mikatabafeki
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 12,771
- 4,656
kwa kuwa imewezekana kutumia wacha watumie tu....................huh
Kwa sababu kila mmoja anataka kushinda jimbo la Igunga
Rais wa awami iliyopita wa Marekani George Bush baada ya Obama kumwua gaidi Osama bin Laden alimwomba aende kushiriki mkutano kule NY GROUND ZERO, lakini kwa busara zake na kutokana na kuchafuka sana alikataa kutoshiriki, na kusema ameamua kupumzika kwa kutojitokeza hadharani.
Huyu Mkapa matatizo mengi tunayoona sasa hivi yameanzia au kusababishwa naye nayeye kuchafuka kwa mengi tu na hata juzi tu kalipuliwa Bungeni kujimilisha ardhi huko Morogoro?
La kuvunda halina ubani maana CCM hawana msafi sasa ni kuwasimamisha wenye kashfa nzito kugombea ubunge kama Dr. Kafumu.
Hamna lolote hilo gamba tu .go CDMNadhani atakuwa ni msaada mkubwa sana kwa CCM. Huyu mzee huwa haogopi mtu yeyote, nakumbuka alivyodiriki kuwaita Chadema KOKOTO pale Jangwani. Chadema walilalamika sana lakini jamaa hata hakuogopa.
Nami nilikuwa na mtazamo huo. sidhani ni sahihi kumtumia Mkapa kwa uchaguzi mdogo wa Igunga. He should have remained angalau ingekuwa ni kuzindua kampeni za mgombea urais sawa. Let us wait and see kama kweli ataenda but sidhani!