Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,891
- 141,556
Hapa ni kula sahani moja na fisadi Dau mpaka kieleweke
kalaghabaho wee
Kumbe na wewe u,eliona hilo eeeh? Mwulize kuhusu dokta Dau
Mh who is Dr. Dau?
Bonge la fisadi moja hivi pale NSSF....
Kwani ni Baba yake?
Nauliza tu!
I wonder how far Nyani Ngabu you are willing to go
Baba yake nani? Nami nauliza tu
Yule kijana aliyetoka Bongo hivi karibuni.
Aliyedaka mshiko kutoka kwa RAis ili atoe utetezi wa kufa na kupona kwenye thread zote zinazomfunua huyo mto mshiko!
Ni huyo??
Mkuu, i don't think this is possible MASWALI ambayo ameyauliza ni Mengi mno,yapo katika MAANDIKO &SAUTI(10K+posts,Cheche,.com,onAir) na yanahitaji MAJIBU yenye ufasaha wa hali ya juu,sidhani kama atapenda/ataweza kuwa tena huo UPANDE WA PILI kuyapatiya majibu maswali hayo kwa usahihi, isitoshe jamani ka-Inzi usually get its stuff from people who promised somebody else that they would keep it a secret, sasa sidhani Mwn.Kjj would want to take such a risk, he knows the rules of the game....ka-Inzi kameshatotoa mnoo!!...tutajua tuu.mwanakijiji ungekuwa unajua jinsi unavyochukiwa......4 ur information linaandaliwa fungu kukununua......tukikuona kimya tutajua umeshafika bei......
Yeah...ndo huyo huyo...kumbe unamjua halafu unajifanya kuniuliza mimi...ahahahahahahaha...wewe mchokozi kweli
Si umeona kaanza kuchimba biti....
cheap, cheaper, cheapest!Miafrika Ndivyo Tulivyo!!
Mhh! inaelekea hawa tuliyonao humu ndani tayari kazi imewashinda au??Yule kijana aliyetoka Bongo hivi karibuni.
Aliyedaka mshiko kutoka kwa RAis ili atoe utetezi wa kufa na kupona kwenye thread zote zinazomfunua huyo mto mshiko!
Ni huyo??
mzee unajua anavyofikiria Rostam? LOL
Hawezi kusema ninavyosema mimi na hisia zangu haziwezi kuwa kama za kwake.
Anyway, mkuu Trust me, unapomtafuta Rostam kwa maswala ya uraia inawapa nguvu zaidi mafisadi kwani sasa hivi inaonyesha wazi tumeishiwa hoja.. Kumbana kipa wakati refa yupo nyuma yako unaomba kadi nyekundu, wakati ndio kwanza kipimnndi cha pili kinaanza...Na ukipewa hiyo kadi basi kumbuka team yako inabakia na wachezaji 10..Kinachofuata ni wao kujihami wakati Rostam na kundi lake wanafanya mashambulizi..
Nakwambia haya kutokana na uzeofu wa mambo haya na kubali mkuu Umri ni moja ya elimu dunia.. Sii tu Utakwama bali utatugharimu jitihada kubwa za wazalendo ktk kutafuta mbinu za kulivua hili Jipapa..