Rostam Aziz na Kikwete watoke watoe maelezo ya kueleweka juu ya kifo Cha Magufuli!

Rostam Aziz na Kikwete watoke watoe maelezo ya kueleweka juu ya kifo Cha Magufuli!

Hii sio bahati mbaya hata kidogo

Kwa tuhuma hizi za Polepole, Gwajima na uko nyuma chadema waliwai kudokeza juu ya kifo Cha Magufuli.

Ni wakati Sasa Rostam na Kikwete watoke front kukanusha tuhuma hizi wanazopewa.


Hii sio afya kwa usalama wa nchi

Hasira walizonazo wafuasi wa Magufuli mtatoboa uchaguzi wa mwaka huu?

Naomba wajitokeze hizi tuhuma ni kubwa Sana wajitokeze wajibu huu uhuni waliofanya!
Mkuu nenda YouTube tafuta video ya mazishi ya magu halafu angalia speech ya chalinze kuna majibu mengi tu yapo mule
 
Mpina naye aliwahi kudokeza kuwa Magufuli aliuawa. Mpina mara kadhaa alisema wazi kuwa kuundwe timu ya kuchunguza kigo cha Magufuli.

Binafsi sikuwahi kuwa mfuasi wa utawala wa kibabe wa Magufuli, lakini kamwe siwezi kuunga mkono mauaji dhidi ya mtu yeyote. Kama tulipiga kelele na kulaani shambulio dhidi ya Lisu, utekaji wa Ben Sanane, na wengineo; basi pia hatuwezi kuunga mkono vitendo hivyo hivyo dhidi ya mwingine yeyote awaye.
Na huenda zile risasi alizopigwa Lisu ilikua hujuma kwa Magufuli, wanasiasa ni watu hatari sana!!
 
Hii sio bahati mbaya hata kidogo

Kwa tuhuma hizi za Polepole, Gwajima na uko nyuma chadema waliwai kudokeza juu ya kifo Cha Magufuli.

Ni wakati Sasa Rostam na Kikwete watoke front kukanusha tuhuma hizi wanazopewa.


Hii sio afya kwa usalama wa nchi

Hasira walizonazo wafuasi wa Magufuli mtatoboa uchaguzi wa mwaka huu?

Naomba wajitokeze hizi tuhuma ni kubwa Sana wajitokeze wajibu huu uhuni waliofanya!
Unataka wajibu tuhuma zipi?
 
Hii sio bahati mbaya hata kidogo

Kwa tuhuma hizi za Polepole, Gwajima na uko nyuma chadema waliwai kudokeza juu ya kifo Cha Magufuli.

Ni wakati Sasa Rostam na Kikwete watoke front kukanusha tuhuma hizi wanazopewa.


Hii sio afya kwa usalama wa nchi

Hasira walizonazo wafuasi wa Magufuli mtatoboa uchaguzi wa mwaka huu?

Naomba wajitokeze hizi tuhuma ni kubwa Sana wajitokeze wajibu huu uhuni waliofanya!
We ngedere kapunguze huo ufukara wako na wa ukoo wenu, maskini km wewe unawaagiza au unataka nani awaamuru. Umaskini ni mbaya sana mbaya akili ina umaskini na imedumaa.
 
Hii sio bahati mbaya hata kidogo

Kwa tuhuma hizi za Polepole, Gwajima na uko nyuma chadema waliwai kudokeza juu ya kifo Cha Magufuli.

Ni wakati Sasa Rostam na Kikwete watoke front kukanusha tuhuma hizi wanazopewa.


Hii sio afya kwa usalama wa nchi

Hasira walizonazo wafuasi wa Magufuli mtatoboa uchaguzi wa mwaka huu?

Naomba wajitokeze hizi tuhuma ni kubwa Sana wajitokeze wajibu huu uhuni waliofanya!
Mlitaka Magufuli Aishi milele?
 
Hujamsikia polepole hao jamaa wana watu kila mahali!
Kubomoa system zao ilikua rahisi tu, Sema walimkuta Magufuli Muoga. angemtolea mfano mmoja wapo lazima wengine wangekimbia nchi, Kwa mfano angekua Nyerere au Butiku wange waweza?
 
Hii sio bahati mbaya hata kidogo

Kwa tuhuma hizi za Polepole, Gwajima na uko nyuma chadema waliwai kudokeza juu ya kifo Cha Magufuli.

Ni wakati Sasa Rostam na Kikwete watoke front kukanusha tuhuma hizi wanazopewa.


Hii sio afya kwa usalama wa nchi

Hasira walizonazo wafuasi wa Magufuli mtatoboa uchaguzi wa mwaka huu?

Naomba wajitokeze hizi tuhuma ni kubwa Sana wajitokeze wajibu huu uhuni waliofanya!
Muosha huoshwa!
 
Hii sio bahati mbaya hata kidogo

Kwa tuhuma hizi za Polepole, Gwajima na uko nyuma chadema waliwai kudokeza juu ya kifo Cha Magufuli.

Ni wakati Sasa Rostam na Kikwete watoke front kukanusha tuhuma hizi wanazopewa.


Hii sio afya kwa usalama wa nchi

Hasira walizonazo wafuasi wa Magufuli mtatoboa uchaguzi wa mwaka huu?

Naomba wajitokeze hizi tuhuma ni kubwa Sana wajitokeze wajibu huu uhuni waliofanya!
Kila mmoja atoe hisia na dukuduku lake ili baadaye tunywe mbege tukiwa hatuna husda.
 
Zaidi ya Court of Public Opinion hivi kweli kuna mtu mwenye akili zake timamu anadhani itakuja kujulikana kwamba fulani ndio alihusika 100% kwa kifo cha kiongozi fulani zaidi ya speculations ?

Kuna sababu mpaka leo kuna conspiracies za nani alimuua Kennedy; Gandhi n.k. (tena wote hao ilikuwa ni direct shooting) let alone kifo cha huyu ambacho unaweza kusema ni natural causes na doctor kwa wakati huo ali verify as such...

Ushauri wangu ni mengi ya kuwashika majambazi wa sasa na waliopita kwa concrete evidences na facts (wanatuibia na matatizo yake tunaendelea kuyapata now) kuliko kuleta vitu ambavyo can never be proven (he say / she say)
 
Maelezo gani? Wao ndio walikuwa na Majeshi na Dola? 🤣🤣
POLE POLE KASEMA CUBA MTUNGI WA GESI WA KILO 20 UNANUNULIWA 2000/= ZA TANZANIA.

Huku sisi mtungi wa 15kg
ROSTAM ANATUUZIA 58,000 MPAKA 60,000 HUU NI WIZII MKUBWA SANAAAAAA IN POLE POLE VOICE..

NB. POLE POLE AMEWAI KUWA MBUNGE, MWENEZII WA CHAMA CHA MAPINDUZI NA BALOZI WA CUBA...

KWAIO NYINYI MNATUONA SISI NI MANYANI KWAIO TUMPUUZE POLEPOLE EEEEEEEE

SALAMALEKO.
 
Hujamsikia polepole hao jamaa wana watu kila mahali!
Ndiyo walitakiwa wamalizwe na siyo kudili na vyama vya Upinzani, Kosa kubwa alilifanya Magufuli ni kuacha kupapamba na hatari na akaanza kupambana na watu ambao siyo hatari kwake, Yani alitakiwa siku alipo jua wale Viongozi wastaaf wana msengenya ndipo siku ile angemalizana nao siku ile ile tena kimya kimya tena wananchi wangeokota miili yao bila kuwa na shingo barabarabi, sasa yeye aliwaacha mwisho akaondoka yeye.
 
Kubomoa system zao ilikua rahisi tu, Sema walimkuta Magufuli Muoga. angemtolea mfano mmoja wapo lazima wengine wangekimbia nchi, Kwa mfano angekua Nyerere au Butiku wange waweza?
Magu alizingua sana alipotaka amani mahali palipo na vita.

Magu siku baada tu ya kumalizwa kuapishwa, alipaswa hapo hapo alipaswa ammkamate mtu mmoja na kumuweka ndani kwa amri tu ya rais, kisha abadili sheria bungeni iwe wastaafu washtakiwe kisha angempeleka mtu huyo mahakamani (akitokea sero sio nyumbani kwake)

Kisha unatoa maelekezo mvua 30, unamtelekeza jela kwisha habari yake
 
Hapo ni ku-mute tu, wanajua watz sisi ni kuzogoaaa baada ya hapa tutakaa kimya, kwahiyo nao wakae kimya tu litapita.
 
Ningekuwa mwanafamilia, marehemu angezikwa na dawa!

Ile dawa huwa haicheleweshagi! Wiki moja tu majibu huonekana! Wanafamilia hapa ndipo walipojisahau! Ingali hawajachelewa bado!
 
Back
Top Bottom