Mkuu sijapata aise,nadhani hawa jamaa walikuwa wanaangalia mtu usoni 😀Ulipata medali?
Kama katibu wa walevi/wanywaji/walipa kodi nshamtumia mwenyekiti hilo pendekezo tayari huko![]()
![]()
![]()
Ova
Nimeongea na mshiriki mmoja anasema kilichotokea watu waliingia kwenye msafara ambao hawakuwa wameandikishwa kwa uzembe wa waandaaji walitoa medali bila kuangalia namba walizovaa pamoja na gps mgongoni japokuwa sijui kwanini walifanya uzembe huo. Kitu kingine washiriki walitupa karatasi za namba zao njiani kwa hiyo ikawa vigumu kumtambua mshiriki na mzamiaji. Ndio taarifa nilisikiaPole yetu...😡
Namba yangu na tracking device yake ninayo, siitupi ndio kumbukumbu pekee nilionayo kwa ushiriki wangu.Nimeongea na mshiriki mmoja anasema kilichotokea watu waliingia kwenye msafara ambao hawakuwa wameandikishwa kwa uzembe wa waandaaji walitoa medali bila kuangalia namba walizovaa pamoja na gps mgongoni japokuwa sijui kwanini walifanya uzembe huo. Kitu kingine washiriki walitupa karatasi za namba zao njiani kwa hiyo ikawa vigumu kumtambua mshiriki na mzamiaji. Ndio taarifa nilisikia
It's fine, una afya nzuri. Nipe hints, zinandaliwa wapi na kila mwaka wanafanya? Huenda next time Mungu akitupa uhai nikajiandaa kushiriki, ili niazimie kuwa na mwili wenye afya.Nilimaliza ingawa kuna km kadhaa nilitembea.
Nyerere Day 14th October kila mwaka.It's fine, una afya nzuri. Nipe hints, zinandaliwa wapi na kila mwaka wanafanya? Huenda next time Mungu akitupa uhai nikajiandaa kushiriki, ili niazimie kuwa na mwili wenye afya.
anhaaa kili marathon eeehh,na mimi ntashiriki!?Hongera kwa kushiriki. Na Mimi mwakani nitajitosa Kili Marathon inshallah. Ngoja nianze kupunguza nyama
Pamoja mkuu naimani na ww utaendeleza mazoeziAll the best.
Hapo umefanya sahihiNamba yangu na tracking device yake ninayo, siitupi ndio kumbukumbu pekee nilionayo kwa ushiriki wangu.
duh poa mkuu! mnanipa mzuka mwakani tuombe uzima na mimi nishiriki maana ndo mambo yangu hayo!!Washindi wamepewa zawadi zao kabla mimi sijafika robo tatu ya mbio!
Tutakutana huko mkuuanhaaa kili marathon eeehh,na mimi ntashiriki!?