The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,080
We are on the same trail biggyWewe bwana unachekesha mweli kweli kweli.....unataka documents kutoka jf?, unataka tuanza na member wa tender board wakati tunajua kulikuwa na shinikizo la EL kama waziri mkuu...hizi discussion za processes tulishazijadili hapa sana.
Sasa ni wakati wa ku-act. RA must go.