Rejao
JF-Expert Member
- May 4, 2010
- 9,219
- 4,085
Mwalimu ndiye anaiweza siasa??Dr kafumu hawezi siasa.wapinzani wakishindwa hapa basi tena.ila ndo demokrasia
Pole..Jimbo ni la CCM hilo mama!
Mwalimu ndiye anaiweza siasa??Dr kafumu hawezi siasa.wapinzani wakishindwa hapa basi tena.ila ndo demokrasia
kwa taarifa zilizopatikana hivi punde mkapa haendi igunga'kazi ipo
Masikini Mzee MKapa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Kwa nini ameamu kuingia kwenye huu mtifuano kati ya wananchi na genge la mafisadi sugu nchini?????????? Hivi atatoka salama kweli huko bila ya Wana-Igunga kumtifulia mbovu kweli?????????
Duuhhhhhhhhhhh, hebu subiri kwanza ya zamani yaliyolala yatakavyoamshwa upyaaaaaaaaa tena hapa.Mimi nisingemshauri akaingie kuogelea haya maji mtifuano ya sasa, mara mia angejipumzikia tu mzee wa watu!!!!!!!!!
<br />Mwalimu ndiye anaiweza siasa??<br />
Pole..Jimbo ni la CCM hilo mama!
kwa nini hamkumteua mzee Mwinyi?Mwalimu ndiye anaiweza siasa??
Pole..Jimbo ni la CCM hilo mama!
Wakati RA anawatangazia wanaigunga juu ya yeye kujivua gamba wanaigunga walikuwa na mabango wakilalamika kwa kutumia mabango kuwa wanataka balabala na wengine hospitali, shule na huduma nyingine za jamiiMnafik ni wewe, RA anapendwa Igunga kuliko kiumbe yoyote. Kafanya makubwa huko kuliko mbunge yeyote wa Tanzania.
Kwa kipindi cha nyuma ni kweli, wana igunga walimuamini wakampa jimbo ila RA huyo huyo aliwageuka na kusema licha ya kunipa uongozi mi staki naachia ngazi, Wanaigunga walilia, wakamuinamia kama mfalme na kumuomba abadilishe uamuzi wake bado hakuwa tayari hapo utaona ni kwa jinsi huyo bwana hana huruma leo hii RA akasemame mbele ya wanaigunga na kusema eti fulani anawafaaRostam Aziz! huyu jamaa bado ana ushawishi mkubwa Igunga, kwa jinsi nilivyoona siku ile watu wazima wakimwaga machozi!
teh teh teh tehCCM walisema kuwa wanajivua gamba (la kifisadi) ili waweze kukubalika kuendelea kuongoza! .... hapa walikuwa na maana ya kupata nafasi ya kuongoza . Lakini kama mafisadi wa Igunga akiwemo Rostam wanaweza kuwasaidia ili waendelee kuongoza jimbo hilo, CCM hawana taabu na Mafisadi wala hawana sababu ya kuvua hayo magamba.
umeona ehheeeeeeeeeee!!!
CCM kwa unafiki na uongo ni chanda na pete!
Halafu wanataka Gamba walilolivua wenyewe, RA, ndio likajumuike na Mkapa kufungua kampeni! Kweli sikio la kufa halisikii dawa!
Mtifuano wa samaki kambale(wa maji baridi) kwenye maji ya matope hata samaki nyangumi (wa maji chumvi) haifui dafu!!!!!!!!
Huu mtifuano kati ya wananchi na mafisadi pale Igunga na kwingineko kote nchini, ni busara Mzee Mkapa na Dokta Shein (mtaarabu wa siasa za Ki-Tanzania kwa uhalisia wake) wakakae pembeni.
<br />Mwalimu ndiye anaiweza siasa??<br />
Pole..Jimbo ni la CCM hilo mama!
aende asiende, makombola yake yako pale labda dozi itapungua tu..kwa taarifa zilizopatikana hivi punde mkapa haendi igunga'kazi ipo
<br />Mkapa ni afadhali kuliko Jk. Mkapa aliendesha nchi kwa umakini mkubwa pamoja na baadhi ya kasoro zilizojitokeza. JK anaendesha nchi kisanii, hakubaliwi popote tz kwa hapa alipofikisha nchi. Kwanza ahadi za mwaka jana bado zinakumbukwa hata kugusa moja walau kuonesha kuwa zitatekelezwa hakuna. Atawaambia nini wana Igunga?