Rostam Azizi atuambie huu Mkataba ulihusu nini?

Rostam Azizi atuambie huu Mkataba ulihusu nini?

The Burning Spear

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2011
Posts
9,111
Reaction score
21,982
GT
Hakuna asiyemjua Rostam.kwamba ni moja ya genge la wanaonufaika na serikali dhaifu.

Rostam alikuwa timu Lowasa amabalo ni kati ya magenge ya wahuni hapa nchini yanayoteketeza mali za umma.

Walienda na Samia.US kusaini huu.maktaba je ulihusu nini? Anaweza kuja hadharani na kutuambia.
20250804_191135.jpg
20250804_191221.jpg
 
GT
Hakuna asiyemjua Rostam.kwamba ni moja ya genge la wahalifu hapa nchi wanaonufaika na serikali dhaifu.

Rostam alikuwa timu lowasa amabalo ni kati ya magenge ya wahuni hapa nchini yanayoteketeza mali za umma.

Walienda na Saa100.US kusaini huu.maktaba je ulihusu nini? Anaweza kuja hadharani na kutuambia.
View attachment 3431194View attachment 3431195
Na alisaini kama nani kwenye nchi hii?
 
GT
Hakuna asiyemjua Rostam.kwamba ni moja ya genge la wanaonufaika na serikali dhaifu.

Rostam alikuwa timu Lowasa amabalo ni kati ya magenge ya wahuni hapa nchini yanayoteketeza mali za umma.

Walienda na Samia.US kusaini huu.maktaba je ulihusu nini? Anaweza kuja hadharani na kutuambia.
View attachment 3431194View attachment 3431195
Jana mtandao umetajwa akashindwa kabisa kulala bila kusema😂
 
Yeye aliktupiga na mdogo wake akashikwa manyara Leo linaongea kamavile jitu jema kwanchi yetu nakuna matz yanamsifu
 
Serikali iwape wa TZ haki ya kumiliki uchumi wao.
Munamhalaumu rostam Aziz Bure TU 😂.

Yy anatumika TU kama Middleman ,
Ngano ,mafuta ya kupikia ,gas, nishati, 👈👈hivi vyote vinamilikiwa na wakimbizi,

Wa TZ wameachiwa kwenye ajira portal na mikeka ya utezi ya usiku wa manane.
 
GT
Hakuna asiyemjua Rostam.kwamba ni moja ya genge la wanaonufaika na serikali dhaifu.

Rostam alikuwa timu Lowasa amabalo ni kati ya magenge ya wahuni hapa nchini yanayoteketeza mali za umma.

Walienda na Samia.US kusaini huu.maktaba je ulihusu nini? Anaweza kuja hadharani na kutuambia.
View attachment 3431194View attachment 3431195
Kwenye hiyo picha Kuna mtu anatoa macho tu sijui kama hata anaelewa kinachosainiwa hapo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom