Rostam Aziz: Mimi bado sijaanza kuzalisha makaa yangu ya mawe, Ngaka kuna migodi 16

Rostam Aziz: Mimi bado sijaanza kuzalisha makaa yangu ya mawe, Ngaka kuna migodi 16

Common Folk

JF-Expert Member
Joined
Nov 8, 2023
Posts
878
Reaction score
3,920



PS: Huyu mwamba anaposema "Mimi sijaanza kuzalisha makaa yangu ya mawe" ni dharau kubwa kwa nchi, anaongelea rasilimali ya nchi as if ni mali yake binafsi, wakati yeye ni muwekezaji tu.

Na watu wanachohoji siyo nani amewekeza, bali wanahoji yeye kama muwekezaji kununua rasilimali yenye thamani ya matrilioni kwa bilioni 5 tu.

Tunamshukuri kwa kutusanua jumla ya migodi iliyopo pale, lakini hoja ya msingi bado hajaijibu.
 
Niimeisikiliza ile Interview mwanzo mwisho na niseme nimependa alivyo jieleza, kasema mambo mengi mazuri hata kama imekuwa edited. Kongore kwake mzee wa Igunga...

Kama Rostam Aziz yumo humu, ningependa sana kusikia neno mkakatoi wake kama Mtanzania kuisaidia nchi iingie uchumi wa daraja la kwanza ndani ya miaka 10.

Sio kila siku yeye ni mzee wa fursa tu hadi huko Australia, London , Marekani etc. Sasa awape serikali mikakati yake ya kuwaidia kuwajaza mapesa , sio kila siku tunakopa tu na yeye anaona fursa tupu humu nchini... ni hayo tu.
 
Kwahiyo Mimi mtu akiniuzia kiwanja kilichopo mbweni kwa laki nne nyinyi mnaumia?
Rostam hajauziwa mgodi na serikali kauziwa na mtu binafsi kinachowauma ni kipi?

Hivi kwanini maskini huwa tuna chuki kubwa na waliofanikiwa badala ya sisi kupambana na kutengeneza mifumo tuwe kama wao
 
View attachment 3466460


PS: Huyu mwamba anaposema "Mimi sijaanza kuzalisha makaa yangu ya mawe" ni dharau kubwa kwa nchi, anaongelea rasilimali ya nchi as if ni mali yake binafsi, wakati yeye ni muwekezaji tu.

Na watu wanachohoji siyo nani amewekeza, bali wanahoji yeye kama muwekezaji kununua rasilimali yenye thamani ya matrilioni kwa bilioni 5 tu.

Tunamshukuri kwa kutusanua jumla ya migodi iliyopo pale, lakini hoja ya msingi bado hajaijibu.
Hoji mchakato ulio mfanya anunue hizo hisa, huo mchakato Rostom hawajibike kabisa acheni jama afanye capital accumulation nyie 50% ya mda wenu mko simba Yanga kuwekeza hamtaki ni majungu tu hamna jamii ya watu wa hovyio kama wa Tanzania weusi.
 
Kwahiyo Mimi mtu akiniuzia kiwanja kilichopo mbweni kwa laki nne nyinyi mnaumia?
Rostam hajauziwa mgodi na serikali kauziwa na mtu binafsi kinachowauma ni kipi?

Hivi kwanini maskini huwa tuna chuki kubwa na waliofanikiwa badala ya sisi kupambana na kutengeneza mifumo tuwe kama wao

sisi ni masikini kwa sababu wao ni matajiri, hiyo ndiyo sababu, plus hes evil ...
 
Kwahiyo Mimi mtu akiniuzia kiwanja kilichopo mbweni kwa laki nne nyinyi mnaumia?
Rostam hajauziwa mgodi na serikali kauziwa na mtu binafsi kinachowauma ni kipi?

Hivi kwanini maskini huwa tuna chuki kubwa na waliofanikiwa badala ya sisi kupambana na kutengeneza mifumo tuwe kama wao
Tatizo kuanzia Lisu na CHADEMA na akina polepole ni ujinga umewajaa wanadhani serikali ndio ilimuuzia
 
Tatizo kuanzia Lisu na CHADEMA na akina polepole ni ujinga umewajaa wanadhani serikali ndio ilimuuzia
Watanzania wengi walio masikini akili ni zile zile wawe Ccm au Chadema huwaza fitina majungu uchawi kwa wale wanao wazidi mali na akili.
 
Tatizo kuanzia Lisu na CHADEMA na akina polepole ni ujinga umewajaa wanadhani serikali ndio ilimuuzia
Na hata chadema ikishika nchi bado hao viongozi watafanya kazi na rostam na watu pia watawatukana chadema kuwa wamewageuka na wanakuka na rostam,hiyo ndio akili finyu
 
sisi ni masikini kwa sababu wao ni matajiri, hiyo ndiyo sababu, plus hes evil ...
Hakuna mtu anayekulazimisha uwe maskini mkuu,
Umaskini sio kilema.
Jifunze kwa waliofanikiwa.
Wakati Rostam akifuatilia data kwenye masoko ya hisa na hata kupata taarifa kuwa Kuna kampuni zinauza migodi,wewe uko jamiiforums ukiandika majungu na kulalamika.

Tuache kuwapa watu wengine lawama kwa sababu ya ujinga wetu.
Umaskini ni zao la matokeo yako ya Kila siku,huhitaji kumtupia lawama aliyefanikiwa kuwa ndio chanzo cha wewe kutofanikiwa.
Kila mtu ana nafasi ya kufanikiwa kwenye hii nchi,tumia akili zako vizuri tu
 
View attachment 3466460


PS: Huyu mwamba anaposema "Mimi sijaanza kuzalisha makaa yangu ya mawe" ni dharau kubwa kwa nchi, anaongelea rasilimali ya nchi as if ni mali yake binafsi, wakati yeye ni muwekezaji tu.

Na watu wanachohoji siyo nani amewekeza, bali wanahoji yeye kama muwekezaji kununua rasilimali yenye thamani ya matrilioni kwa bilioni 5 tu.

Tunamshukuri kwa kutusanua jumla ya migodi iliyopo pale, lakini hoja ya msingi bado hajaijibu.
Kwa nini kila uchao anatajwa kama fisadi?ubaya zaidi vi kampuni vyake ukienda Brela hukuti jina lake.Anajificha sana sa
Rostam hajanunua kwa Serikali elewa ilo, Kuna Investor aliyekuwa anamiliki aliamua kuuza na aka list hizo share kwenye London Stock Exchange ndio Rostam aliponunulia uko share.

na.Hana nia njema.Halafu kwanini anapenda ikulu sana?
 
Back
Top Bottom