Rostam MUST Resign; CCM Must Act

Mwanakijiji, ukiangalia Rostam amewekeza kiasi gani kwenye siasa za Tanzania unaweza kuona wazi kuwa hawezi kujiuzulu kiurahisi. Ukiangalia ame-finance kiasi gani kwenye kampeni za watu ambao sasa wako madarakani, sina orodha lakini nasikia kuwa kuna wabunge wengi wa chama tawala ambao pesa za kampeni, sio kwenye uhcgauzi huu tu hata ulipopita, zilitoka mfukoni mwake.

Unajua kwa sasa yeye ndiye most powerful politician in Tanzania, kila mtu anamuogopa. Watanzania milioni 40+ hatuwezi kupambana na yeye, kwa kuwa ameshika sehemu zote za madaraka. Hata kama ungekuwa wewe mwanakijiji usingeachia kiurahisi hatamu.

Siku zote watu wanapigania power, higher power, sasa Rostam ameshika executive, bunge na mahakama akiachia tu, kesho he is no body, so his survival is in staying up there.

Umeshaongea lugha ya kutukatisha tamaa tunyamaze, huna wazo lolote ambalo ni positive?
 
Tatizo hili halitakwisha RA akijiuzulu vyeo vyake. Na wala halitakwisha JK na CCM wakiondoka madarakani. TUMEOZA nje ndani WATANZANIA. Tumeoza kila mahali. Labda Mwalimu afufuke. Nenda TPDF. Kumeoza. Nenda UwT. Kunanuka. Nenda TAKUKURU. Hakukaliki. Nenda POLISI. Huko ndio kabisaa. Nenda UHAMIAJI. Ni balaa! Nenda MAHAKAMA zetu. Hautatamani kurudi tena huko. Nenda BUNGENI. Yaani! Nenda UPINZANI. Acha tu.
Ninyi mnang'ang'ana ROSTAM, Rostam

Kuna mzee wangu aliniambia kuwa ukisafiri safari ya mbali sana baada ya miaka kadhaa ukarudi ukakuta nyumba yako yamehamia majoka ya kila aina na uchafu wa kila aina, in fact hata sehemu ya kuingilia haipo unafanyaje. The theory of destruction hapo ndio inapokuja. Itabidi uichome moto hiyo nyumba ili uanze upya.

Ni wananchi tu hapa tulipofikia ndio watakaomaliza hii saga, and examples are here with us.
 
Nimelisoma The East Africa, and endded up pezzeled, that if all the evils were exposed during the ICC sesions then what made our loca media outlets fail to come up with such kind of an article.

Rostam and company wanapewa kiburi walichonacho na viongozi wetu dhaifu, wanaonunuliwa kwa kusomeshewa watoto Ulaya na Marekani au kununuliwa VX, shame on them.

MMM, kilichobaki ni wananchi kuingia barabarani, si CCM wala JK mwenye ubavu wa kumg'oa huyo Balochi, naye hawezi achia kwa sababu wizi ndio mfumo wamaisha yake, hafanyi biashara, ni uporaji BOT na mashirika yetu kwa msaada wa kina JK
 
Kaka,
Hii imekaa ki-ukweli kabisa. Kama Rostam akikumbwa na masahaba yoyote kama yeye au akamatwe, au ajiuzulu CCM, chama hiki kitakufa flat, au msambaratiko utakaotokea hakuna anayeweza kuutabiri. Ni mkubwa mno!

CCM haipo bila Rostam, na serikali yenyewe haina lolote bila Rostam kudecide kwa JK yes lifanyike jambo au au no lisifanyike...na je assume Rostam ametoweka ghafla! Hata Rais atakimbia...! Ulishaona nchi yoyote Rais anakubali 'kulowa mvua' (mascandal) kama JK, wakati 'mwavuli amemfunika mwingine' Rostam? La hasha, anajua kama sio Rostam, hata yeye JK hatakuwepo! Finish...

Kwa analysis yako basi kumbe tuna kila sababu ya kudeal na Rostam ili CCM isiwepo na kutuletea haya madudu, wewe unaonaje, abaki Rostam ili CCM iendelee kufanya madudu?
 
CCM bila Rostam Aziz Haiwezekani, Haipo, Ni Mfu...

At the moment Rostam Aziz is the Ruling Party and the proxy President Of the United Republic Of Tanzania ...

Rostam Aziz akijitoa ndani ya CCM na ndani ya Serikali, hii nchi haitakalika (Trust me Mwanakijiji)!
Ni sawa Baba Enock, lakini Misri bila Mbaraka itakuwepo tuu! Tanzania bila RA itakuwepo kabisa. Kwanza huyu jamaa ana operate behind the seen, so people wouldn't notice is absence. Its time now for this guy to go, other wise ataondoka na mtu mzima Cairo style!!! Rostam Out!!!!!!!!!
 
kujiuzulu! sijui na ina wezekana sababu kubwa ameweka serekali katika mifuko yake. what a shame
 
Ooh,mazee kumbe umekopy na kupaste from newspaper.
you know there different between KNOWING WHAT YOU ARE TALKING AND JUST TALKING.
I mean lyke parrot..realy ticks me off ..is this east africa newspaper our knew costitution now in which we must follow?
Make do with some CONCRETE EVIDENCE guys instead of yapping,whinning lyke a bloody parrot.
Every accused person is innocent until proved otherwise and it is not for the accused to prove his/her inoccense but it is up to the accuser to prove without leaving any doubt

A firsthand imprudent JF member with minute compassionate of our country circumstances!
 
'a mafia like crime' & 'similarly audacious and sophisticated'

Yes, I concur 101% ....... go RA go!
 
MMK, naunga mkono mawazo yako kabisa, nitafurahi kuona Rostam amejiuzulu na kutoka kwenye systema ambayo anaitumia kutuibia.

Nadhani, kama serikali yetu ingekuwa inawajibika ipasavyo wala tusingekuwa leo hii tunapoteza muda wetu mwingi namna hii kujadili mambo ya Dowans na Rostam Aziz. Tusingepoteza pesa zote zilizotumika kwenye hii kadhia tangu 2006. Serikali na ccm wasingepoteza heshima kwa wananchi. Watendaji na wanasiasa husika wangekuwa wameshajiuzulu siku nyingi na rostam angekuwa gerezani.

Ni kama ile hadithi ya zamani ya Kalumekenge aliyekataa kwenda shule. Kwamba kila mtendaji na mwanasiasa aliyehusika na hii kadhia alitakiwa awajibishwe na mamlaka fulani iliyo juu yake. Sasa mamlaka zote hizo ndizo zilizohusika na kadhia hii na zimekataa kuwajibika na kuwajibishana.

Sasa tunataka (tunaomba) Rostam atuonee huruma ajiuzulu kwa sababu tumeshindwa kuwajibisha watendaji na wanasiasa wetu? Watendaji wetu wangekuwa wanawajibika kwa wananchi wangekuwa wameshamshuhulikia Rostam tangu zamani. Kuanzia 2005 wanasiasa wa ccm wengi wameingia madarakani kwa kutumia pesa za ufisadi unaotokana na kazi ya Rostam. Can you bite the hand which feeds you?

Hivi kama akijiuzulu Rostam leo hii, halafu iweje? Hatutaweza kupata pesa zetu alizosanifu kuibiwa na serikali iliyowekwa madarakani itaendeleza sera na ushauri wake. Rostam atakuwa nje ya system lakini system yote inamtii. Hivyo dawa ni kuing'goa system yote - Tunisia. System ambayo imekubali kutumiwa kuibia wananchi na imeshindwa kuwajibika kwa hilo. System ambayo Rostam ameikuta, iliyowekwa na wananchi - iondolewe na wananchi.

Nachojaribu kusema muda wote huu ni kwamba, Rostam akijiuzulu atatokea mtu mwingine atakayeiweka serikali yetu mfukoni kama Rostam. Tuondoe system kisha tuwaonye watendaji wapya wasije kurudia tena huo mchezo. Yaani wanasema waingereza, Chess first the fox and then warn the chicken from wondering about the bush!
 
Is a Big Fish YES, Sio ajiuzuru, kwani akijiuzuru ataendelea ku operate behind the scene na kula bata (km Lowasa), afilisiwe na atupwe ndani pamoja na vibaraka wake.
 
Nakumbuka ripoti ya Mwakyembe ilitaja watu wengi sana kwa majina yao. Wengi bado wapo makazini na nyadhifa zao zilezile. Lowassa yupo. Ni WM mstaafu! Rostam ni MBUNGE kwa ridhaa ya WanaIGUNGA. Ninyi mnataka ajiuzulu. Hana sahihi yake popote kwenye sakata lile la Richmond na baadaye DOWANS! Anatajwatajwa tu kwa hisia na vionjo mbalimbali. Simtetei.
Umesahau kuandika kwamba ingawa hana sahihi ni yeye anayekwenda kuzichukua cheques kule hazina. Sasa sijui kama hazina wanajua kuwa wanampa a wrong person ambaye hana sahihi popote katika dowans?
Isitoshe huyu bwana hana sahihi kwenye kampuni yoyote anayomiliki teh teh teh teh teh na bado anajiita mfanyabiashara mjasiliamali na mwizimali.
 
Kumtoa Rostam sisiem ni kuitoa roho sisiem,kwani sisiem inaundwa na mafisadi wakubwa ambao hata wafanye makosa gani hawawezi kuondolewa sisiem hata ikibidi vifungu vya sheria vibadilishwe kwa ajili yao,Katika nchi inayo ongozwa na sheria na kama chama kiko makini watu wa type ya Rostam hawakupaswa kugombea ubunge wakapita,na kwa mtazamo wangu ni wengi ambao akitoka Rostam,they wil go down with him,tena hawa ni wale waliopo kwenye CC ya sisiem, so Rostam s' FATE means their FATE too !
 
[FONT=Times New Roman, serif]It is time for Mr. Rostam Aziz to resign. It is time for him to call quit all his political posts within the ruling party including resigning as the current MP for Igunga. I for one have had enough of it. His name and his level of arrogance has become an absolute enigma in the country. I’m quite sure he is a very nice person, probably very loyal to his friends and I will not dispute the fact that he has become one of the very influential people in Tanzanian politics. [/FONT]


[FONT=Times New Roman, serif]For me however, his involvement in the whole Dowans saga from the very beginning up to now has led me to believe without any shadow of doubt that here we are dealing with one of the most well planned, organized and corruptly executed deal ever. It pales in comparison to any other corrupt deal before.The machinery and the individuals involved to make this deal possible make me wonder if we are not in fact dealing with a mafia like crime ring or something similarly audacious and sophisticated. I know for a fact that It could not have succeeded as it has without the help, the means, and the powers of Rostam Aziz. [/FONT]


[FONT=Times New Roman, serif]Last week’s revelation in The East African coupled with what we have discovered over the past few years as the Dowans/Richmond fiasco unfolded has made me to propose that one way of dealing with the impunity of political corruption within the ruling part which has now permeated the very ranks of our government higher structures is for Mr. Rostam to resign or be dismissed from the party.[/FONT]


[FONT=Times New Roman, serif]I know, he is not the sole source of corruption scandals in the country; nor is he the only person who need to be held accountable for a corrupt system we have created and sustained for almost 30 years now. Yes I know his resignation will not be a panacea of our corruption, incompetence and weak leadership that we have. I know all that.[/FONT]


[FONT=Times New Roman, serif]But given the way he has handled the Dowans issue as a member of Tanzanian Parliament, an individual who was sworn to uphold, defend and protect our Constitution is indeed troubling and in fact I will argue offensive. [/FONT]


[FONT=Times New Roman, serif]I’m so tempted to outline how Rostam participated from the formation of an offshore company in Costa Rica up to the recent ICC case; or try to pen down the names of the other people in this syndicate that brought us Dowans some of which are very prominent officials. All that will just confirm that which few people know to be the case that behind Dowans, there is Rostam and indeed behind Rostam there is a group of very corrupt public officials and businessmen (some foreign). But I won’t go there for now, what I’m saying is that he should be the first to go while others follow behind. His time is up. [/FONT]


[FONT=Times New Roman, serif]I wish I didn't have to say this but I have to; Do us a favor Mr. Rostam, resign honorably (if honor has any meaning at all). Please take responsibility for the role you played in this whole mess and have the moral courage to offer this nation your apology for this encampment in the valley of a corrupt deal. But, before you leave would you please tell the nation that has given you so much whose interests do you stand for. [/FONT]


[FONT=Times New Roman, serif]If you wouldn’t go, I hope CCM’s Youth Wing will have the courage to call for his resignation or removal from the party and eventually under articles of CCM’s own Constitution NEC will take action against him for the scandal Rostam has brought to the party. [/FONT]


"Ukitaka kuua mti usikate tawi chimbua mizizi yake"
Mbunge mmoja machachari wa CCM aliwahi kuniambia naquote 'Nchi hii inaendeshwa na inafilisiwa na wahindi watatu 1. Rostam, 2.Manji na 3. Jetu Patel" Hii ilikuwa miaka mitano iliyopita. Kuna mizizi ambayo inampa uhai huyu jamaa ambayo ni CCM
 
tutumie akili japo kidogo......kama wewe ndio baba wa familia...wakati wa matatizo hasa ya kifedha unategemea mmoja wa marafiki wa karibu kukusaidia ..halafu huyo rafiki yako ana misbehave mara kwa mara tena kwenye mambo yanayohusu famila yako.....je utakuwa na jeuri ya kufunua domo lako kweli??? Ili ufe njaa??? Huyu ra ni mfadhili wa chama...ndiye roho ya ccm.....ishu yeyote nzito ya hela ikitokea yeye ndiye huitwa kukinusuru chama!!! Unategemea nini hapo???hizo hela atazirudishaje????? No way
 
Rostam is not going anywhere, he will take JK and CCM all together down with him!!
 
Kutoka The East African

Who really owns Dowans?

dowanpix.jpg

The directors granted power of attorney in favour of Mr Aziz
By Joint Report (email the author)
Your Email Message Send Cancel

Posted Monday, January 31 2011 at 00:00

Powerful businessman and ruling party MP for Igunga in Tabora, Rostam Aziz, is to be a beneficiary in the Dowans Tanzania award.
According to the proceedings from the International Court of Arbitration of the International Chamber of Commerce also known as the International Commercial Court (ICC), which recently awarded Dowans Holdings S.A. and Dowans Tanzania $65 million as compensation for breach of contract by the Tanzania Electric Supply Company (Tanesco), Mr Aziz was appointed Dowans' attorney-in-fact as far back as 2005 "to manage the company's affairs outside the Republic of Costa Rica."
According to the resolutions of the Dowans Holdings board of directors, two directors of the company, Bernal Zamora Arce and Noemy del Carmen Cespedes Palma, granted in the name and on behalf of the company, a power of attorney in favour of Mr Aziz.
Powers granted to Mr Aziz include: "To transact, manage, carry on and do all and every business matters and things requisite and necessary or in any manner connected with or having reference to the business and affairs of the company and, for such purposes, to conduct all correspondences appertaining to such businesses and affairs."
The directors further granted Mr Aziz the power "to open and to close bank accounts... and to draw cheques on our accounts... and to sign all kinds of documents in connection with our accounts or money," read part of the resolutions signed by the firm's secretary, Mrs Palma.
It goes further to give Mr Aziz, the immediate former CCM treasurer and shareholder in the short lived RVR Rail Consortium that brought together Kenya and Uganda railways, the power to "pay, settle, deduct and allow all taxes, rates, charges, deductions, expenses and all other payments and outgoings whatsoever due and payable or to become due and payable for or on account of any property, whether movable or immovable and whether in possession or in action, now or hereafter belonging to us or to which we may become entitled."
Mr Aziz has consistently denied having any links to the Richmond company that was involved in the scandal that saw former prime minister Edward Lowassa resign his post (see Box). Dowans is the successor company to Richmond.
According to documents tabled in the arbitration proceedings, which The EastAfrican has seen, one Mr Gire, a cofounder of Richmond (REDVCO) who faces a court case in Tanzania over the same issue, is said to have told the ICC that the owner of the company is Mr Aziz.
The ICC was told Mr Aziz was such a "powerful and influential" individual that some laws were amended in his favour. The Richmond scandal was the subject of a Parliamentary probe that led to the resignation of the Mr Lowassa.
According to the report of the proceedings, the ICC accepted the finding that Mr Aziz was so "powerful and influential" as to have diverted the contract to the claimant, Dowans, outside the Public Procurement Act.
The contract went to favour "his friends and himself through the claimant and to have influenced the MEM (Ministry of Energy and Minerals) to force Tanesco's Mr Hans Lottering to sign the POA (agreement for emergence power supply)."
Mr Lottering testified before the ICC that he was told that "something would happen" to him if he did not sign the POA. He was formerly Tanesco's general manager-transmission under Net Group Solutions of South Africa.
The evidence presented before the Tribunal shows the involvement of Mr Aziz in getting the whole procurement out of the PPA and diverting the lucrative contract to a "business of him and his business friend" derived from the testimony of Henry Surtee.
The Tribunal accepted the testimony of Mr Lottering that, "even using the international tendering (open tender method) which is the most inefficient and the longest method, if not interfered with, Tanesco would have procured the POA more efficiently and within a much shorter period than the period of 18 months that the Ministry of Energy and Minerals took to procure POA through the committee formed outside the law."
Last week, Minister for Energy and Minerals William Ngeleja named the owners of Dowans Tanzania as Dowans Holdings S.A and Portek Systems and Equipment PTE Ltd.
He named the directors of Dowans Tanzania as Tice (Canadian), Gopalakrishnan Balachandran (Indian) and Hon Sung Woo (Singapore). Others are Guy Arthur Picard (Canadian), Suleiman Mohammed Yahya Al Adawi (Oman) and Stanley Munai from Kenya.
Under the country's Company Ordinance Act, there is no restriction on owners' citizenship or country of origin of a company.
A firm can be registered in Tanzania even if its owners are 100 per cent foreigners.
"The nature of owners is not a concern when opening a company in the country; it could be owned 100 per cent by foreign individual(s) or corporate firm(s)," Business Registration and Licensing Agency chief executive officer Esteriano Mahingila said.
The CEO also confirmed that the Dowans files contained the same list of directors as mentioned by the minister of energy and minerals.
"These files are public documents, whoever wants to peruse or even photographing them are allowed," Mr Mahingila told The East African, "the file is here."
The government was yet to decide whether to pay the $65.8milion (about Tshs 94 billion) to the owners of Dowans Holdings SA and Dowans Tanzania.
It is noted in the award ruling presented for registration at the high court that the practice regarding arbitrations is that an award has to be registered with the High Court for it to be a decree as if one issued by the High Court.
However, if a party isn't satisfied with an award, "there are two routes available either to apply to the Tanzanian court to remit the award to the arbitrators for reconsideration of certain issues or to apply to the high court to set aside the Award.
"To apply to set aside an award, it must be that the Award was improperly obtained or that the arbitrators misconducted themselves," reads part of the ruling by the ICC.
 
mkuu tatizo siyo RA, tatizo ni sheria za nchi hii ambazo ni kama mdomo wa mamba. wajanja walitangulia kutupiga bao kutengeneza sheria zinazowalinda waliopo kwenye mfumo. huyo jamaa ni matokeo tu.
 
Ooh,mazee kumbe umekopy na kupaste from newspaper.
you know there different between KNOWING WHAT YOU ARE TALKING AND JUST TALKING.
I mean lyke parrot..realy ticks me off ..is this east africa newspaper our knew costitution now in which we must follow?
Make do with some CONCRETE EVIDENCE guys instead of yapping,whinning lyke a bloody parrot.
Every accused person is innocent until proved otherwise and it is not for the accused to prove his/her inoccense but it is up to the accuser to prove without leaving any doubt


What are you talking about here doesn't make any sense to me next time read carefully before posting schizophrenic replies here

Kweli bwana, huyu lazima atakuwa mtoto wa Makamba! kubwayabwaya tu! Sasa Elungata c miti shamba ya huko kwa makamba
 
Very well said.

Nafikiri ni kipindi cha Watanzania kuwapa CCM chaguo. Either wanampresha Rostam Kujiuzulu au wako upande wa Rostam. Muda wakuwa vuguvugu umekwisha. Napendekeza hili: Wananchi kokote mliko (waliona access na internet tusaidiane kupeleka ujumbe kwa wasiokua nao) put pressure kwa mbunge wako (sitaki kusema tuzungumze na wabunge wetu maana tunawatuma na sio hiari yao) watusaidie zoezi hili. Nafikiri hii itafanya kazi zaidi kwa walio wabunge wa CCM sababu ROstam ni CCM hivyo kwenye vikao vyao they need to act and now! Rostam avuliwe uongozi wote kwenye chama as well as Ubunge.

Tunataka tujue wazi ni mwana CCM yupi yuko na wananchi, na yupi yuko na genge la mafisadi (Rostam et al.) Tumechoka na matamko, wengi wanajificha kwenye vivuli vya matamko, tunataka action now. Hii kazi itakuwa raisi sana kama mbunge wako ni from chama cha upinzani lakini na yeye akilegea tunamtupa kwenye genge la mafisadi. Tuwape muda maalum watuletee walipofikia, the success na failures. Then we can re-strategies from there tuangalie kama kuna ulazima wakuandamana kama Tunisia. I am not sure kama tumesha exhaust all our options.

Kila kitu lazima kiwe na malengo, implementation, strategy, evaluation etc. Hii kazi ya kumng'oa Rostam ni kazi ya nyongeza kwa wabunge tunayowapa na sisi tuko nyuma yao. Kazi ya kudai katiba, shughuli za maendeleo etc ziko palepale. Ni lazima tufanye kazi kwa speed ya ajabu (multi-tasking is important). Let us put something into action now. Tumeshaongea tumechoka. Tuanze na Rostam sasa, lets put pressure kwa CCM kwakuwatumia hao hao CCM wakisaidiwa na wabunge wa upinzani.

Tufanye kazi kama watanzania wenye uchungu na nchi na tuweke tofauti zetu pembeni, tukishikamana tunaweza. Kwa mtindo huu tutachambua mpunga na mchele. Haya ni mawazo yangu what about yours?
 
Back
Top Bottom