Usiamini Sana inawezekana ni picha ya nje tu kumbe ndani mtima nyongo.🤣🤣🤣🤣Mpaka sasa hiyo timu ambayo Ndugai aliiunda imtukane Gwajiboy inajuta. Mama kaonesha yupo na Gwajiboy, Sirro na PCCB hawajamkamata Gwajiboy. In short kila anayepinga mawazo na fikra za Dkt Magufuli atafeli vibaya mno. Ili Mama aweze kushinda 2025 abebe maono ya Dkt Magufuli. Mfano leo kagusia misaada ni mibaya.