GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,551
- 108,888
"Kuanzia Mwezi wa Tano nategemea Kutangaza Kuuzwa kwa Gesi zote nchini Kenya kwa Tsh 500/ ya Kenya ( kama Tsh 9,500/ hadi Tsh 10,000/ tu za Tanzania ) kwani tayari Rafiki yetu kutoka Tanzania Rostam ameshakuja Kuwekeza hapa Kwetu hivyo nataka Wakenya wafurahie Maisha na wapate Gesi kwa gharama ndogo" amesema Rais William Ruto wa Kenya Juzi.
Chanzo Taarifa: Nipashe Radio One
Tunajitahidi mno Kumsahau Jemedari na Mtetezi wa Watanzania Hayati Rais Dkt. Magufuli ila tunashindwa kutokana na Kutuumiza hivi Watanzania wakati huko nje mnawafanyie Wema na Kuwaonea Huruma.
Laleni salama huko mliko Viongozi wangu Wapendwa na mlioifanyia Mema Tanzania yetu hii Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, Hayati Benjamin Mkapa na Hayati Dkt. John Pombe Magufuli.
GENTAMYCINE huwa siishii tu Kuwakumbukeni huku nikiionea Huruma Tanzania yangu na inakokwenda bali huwa Nalia mno nikiona Watanzania tunafanywa Wapumbavu ( Mapopoma ) na Watanzania wachache waliojipa Hatimiliki yote ya Mama Tanzania na Familia zao.
Endeleeni tu ila haya yote yana mwisho.
Chanzo Taarifa: Nipashe Radio One
Tunajitahidi mno Kumsahau Jemedari na Mtetezi wa Watanzania Hayati Rais Dkt. Magufuli ila tunashindwa kutokana na Kutuumiza hivi Watanzania wakati huko nje mnawafanyie Wema na Kuwaonea Huruma.
Laleni salama huko mliko Viongozi wangu Wapendwa na mlioifanyia Mema Tanzania yetu hii Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, Hayati Benjamin Mkapa na Hayati Dkt. John Pombe Magufuli.
GENTAMYCINE huwa siishii tu Kuwakumbukeni huku nikiionea Huruma Tanzania yangu na inakokwenda bali huwa Nalia mno nikiona Watanzania tunafanywa Wapumbavu ( Mapopoma ) na Watanzania wachache waliojipa Hatimiliki yote ya Mama Tanzania na Familia zao.
Endeleeni tu ila haya yote yana mwisho.