TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,873
- 11,249
yeah mkuu... life is just a game, no theories, no rules no regulationMkuu acha tu, tunafanywa mpira wa Rugby
just a silly game
yeah mkuu... life is just a game, no theories, no rules no regulationMkuu acha tu, tunafanywa mpira wa Rugby
Thats why I believe it will be good if Rostam himself decide to quit.
Hiyo hapo chini mkuu click hapo usomethanx ......nina kiu kubwa ya kuiona na kuisoma
Mzee Mwanakijiji, thanks for wishful thinking kumuomba jamaa to quit. Pia nemekusoma leo kwenye Tanzania Daima. Majibu yote kuhusu RA yako kwenye majibu ya swali No.8.Thats why I believe it will be good if Rostam himself decide to quit.
You must be out of this world!!!sasa wata resign wangapi?
secondly mbona kuna kashfa kubwa nyingi kuliko hii na hakuna aliyeshurutishwa kujiuzulu?
Mzee Mwanakijiji, thanks for wishful thinking kumuomba jamaa to quit. Pia nemekusoma leo kwenye Tanzania Daima. Majibu yote kuhusu RA yako kwenye majibu ya swali No.8.
Naamini kwa kupitia hilo swali lako number 8 tayari umesha connect the dots.
How can you ask the King Maker to Quit while the made king is mum?!.
Better ask the King to ask the king maker to quit because we don't need man-made kings anymore in future, that his role is over!.
Rostam anasaini mkataba upi kwa niaba ya SERIKALI? Rostam ana saini hundi gani pale hazina? Rostam anaandaa vocha ipi ya malipo kwa niaba ya serikali? Kwa nini ufisadi unaibuliwa zaidi ya mwaka baada ya kuwa umefanyika? Ofisi ya CAG huwa haiyaoni haya? Edward Hosea na TAKUKURU yake ni waajiriwa wa Rostam?
Tatizo haliko kwa Rostam peke yake. Endeleeni kuelekeza mashambulizi kwa Rostam huku NCHI inatafunwa nje ndani na sisi wenyewe. Mliiona ile bilioni tano "aliookoa" Magufuli juzi?
I concur. 100%.Thats why I believe it will be good if Rostam himself decide to quit.
Kwa mtazamo wako, tuanze na nani au akina nani? Lazima tuwe na pakuanzia. Usiplay kutojua kama viongozi wako wa chama.Binafsi I am against kumtafuta scapegoat mmoja wakati hapa watu zaidi ya 20 wa ngazi za juuu walishiriki na kutoa uamuzi wa hili jambo lakini hakuna anayesema wafutwe au wajiuzulu au wafukuzwe kazi au wafikishwe mahakamani
Unless you guys are proponents of the laws of the jungle.
I still dont buy kuwa the fall guy kwenye hili ni rostam..NO WAY!
Kwa mtazamo wako, tuanze na nani au akina nani? Lazima tuwe na pakuanzia. Usiplay kutojua kama viongozi wako wa chama.
Wewe bwana unachekesha mweli kweli kweli.....unataka documents kutoka jf?, unataka tuanza na member wa tender board wakati tunajua kulikuwa na shinikizo la EL kama waziri mkuu...hizi discussion za processes tulishazijadili hapa sana.Nimesahau kuweka PRE-QUALIFICATION process