Asprin
Platinum Member
- Mar 8, 2008
- 68,271
- 96,398
Wacha kabisa... mi waniletee tu marathon ya kugida ulabu waone ntakavyowagalagaza....Hahahahah imebidi nicheke kwa sauti uzee bwana
Wacha kabisa... mi waniletee tu marathon ya kugida ulabu waone ntakavyowagalagaza....Hahahahah imebidi nicheke kwa sauti uzee bwana
Sina pumzi kabisaaa... kama huamini jitolee tukimbie wote without...Kumbe huna pumzi!
Nakuchomoa utanichafua bure🙄🙄🙄
Naamanisha nakuchomoa kwenye list ya wakimbiaji
Nshajizeekea zangu kwa raha zangu. Marathon nayoimudu ni ya kitandani... tena baada ya kupiga ulabu ...Babu bwana
Naona unataka ufanye formula zako ujue ukubwa wa mshenene wa jamaa... khaaa!!huyo alievaa hapo pichani ndo mwenye nayo
Hapana babuUnanicheka au?
Ukute hata hiyo ya kitandani unaiweza kwa sekunde 59 tuNshajizeekea zangu kwa raha zangu. Marathon nayoimudu ni ya kitandani... tena baada ya kupiga ulabu ...

Nitatembea shoga angu hiyo fun run ya 5km
HahahahahaaaNshajizeekea zangu kwa raha zangu. Marathon nayoimudu ni ya kitandani... tena baada ya kupiga ulabu ...
Inayofuata ni Kili Marathon Kama sijakosea. Inafanyika MOSHIWakuu marathon ifuatayo ni IPI??
inafanyika wapi??
Tujuzane APA tuweze kushiriki maana wengine tuna mapafu ya duma tunayatumia Kwa matumizi yasiyo rasmi
Na akimaliza kimoja tu chaliUkute hata hiyo ya kitandani unaiweza kwa sekunde 59 tu![]()
Unanigombanisha na babu eeh
Muda ni lini?Inayofuata ni Kili Marathon Kama sijakosea. Inafanyika MOSHI
Zote hizo?? Kwani nagombea world cup?Ukute hata hiyo ya kitandani unaiweza kwa sekunde 59 tu![]()
Mi nakuangalia tu... We nidhalilishe tu, mi namwachia MunguUnanigombanisha na babu eeh
Yote hayo umeyaanzisha wewe afu msala unamwangushia mwingine.... sichezi tena na wewe!
Tunaanzia kukesha kula nyama na bia bar zote za moshi.. Alafu mbio zikiisha bia zinaendelea tena..Kweli aisee unaanza na starehe wala hukumbuki unatakiwa km ngapi