipa hakuna ruzuku watu wameikataa
Samahani mkuu, nini maana ya Manka?Wewe una shida gani manka?
Karibu CCM
Ni kweli na pia uchepushaji/rushwa. Inabidi alikemee na hilo. Pia amtaje Mungu kuwa ndiye muweza wa yote. Ajikite kuwa mtoa matumaini maana watanzania wanahitaji kiongozi anayebeba maono. Mama anafaa sana kuendelea kwa jinsi nilivyomsikiliza leo.Issue siyo tozo issue ni matumizi makubwa ya serikali bila sababu za msingi