Rotary Dar Marathon(RDM 2018)

Rotary Dar Marathon(RDM 2018)

Nimenunua mbili 5,000. Wewe ulipewa bure?
IMG_20181015_143544.jpg
 
Mi nikikimbia 5Km nadhani mtaniwahisha Regency hospital kupatiwa matibabu ya dharura
Kumbe huna pumzi!
Nakuchomoa utanichafua bure🙄🙄🙄
Naamanisha nakuchomoa kwenye list ya wakimbiaji
 
Pole sana
Usikute muandaaji alichukulia poa unajuwa wa TZ hatuko serious katika vitu vyetu ndio yakatokea ya kutokea
siku ingine jiunge na dasani marathoni wale wana medali za kutosha na kila kitu kipo hakuna longolongo mwaka jana nilihudhuria washindi walipewa haki zao hadi bahasha za hela yaani hakuna dhuluma
 
Pole sana
Usikute muandaaji alichukulia poa unajuwa wa TZ hatuko serious katika vitu vyetu ndio yakatokea ya kutokea
siku ingine jiunge na dasani marathoni wale wana medali za kutosha na kila kitu kipo hakuna longolongo mwaka jana nilihudhuria washindi walipewa haki zao hadi bahasha za hela yaani hakuna dhuluma

Wanafanyia wapi hawa Mkuu?
 
Pole sana
Usikute muandaaji alichukulia poa unajuwa wa TZ hatuko serious katika vitu vyetu ndio yakatokea ya kutokea
siku ingine jiunge na dasani marathoni wale wana medali za kutosha na kila kitu kipo hakuna longolongo mwaka jana nilihudhuria washindi walipewa haki zao hadi bahasha za hela yaani hakuna dhuluma
Mwaka huu inafanyika lini?
 
Nauzunguka uwanja wa mpira mara kumi kila siku,hivi ni sawa na kilomita ngapi tafadhali...
 
WassaP kumechafuka mapicha picha meengi, naona sare sare, kumbe ni marathon? Jana mimi nilikua kanisani ilikua ni siku maalum ya sala.
 
Pole sana. Mimi nilifanikiwa kumaliza 21.1km na nilibahatika kupata medali. Lakini waandaaji walikosa umakini hasa kwenye muda wa kuanza na ukosefu wa medali za kutosha
 
Back
Top Bottom