Rostam Aziz na Kikwete watoke watoe maelezo ya kueleweka juu ya kifo Cha Magufuli!

Rostam Aziz na Kikwete watoke watoe maelezo ya kueleweka juu ya kifo Cha Magufuli!

Hii sio bahati mbaya hata kidogo

Kwa tuhuma hizi za Polepole, Gwajima na uko nyuma chadema waliwai kudokeza juu ya kifo Cha Magufuli.

Ni wakati Sasa Rostam na Kikwete watoke front kukanusha tuhuma hizi wanazopewa.


Hii sio afya kwa usalama wa nchi

Hasira walizonazo wafuasi wa Magufuli mtatoboa uchaguzi wa mwaka huu?

Naomba wajitokeze hizi tuhuma ni kubwa Sana wajitokeze wajibu huu uhuni waliofanya!
Kwani wao ni wafanyakazi wa Mzena? Au wakuu wa vyombo ? Maana wakuu wavyombo ndio walio simamia matibabu ya Rais kwa maneno yao
 
Hapo wakutoka kutoa majibu ni TISS, POLISI, JWTZ, Mahakama, Yaani sisi tumsikilize Rostam na kikwete tena si tutakua Wajinga
 
Kubomoa system zao ilikua rahisi tu, Sema walimkuta Magufuli Muoga. angemtolea mfano mmoja wapo lazima wengine wangekimbia nchi, Kwa mfano angekua Nyerere au Butiku wange waweza?
Kuna wakati unachokiogopa ndicho kinachokukuta!
 
Watu hawatanielewa ila nlichojifunza hii ya kupeana URAIS kwa kupokezana mara dini hii au hii mda mwingne kama hamna mtu mwenye vigezo Bora yule atakayepatikana hata kama dhehebu au dini itajirudia apewe maana sio kwa ubaya ila kama Kuna watu wakishaingia mambo yanaharibika Yani THINGS FALL APART mbona Zanzibar hawafanyi hayo mabadiliko UKWELI NI MCHUNGU USEMWE
Cheki Wana mtandao woteee ubini mmoja,dhehebu Moja Ukanda mmoja wa Bahari Yani Daah Mungu tuhurumie Mungu uturehemu🙏🙏😄😄😄
Nyerere alitaka kuiondoa hiyo hali kwa kumshawishi Salim Ahmed Salim achukue fomu baada ya mwinyi, bahati mbaya hakushawishika. Hayo ni maneno ya jk.

Lakini je ni kweli upande wa pili yaani wakristo wangelipokea hilo kwa moyo kunjufu ukizingatia tulikuwa tumetoka kwenye utawala wa mwinyi ambaye ni muislamu?
Vipi ikitokea watu wakatengeneza hila kwamba upande mmoja tu ndiyo wanaonekana Wana sifa na upande mwingine hawana sifa? Lakini yote kwa yote katiba ya ccm haina utaratibu huo
 
Hii sio bahati mbaya hata kidogo

Kwa tuhuma hizi za Polepole, Gwajima na uko nyuma chadema waliwai kudokeza juu ya kifo Cha Magufuli.

Ni wakati Sasa Rostam na Kikwete watoke front kukanusha tuhuma hizi wanazopewa.


Hii sio afya kwa usalama wa nchi

Hasira walizonazo wafuasi wa Magufuli mtatoboa uchaguzi wa mwaka huu?

Naomba wajitokeze hizi tuhuma ni kubwa Sana wajitokeze wajibu huu uhuni waliofanya!
Hawana na hawajawahi kuwa na Aibu hao unawataja, wala hawaogopi chochote, kila kitu nchi hii wanakimiliki kuanzia vyombo vya Usalama hadi Waganga wa kienyeji
 
Hii sio bahati mbaya hata kidogo

Kwa tuhuma hizi za Polepole, Gwajima na uko nyuma chadema waliwai kudokeza juu ya kifo Cha Magufuli.

Ni wakati Sasa Rostam na Kikwete watoke front kukanusha tuhuma hizi wanazopewa.


Hii sio afya kwa usalama wa nchi

Hasira walizonazo wafuasi wa Magufuli mtatoboa uchaguzi wa mwaka huu?

Naomba wajitokeze hizi tuhuma ni kubwa Sana wajitokeze wajibu huu uhuni waliofanya!
Nitamuamini zaidi Polepole siku atakapo wataja waliohusika na kupigwa kwa Lissu risasi, lazima anawajua wote
 
Nyerere alitaka kuiondoa hiyo hali kwa kumshawishi Salim Ahmed Salim achukue fomu baada ya mwinyi, bahati mbaya hakushawishika. Hayo ni maneno ya jk.

Lakini je ni kweli upande wa pili yaani wakristo wangelipokea hilo kwa moyo kunjufu ukizingatia tulikuwa tumetoka kwenye utawala wa mwinyi ambaye ni muislamu?
Vipi ikitokea watu wakatengeneza hila kwamba upande mmoja tu ndiyo wanaonekana Wana sifa na upande mwingine hawana sifa? Lakini yote kwa yote katiba ya ccm haina utaratibu huo
Huo Ujinga wa kupokezana Wakristo na Waislam Umetungwa tu na Wahuni, haupo
 
Hapo wakutoka kutoa majibu ni TISS, POLISI, JWTZ, Mahakama, Yaani sisi tumsikilize Rostam na kikwete tena si tutakua Wajinga
Ni kweli kabisa, kama mpendwa wetu aliuawa basi vyombo vinavyohusika na ulinzi wake ndiyo vinatakiwa vitueleze vizuri walikuwa wapi wakati hii hali ikitokea.
Inawezekana hao watu wanaotajwa ni kuwaonea tu maana Kama unaushahidi uliotimia upeleke
 
Yani ukisikia pia KATOLIKI ni MAJASUSI utanielewa maana toka Bandari iuzwe kwa DP WORLD kanisa langu Katoliki walikua wa kwanza kupinga ubinafsishaji wa Bandari yetu na wakatoa Tamko chini ya Baraza la Maaskofu ila mnakumbuka walionekanaje?

Kwanza Kuna walioona kanisa linaingilia Siasa na Dini ila Ile ni kutu alert kuwa yanayoendelea Sasa hivi nchi inapigwa mtungo mbele na Nyuma (Mande).

Kuna waliokuja na Hoja za Chuki ya Udini kwamba sababu wamepewa Waarabu waislam basi Mapadre wamemind 😂😂😂 hawatapisha vitu vyao Sasa hivi nafikiri mnaona wenyewe Wana mtandao wanavyopasua mabomu ya Hiroshima Kwanza Katoliki Ina shida mpka ililie Bandari😂😂 😂kisa wangeshindwa kulipa ushuru wa Magari yao Land cruiser Mkonge 0Km ya Archdiocese labda wangekua wanaimport Nguruwe🐖🐖🐖kutoka Oman kuja Bongo

Ni jukumu la kiongozi yoyote wa Dini kukemea maovu yanayofanywa na watawala haijalishi hyo mtawala ni nani maana hata Yesu alikosolewa na kukemewa na Mafarisayo sembuse watawala wasikosolewe au wakinya wao choon havinuki kama vinanuka na watakufa ni binadamu lazima ni wajibu wa viongozi wa dini kukosoa Tatizo viongozi wengi wa dini Tanzania Njaa Kali ukichanganya na minyoo
Wanaoleta fikra za udini ni hawa ndugu zetu wazee wa Pilau mbuzi Pepsi barid na ndizi mbivu mfuko wa koti!!!
 
Kikwete ana akili timamu na ni tajiri.
Rostam pia ana akili timamu, pesa haikai kwa mpumbavu.
Hawawezi kuwajibu nyie matahira
 
Mzee huyu tulimheshimu kama mtu muhimu kumbe alishindwa kuvumilia akamtanguliza mwenzie.Yeya rafiki yake nq huyo dokta anayezunguka huko nje.Hii laana itawatafuna na mtailipia!
 
Mpina naye aliwahi kudokeza kuwa Magufuli aliuawa. Mpina mara kadhaa alisema wazi kuwa kuundwe timu ya kuchunguza kigo cha Magufuli.

Binafsi sikuwahi kuwa mfuasi wa utawala wa kibabe wa Magufuli, lakini kamwe siwezi kuunga mkono mauaji dhidi ya mtu yeyote. Kama tulipiga kelele na kulaani shambulio dhidi ya Lisu, utekaji wa Ben Sanane, na wengineo; basi pia hatuwezi kuunga mkono vitendo hivyo hivyo dhidi ya mwingine yeyote awaye.
👊👊
Mpina naye aliwahi kudokeza kuwa Magufuli aliuawa. Mpina mara kadhaa alisema wazi kuwa kuundwe timu ya kuchunguza kigo cha Magufuli.

Binafsi sikuwahi kuwa mfuasi wa utawala wa kibabe wa Magufuli, lakini kamwe siwezi kuunga mkono mauaji dhidi ya mtu yeyote. Kama tulipiga kelele na kulaani shambulio dhidi ya Lisu, utekaji wa Ben Sanane, na wengineo; basi pia hatuwezi kuunga mkono vitendo hivyo hivyo dhidi ya mwingine yeyote awaye.
👊👊
 
Kikwete has been mentioned several times in involvement of Magufuli's death, if these allegations are true may he knows no peace in the rest of his life, Magufuli's spirit will haunt him whenever he goes!!!
 
Kikwete ana akili timamu na ni tajiri.
Rostam pia ana akili timamu, pesa haikai kwa mpumbavu.
Hawawezi kuwajibu nyie matahira
Hata vikaragosi wa dikteta wa zamani wa Romania Nicolae Ceaușescu walikuwa wanasema hivi hivi hadi bosi wao alivyopigwa pini ya kufa mtu
 
Magufuli na yeye aluikua muoga sana kwaninu asinge wamaliza yeye,yeye ana jeshi kilicho sababisha kushindwa kujitetea nini
Ukijua hivi...wenzako wanajua vile
Game ya timing...
JIWE alijua Msoga Hana madhara...maana alitrack simu/ movement...hata Kwenda nje ya nchi ilikuwa mtihani...

Kumbe wenzao wanawasiliana kwa Codes na barua...ile stail ya kutuma dereva wa gari au unatumia bodaboda
 
Back
Top Bottom